< Psalmi 49 >

1 Koraha bērnu dziesma. Dziedātāju vadonim. Klausāties to, visi ļaudis, grieziet ausis šurp, visi pasaules iedzīvotāji,
Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
2 Tā zemi kā augsti, bagāti kā nabagi kopā.
wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
3 Manas mutes runa ir gudrība, un manas sirds domas ir prātīgas.
Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
4 Es griezīšu savu ausi pie viena sakāma vārda, un izteikšu savu mīklu uz koklēm.
Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
5 Kāpēc man bīties ļaunās dienās, kad manu vajātāju noziegums ap mani metās?
Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
6 Tie paļaujas uz savu padomu un greznojās ar savu lielo bagātību.
Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
7 Savu brāli neviens nevar atpestīt nedz Dievam par to dot atpirkšanas maksu,
Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
8 (Jo visai dārga ir viņu dvēseles atpestīšana un no(tā) tam jāatstājas mūžīgi, )
Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
9 Ka tas dzīvotu mūžam un kapu neredzētu.
Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
10 Tiešām redzēs, ka gudri mirst, ka ģeķi un neprātīgi kopā iet bojā un savu mantu pamet citiem.
Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
11 Tās ir viņu sirdsdomas, ka viņu namiem būs stāvēt mūžīgi, viņu dzīvokļiem līdz radu radiem; tie nosauc valstis pēc saviem vārdiem.
Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
12 Bet cilvēks greznībā nepastāv, viņš līdzinājās lopiem, ko nokauj.
Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
13 Šis ir tas ceļš ģeķiem un tiem, kas viņiem iet pakaļ un kam viņu vārdi patīk. (Sela)
Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
14 Tie taps noguldīti ellē kā avis, nāve tos ganīs; bet tie taisnie par tiem valdīs rītam austot, un viņu augumu aprīs elle, ka nebūs, kur palikt. (Sheol h7585)
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
15 Bet Dievs atpestīs manu dvēseli no elles varas, jo Viņš mani pieņems. (Sela) (Sheol h7585)
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
16 Nebēdājies par to, kad kāds top bagāts, kad viņa nama gods top liels.
Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
17 Jo viņš mirdams neko neņems līdz, viņa godība tam neies pakaļ.
Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
18 Jebšu viņš savu dvēseli svētī, kamēr viņš dzīvo, un tevi teic, ka tu sev labas dienas sagādājis.
Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
19 Tomēr tu noiesi pie viņa tēvu radiem, kas gaismu neredz ne mūžam.
naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
20 Cilvēks, kas greznībā un nav prātīgs, tas līdzinājās lopiem, ko nokauj.
Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.

< Psalmi 49 >