< Bisisu 14 >

1 Eso afaega, Sa: masane da Dimina moilaiga asili, Filisidini a: fini afadafa ba: i.
Samsoni akashuka kwenda Timna, na huko akaona mwanamke, mmojawapo wa binti za Wafilisti. Aliporudi, akamwambia baba yake na mama yake,
2 E da ea diasuga buhagili, ea eda amola ame elama amane sia: i, “Na da Dimina moilaiga Filisidini a: fini ba: i dagoi. Na da amo lamu hanai galebe. Amo lamusa: , ali amo a: fini nagili logela masa.”
'Nimemwona mwanamke huko Timna, mmojawapo wa binti za Wafilisti. Sasa mkanichukulie awe mke wangu.
3 Be ea eda amola ame ela da amane sia: i, “Di da abuliba: le Gode Ea Hou hame lalegagui Filisidini fi uda lamusa: hanabela: ? Ninia fi amoga uda hogole lamu da defea!” Be Sa: masane da bu adole i, “Na da amo a: fini hanai. Na da e fawane lamusa: dawa:”
Baba yake na mama yake wakamwambia, “Je, hakuna mwanamke kati ya binti za ndugu zako, au kati ya watu wetu wote? Je! Utachukua mke kutoka kwa Wafilisti wasiotahiriwa?” Samsoni akamwambia baba yake, “Nichukulie kwa ajili yangu, kwa maana wakati nilipomwangalia, alinipendeza.'
4 Hina Gode da hame lalegagui Filisidini dunu ilima gegemusa: logo hogoi helebeba: le, E da Sa: masane ea asigi dawa: su ganodini agoane hamosu. Bai amo esoga, Filisidini dunu da Isala: ili soge ouligisu. Be Sa: masane eda amola ame da amo hou hame dawa: iou.
Lakini baba yake na mama yake hawakujua kwamba suala hili lilikuja kutoka kwa Bwana, kwa maana alitaka kutengeneza mgogoro na Wafilisti (kwa wakati huo Wafilisti walikuwa wakitawala Israeli).
5 Amaiba: le Sa: masane da ea eda amola ame Dimina moilaiga sigi asi. Ilia da waini sagai ganodini asili, Sa: masane da laione wa: me waha debe gasala amo ea gesenenanebe nabi.
Basi Samsoni akaenda Timna pamoja na baba yake na mama yake; nao wakafika kwenye mashamba ya mizabibu ya Timna. Na, tazama, kuna simba mdogo wa alikuja na alikuwa akiunguruma.
6 Hedolowane, Sa: masane da Hina Gode Ea gasa bagade lai. E da amo laione amo goudi mano defele, ea loboga medole legele, magado gowa: i. Be amo hou e da ea ada amola ea ame elama hame adole i.
Roho wa Bwana ghafla akaja juu yake, naye akamrarua simba kwa urahisi kama ambavyo angeweza kumrarua mbuzi mdogo, naye hakuwa na kitu mkononi mwake. Lakini hakuwaambia baba au mama yake kile alichofanya.
7 Amalalu, e da amo a: fini amoma asili, sia: sa: i. E da amo a: fini hanai.
Alikwenda na kuzungumza na mwanamke, na alipopomtazama, alimpendeza Samsoni.
8 Eso didia asili, e da amo a: fini lamusa: bu asi. E da logoga asili, amo logo fisili, laione wa: me e da medole legei amo ba: la asi. E da laione ea da: i hodo ganodini agime fila heda: i amola agime hano dialebe fofogadigili ba: i.
Siku chache baadaye aliporudi kumwoa, akageuka na kutafuta mzoga wa simba. Na, tazama, kulikuwa na kundi la nyuki na asali katika kile kilichobaki katika mwili wa simba.
9 E da amo agime hano lale, logoga ahoa nana asi. Amalalu, e da ea ada amola ame elama asili, agime hano mogili elama i. Ela da mai dagoi. Be Sa: masane da amo agime hano laione bogoi ea da: i hodo amoga lai, e da elama hame olelei.
Akaweka asali mikononi mwake na akaenda, akala huku akienda. Alipokuja kwa baba yake na mama yake, akawapa, nao wakala. Lakini hakuwaambia kuwa amechukua asali nje ya kile kilichobaki kwenye mwili wa simba.
10 Ea eda da a: fini ea diasuga asi. Amola amoga Sa: masane da lolo nasu hamoi. Bai amo esoga, ayeligi dunu da amo hou hamonanusu.
Baba yake Samsoni akaenda chini alipokuwa mwanamke, na Samsoni akafanya sikukuu huko, kwa maana hii ilikuwa desturi ya vijana.
11 Filisidini dunu da Sa: masane ba: beba: le, ilia da Filisidini ayeligi 30 agoane e sigi esaloma: ne, asunasi.
Mara tu ndugu zake walipomwona, walimletea rafiki zao thelathini kuwa pamoja naye.
Samsoni akawaambia, Hebu nawaambieni kitendawili. Ikiwa mmoja wenu anaweza kuipata na kuniambia jibu wakati wa siku saba za sikukuu, nitatoa nguo za kitani thelathini na seti ya nguo thelathini.
