< 2 Hou Olelesu 15 >

1 Gode Ea A: silibu da A: salaia (Oudede egefe) ema aligila sa: i. Amola e da hina bagade A: isa ba: musa: asi. E da amane wele sia: i. “Hina bagade A: isa! Amola Yuda fi amola Bediamini fi dunu huluane! Na sia: nabima! Dilia da Hina Godema noga: le fa: no bobogesea, E da dilima gamu. Dilia E hogosea, E ba: mu. Be dilia E baligi fa: sea, E da dili fisidigimu.
Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
2
Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
3 Eso bagohame, Isala: ili fi da Godedafa hamedene, gobele salasu olelesu dunu hamedene, amola sema hamedenewane esalu.
Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
4 Be se nabasu da ilima doaga: loba, ilia da Isala: ili Hina Godema bu sinidigi. Ilia da E hogolalu, ba: i dagoi.
Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
5 Amo esoga, dunu da hahawane halegale lalumu hamedei ba: i. Bai bidi hamosu amola wili gala: su, amo soge huluane ganodini ba: i.
Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
6 Fi afae da fi eno amo banenesi. Moilai bai bagade da eno moilai bai bagade amo banenesi. Bai Gode da amo se nabasu ilima i dagoi.
Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
7 Be dilia da gasa fili, mae da: i dioma. Dilia hawa: hamobeba: le, bidi noga: i lamu.”
Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
8 A: isa da A: salaia (Oudede egefe) amo ea ba: la: lusu sia: nababeba: le, ea dogo denesi. E da ogogosu ‘gode’ loboga hamoi liligi huluane Yuda soge, Bediamini soge amola moilai bai bagade huluane e da Ifala: ime sogega susugui, amo ganodini dialu amo mugululi fasi. Amola e da Hina Gode oloda amo da Debolo Diasu gagoi ganodini dialu, amo bu dodoa: i.
Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
9 Ifala: ime, Ma: na: se amola Simione fi dunu bagohame da Isala: ili fisili, A:isama gai. Bai ilia Hina Gode da A: isama gai ba: i. A: isa da ili huluane, amola Yuda amola Bediamini fi dunu ema misa: ne sia: i.
Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
10 Ili huluane da oubi osoda amola ode 15 A: isa ea ouligibi galu, Yelusalemega gilisi.
Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
11 Amo esoga, ilia da ilia susugui liligi mogili, Hina Godema gobele salasu hamoi. Ilia da bulamagau 700 agoane amola sibi 7,000 agoane gobele sali.
Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
12 Ilia aowalalia Hina Godema ilia asigi dawa: su huluane, amola ilia a: silibu huluane, amoga Ema nodone sia: ne gadolaloma: ne, ilegele sia: i dagoi.
Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
13 Nowa da ayeligi o da: i hamoi, dunu o uda, amo da Hina Godema nodone sia: ne gadomu hihisia, ilia da amo medole legema: ne sia: i.
Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
14 Ilia da Hina Gode Ea Dioba: le, amo ilegele sia: su noga: le ouligima: ne wele sia: i. Amalalu, ilia ha: giwane wele sisia: sa, dalabede fulabosu.
Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
15 Yuda dunu huluane da amo ilegele sia: su (gousa: su) noga: le hamoiba: le, hahawane bagade ba: i. Ilia da Hina Godema nodone sia: ne gadobeba: le, hahawane bagade ba: i. Hina Gode da ili lale sali, amola Ea hamobeba: le, ili sisiga: le fi da ili hame doagala: i.
Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
16 Hina bagade A: isa da ea aiya: Ma: iaga amo sefasi. Bai e da ogogosu uda ‘gode’ Asila, ema nodone sia: ne gadoma: ne, wadela: idafa ‘gode’ liligi ea loboga hamoi. A: isa da amo loboga hamoi ‘gode’ aba sasalili, Gidalone Fagoga ulagisi.
Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
17 A: isa da ea esalusu huluane ganodini, Hina Godema madelagili esalebe ba: i. Be ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu sogebi mogili, e da hame gugunufinisi.
Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
18 E da noga: i liligi amo ea eda Abaidia da Godema modale ligiagale i, amola gouli amola silifa amo hisu da modale ligiagale i, amo huluane Debolo Diasu ganodini lidili legei.
Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
19 Isala: ili fi da olofole esalu, amogainini A: isa ea ouligibi ode 35 da doaga: i.
Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.

< 2 Hou Olelesu 15 >