< Psalmi 35 >

1 Dāvida dziesma. Ej tiesā, Kungs, ar tiem, kas ar mani iet tiesā, karo ar tiem, kas ar mani karo.
Yahwe, uwashughulikie wale wanao nishughulikia mimi; upigane nao wanao pigana nami.
2 Sagrāb priekšturamās bruņas un ieroci un celies man par palīgu.
Uikamate ngao yako ndogo na ngao kubwa; inuka unisaidie.
3 Izvelc šķēpu un zobenu pret tiem, kas man dzenās pakaļ; saki uz manu dvēseli: Es esmu tava pestīšana.
Uutumie mkuki wako na shoka lako la vita kwa wale wanao nifukuzia; uuambie moyo wangu, “Mimi ni wokovu wako.”
4 Lai top kaunā un par apsmieklu, kas manu dvēseli meklē, lai top dzīti atpakaļ un likti kaunā, kas pret mani ļaunu domā.
Waaibishwe na kudharauliwa wale wanaoutafuta uhai wangu. Warudishwe nyuma na wafedheheshwe wanao panga kunidhuru.
5 Lai tie top kā pelavas vējā, un Tā Kunga eņģelis lai tos aizdzen.
Wao wawe makapi mbele ya upepo, malaika wakiwafutilia mbali.
6 Viņu ceļš lai paliek tumšs un slidens, un Tā Kunga eņģelis lai tos vajā.
Njia yao na iwe giza na utelezi, malaika wa Yahwe wakiwafukuzia.
7 Jo bez vainas tie priekš manis apslēpuši sava tīkla bedri, bez vainas tie priekš manas dvēseles rakuši bedri.
Wamenitegea mtego bila sababu; bila sababu wamechimba shimo kwa ajili ya uhai wangu.
8 Posts tam uzies, kad viņš to nezin, un viņa tīkls, ko tas ir paslēpis, sagūstīs viņu pašu; sev par postu viņš tur iekritīs.
Uharibifu na uwapate wao kwa kushitukiza. Mtego ambao wameutega na uwanase wao. Na wadumbukie humo, ili kwamba waangamizwe.
9 Bet mana dvēsele priecāsies iekš Tā Kunga, un līksmosies par Viņa pestīšanu.
Bali mimi nitakuwa nafuraha ndani ya Yahwe na ndani ya wokovu wake.
10 Visi mani kauli sacīs: Kungs, kas ir kā Tu? Tu bēdīgo izglābi no tā, kas ir stiprāks, nekā viņš, arī bēdīgo un nabagu no viņa laupītāja.
Mifupa yangu yote itasema, “Yahwe, ni nani kama wewe, uokoaye walio onewa mkononi mwa walio na nguvu kuwazidi wao na masikini na wahitaji mkononi mwa wale wanaojaribu kuwaibia?”
11 Viltus liecinieki ceļas, tie prasa no manis, ko es nezinu.
Mashahidi wa uongo wamesimama; wananishitakia uongo.
12 Tie man maksā ļaunu par labu; mana dvēsele ir atstāta.
Kwa ajili ya wema wananilipa mabaya. Nina huzuni nyingi.
13 Bet es, kad tie bija neveseli, apvilku maisu un mērdēju savu dvēseli ar gavēšanu un lūdzu no sirds dibina.
Lakini, walipokuwa akiugua, nilivaa magunia; nilifunga kwa ajili yao huku kichwa changu kikiinamia kifuani kwangu.
14 Es tā staigāju, tā kā viņš man būtu par draugu un brāli, es gāju noskumis, nospiests, tā kā kas žēlojās par savu māti.
Nilienenda katika huzuni kana kwamba walikuwa ni ndugu zangu; niliinama chini nikiomboleza kana kwamba ni kwa ajili ya mama yangu.
15 Bet kad es straipalēju, tad tie priecājās un sapulcējās, nelieši, ko es nepazinu, sapulcējās pret mani; tie plosās un nepaliek klusu.
Bali mimi nilipokuwa mashakani, walifurahi sana na kukutanika pamoja; walikutanika pamoja kinyume na mimi, nami nilishangazwa nao. Walinirarua bila kuacha.
16 Ar viltīgiem mēdītājiem un kumosu lišķiem tie griež zobus pret mani.
Kwa dharau kabisa walinidhihaki; walinisagia meno yao.
17 Kungs, cik ilgi Tu to gribi redzēt? Izglāb manu dvēseli no viņu postīšanas, manu vientuli no jauniem lauvām.
Bwana, mpaka lini utaendelea kutazama? uiokoe roho yangu na mashambulizi yao ya maagamizi uyaokoe maisha yangu na simba.
18 Es Tev pateikšos lielā draudzē, ļaužu pulkā es Tevi slavēšu
Nami nitakushukuru wewe katika kusanyiko kubwa; nitakusifu kati ya watu wengi.
19 Lai par mani nepriecājās, kas mani ienīst par nepatiesu, nedz mirkšķina ar acīm, kas mani nīdē bez vainas.
Usiwaache maadui zangu wadanganyifu kufurahi juu yangu; usiwaache waendelee na mipango yao ya uovu.
20 Jo no miera tie nerunā, bet izgudro viltīgus vārdus pret tiem klusiem iekš zemes.
Kwa maana hawaongei amani, bali wanabuni maneno ya uongo kwa wale wanaoishi kwa amani katika ardhi yetu.
21 Tie atplēš savu muti pret mani, tie saka: tā, tā, mūsu acs to redzējusi!
Midomo yao inapaza sauti ikinishtaki; wakisema, Aha, Aha, macho yetu yameona.”
22 Kungs, Tu to redzi, neciet klusu, Kungs, neesi tālu no manis!
Yahwe wewe umeona, usikae kimya; Bwana, usiwe mbali nami.
23 Uzmodies un celies par manu tiesu, mans Dievs un mans Kungs, par manu lietu.
Inuka mwenyewe na usimame kunitetea; Mungu wangu na Bwana wangu, unitetee.
24 Tiesā mani pēc Tavas taisnības, Kungs, mans Dievs, ka tie par mani nepriecājās.
Kwa sabababu ya haki yako, Yahwe Mungu wangu, unitetee; usiwaache wafurahi kwa ajili yangu.
25 Lai tie nesaka savā sirdī: labi, tas mums pa prātam; lai tie nesaka: mēs viņu esam aprijuši.
Usiwaache waseme mioyoni mwao, “Aha, tumepata tulicho kihitaji.” Usiwaache waseme, tumemmeza.”
26 Lai kopā top kaunā un par apsmieklu, kas priecājās par manu nelaimi; lai top apģērbti ar kaunu un negodu tie, kas pret mani lielās.
Uwaaibishe na kuwa fendhehesha wale wanaotaka kunidhuru. Wale wote wanao ni dhihaki wafunikwe kwa aibu na kudharauliwa.
27 Priecīgi lai dzied un līksmojās, kam patīk mana taisnība, lai tie saka vienmēr: augsti slavēts lai ir Tas Kungs, kam labs prāts pie Sava kalpa labklāšanās.
Nao wote wanao tamani kudhihirishwa kwangu washangilie na wafurahi; siku zote waseme, “Usifiwe Yahwe, yeye ajifurahishaye katika mafanikio ya mtumishi wake.
28 Tad mana mēle sludinās Tavu taisnību, un ikdienas Tavu slavu.
Kisha nitatangaza matendo yako ya haki na kukusifu wewe wakati wote.

< Psalmi 35 >