13 Sa: masane da ilima amane sia: i, “Na da dilima idinamasu adole ba: ma: bela: ? Uda lasu lolo nasu eso fesuale amoga, dilia da amo sia: ea bai nama adole iasea, na da dilima afae afae dilima abula noga: i amola abula salasu imunu. Be dilia amo ea bai hame dawa: sea, dilia da nama afae afae abula amola abula salasu noga: iwane ima.” Ilia da ema bu adole i, “Defea! Dia idinamasu ninima adole ima. Ninia nabimu hanai.”
Lakini ikiwa hamuwezi kuniambia jibu, basi utanipa nguo za kitani thelathini na seti za nguo thelathini. ' Wakamwambia, Utuambie kitendawili chako, ili tukisikie.
14 E da ilima amane sia: i, “Liligi da ha: i manu naha amo ea hagomodini amoga ha: i manu da misi. Amola gasa bagade liligi amo ea hagomodini amoga da hedai liligi misi.” Eso udiana da asili, be amo idinamasu ea bai ilia da hogoi helele hame dawa: i.
Akawaambia, 'Kati ya mtu aliyekula alikuwa kitu cha kula; nje ya nguvu ilikuwa kitu tamu. Lakini wageni wake hawakuweza kupata jibu katika siku tatu.
15 Eso biyaduga ilia da Sa: masane idua ema amane sia: i, “Diguama ogogoma. E da ninima amo idinamasu ea bai ninima olelema: ne agoane hamoma. Be dia agoane hame hamosea, ninia da dia ada diasu amo laluga ulagili salimu, amola di gilisili gobele salimu. Dafawane! Ania da nini liligi wamolamusa: , ninima guiguda: misa: ne sia: i.”
Siku ya nne wakamwambia mkewe Samsoni, 'Mdanganye mume wako ili atuambie jibu la kitendawili, au tutakuchoma moto wewe na nyumba ya baba yako. Je, umetualika hapa ili kutufanya maskini? '
16 Amalalu, Sa: masane idua da ema digini asili, amane sia: i, “Di da nama hame asigisa. Di da nama higasa. Di da na dogolegei fi dunu amo idinamasu sia: adole ba: i. Be amo ea bai nama hame olelei.” Sa: masane da ema bu adole i, “Na da amo ea bai na ada amola ame elama hame olelei. Amaiba: le, na da abuli dima adole ima: bela: ?”
Mke wa Samsoni alianza kulia mbele yake; Akasema, 'Yote unayoyafanya ni kunichukia! Hunipendi. Umesema kitendawili kwa baadhi ya watu wangu, lakini hujawaambia jibu. ' Samsoni akamwambia, 'Angalia hapa, kama sijawaambia baba yangu au mama yangu, nikuambie wewe?'
17 Amo lolo nasu eso fesuale amoga, Sa: masane idua da dinanawane ema adole ba: i. Be eso fesuale gala amoga, e da mae fisili sia: ga gegenabeba: le, Sa: masane da amo idinamasu ea bai ema olelei. Amalalu, e da Filisidini dunuma olelei.
Alilia kwa siku saba ambazosikukuu yao iliendelea. Siku ya saba alimwambia jibu kwa sababu alimlazimisha sana. Akawaambia jibu jamaa zake.
18 Amalalu, eso fesu ganodini, eso dabe gadenenoba, Filisidini dunu da Sa: masane amoma amane sia: i, “Ha: i manu eno da hani ea hedai hame baligisa. Amola eno liligi ea gasa da laione wa: me ea gasa hame baligisa.” Sa: masane da bu adole i, “Dilia da na uda ea hou amo ganodini hame hamonoba, amo hedesu sia: bai hame dawa: la: loba.”
Na watu wa mji wakamwambia, siku ya saba kabla ya jua kuzama, 'Ni nini kilicho bora zaidi kuliko asali? Ni kitu gani chenye nguvu kuliko simba? ' Samsoni akawaambia, 'Ikiwa hamkulima na ng'ombe wangu, hamtapata jibu la kitendawili changu.'
19 Amalalu, hedolowane e da Hina Gode Ea gasa bagade lai. E da A: siegelone moilaiga asili, dunu 30 agoane amo medole legei. E da amo dunu ilia abula gigisa: le sasali, dunu amo da idinamasu ea bai olelei, ilima i dagoi. Amalalu, e da ougiwane hamonanu hi diasuga asi.
Kisha Roho wa Bwana akaja kwa Samsoni kwa nguvu. Samsoni akashuka kwenda Ashkeloni na kuuawa watu thelathini kati ya watu hao. Akachukua mateka yao, na akawapa seti ya nguo kwa wale waliomjibu kitendawili chake. Alikasirika akaenda nyumbani kwa baba yake.
20 Amola fa: no, Filisidini a: fini amo Sa: masane ea lai, amo ea ada da bu dunu eno Sa: masane e uda gaguli lasu lolo nasu fidisu dunu amogili lama: ne i.
Na mke wake akachukuliwa na rafiki yake wa karibu.

< Bisisu 14 >