< Yosiua 1 >

1 Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese da bogoi dagoloba, Hina Gode da Mousese ea fidisu dunu amo Yosiua (Nane egefe) ema sia: i.
Sasa ilitokea baada ya kufa kwa Musa, mtumishi wa Yahweh, Yahweh alimwambia Yoshua, mwana wa Nuni, msaidizi mkuu wa Musa, kusema,
2 E amane sia: i, “Na hawa: hamosu dunu Mousese da bogoi dagoi. Defea! Di amola Isala: ili dunu huluane, dilia liligi momagele, Yodane Hano degele, soge amo Na da dilima iaha amo ganodini golili sa: ima.
“Musa, mtumishi wangu amekufa. Sasa basi inuka, vuka mto huu wa Yordani, wewe na watu hawa wote, kuingia katika nchi ambayo ninawapa - watu waisraeli.
3 Na da Mousesema sia: i defele, Na da di amola Na fi dunu huluane dilima soge huluane dilia osa: gimu, amo dilima imunu.
Nimewapa ninyi kila sehemu ambapo nyayo za miguu yenu itakanyaga. Nimewapa ninyi, kama nilivyomwahidi Musa.
4 Dilia soge alalo da wadela: i hafoga: i soge ga (south) diala amoga asili Lebanone Goumi ga (north) doaga: mu. Eso mabadi la: idi Iufala: idisi Hano amoga asili dilia Hidaide dunu ilia soge huluane lale, eso dabe la: idi Medidela: inia Hano Wayabo Bagade amoga doaga: mu.
kuanzia jangwani na Lebanoni, hadi mto mkubwa wa Frati, nchi yote ya Wahiti, na hata Bahari kuu, ambako jua huzama, itakuwa nchi yenu.
5 Yosiua! Di esalea, eno dunu da di hasalimu hamedei ba: mu. Na da Mousese fidi, amo defele eso huluane di fidimu. Na da di hamedafa fisimu.
Hakuna mtu awaye yote atakayeweza kusimama kinyume chako siku zote za maisha yako. Nitakuwa pamoja nawe kama nilivyokuwa na Musa. Sitakupungukia wala kukuacha.
6 Di gasa bagade mae beda: iwane esaloma. Na fi dunu da soge, Na da ilia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amo gesowale fisia, di da ilima bisili ahoasu ouligisu dunu esalumu.
Uwe hodari na jasiri. Wewe utawafanya watu hawa wairithi nchi ambayo niliwaahidi baba zao kuwa ningewapa.
7 Be di gasa bagade mae beda: iwane esaloma. Hamoma: ne sia: i huluane Na hawa: hamosu dunu Mousese da dima i, amo nabawane hamoma. Dia hou huluane hahawane ba: ma: ne, amo hamoma: ne sia: i huluane noga: le fa: no bobogema.
Uwe hodari na jasiri sana. uwe makini kutii sheria zote ambazo Musa mtumishi wangu alikuagiza. Usikengeuke upande wa kulia au wa kushoto, ili uweze kufanikiwa kila mahali utakapoenda.
8 Dilia da Nama nodone sia: ne gadosea, eso huluane amo sema buga idima. Eso amola gasi, ea bai hogole ba: ma. Liligi huluane amo ganodini dedei noga: le nabima. Amasea, dilia da bagade gagui amola hou huluane didili hamone, hahawane ba: mu.
Siku zote uuongee juu ya kitabu hiki cha sheria. Utakitafakari mchana na usiku ili kwamba uweze kutii yote yaliyoandikwa humo. Kisha utastawi na kufanikiwa.
9 Mae gogolema! Na da di gasa bagade amola mae beda: iwane hamoma: ne sia: i. Mae da: i dioma amola mae beda: ma! Bai Na, dilia Hina Gode, Na da dilia ahoabe huluane amo sigi ahoa.
Je si mimi niliyekuagiza? Uwe hadori na jasiri! Usiogope. Usivunjike moyo. Yahweh Mungu wako yuko pamoja nawe kila uendeko.
10 Amalalu, Yosiua da Isala: ili fi ouligisu dunu ilima amane sia: i,
Kisha Yoshua akawaagiza viongozi wa watu,
11 “Abula diasu gilisisu amo ganodini asili, Isala: ili dunuma amane sia: ma, ‘Ha: i manu momagema. Bai eso udiana asili dilia da Yodane Hano degele, soge amo dilia Hina Gode da dilima iaha amo gesowale fimu.’
“Nendeni katika kambi na waagizeni watu, 'andaeni chakula kwa ajili yenu. Baada ya siku tatu mtavuka mto huu wa Yordani na kuingia ndani na kuimiliki nchi ambayo Yahweh Mungu wenu awapeni ninyi ili kuimiliki.””
12 Yosiua da fi mogili amo Liubene, Ga: de amola Eso Mabadi la: idi Mana: se fi ilima amane sia: i,
Yoshua akawaambia Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase,
13 “Dawa: ma! Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese da dilia Hina Gode da soge Yodane Hano dilia wali lela amo eso mabadi la: idi amo, dili fima: ne dilima imunu sia: i.
“Kumbukeni maneno ambayo Musa, mtumishi wa Yahweh, aliwaaagiza aliposema, 'Yahweh Mungu wenu awapeni ninyi pumziko, naye awapeni ninyi nchi hii.'
14 Dilia uda, mano amola ohe fi da guiguda: esaloma. Be dilia dadi gagui dunu ilia gegesu liligi gaguli, dilia eno na: iyado Isala: ili dunu amo fidima: ne, ilima bisili hano degema.
Wake zenu, na watoto wenu na mifugo yenu itakaa katika nchi ambayo Musa aliwapa ninyi ng'ambo ya Yordani. Lakini watu wenu wa vita wataenda pamoja na ndugu zao na kuwasaidia.
15 Ilia da Yodane Hano eso dabe la: idi soge amo dilia Hina Gode da ilima i, amo gesowale fima: ne dilia fidima. Ilia da amo soge lai dagosea, dilia buhagili, soge Yodane Hano eso mabadi la: idi amo Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese da dilima i, amo ganodini fima.”
Mpaka hapo Yahweh atakapowapa ndugu zenu pumziko kama alivyowapa ninyi. Na wao pia watamiliki nchi ambayo Yahweh Mungu wenu awapeni ninyi. Kisha mtarudi katika nchi yenu na kuimiliki, nchi ambayo Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa ninyi ng'ambo ya Yordani, mahali pa mapambazuko ya jua.”
16 Isala: ili dunu da Yosiuama bu adole i, “Defea! Ninia da dia sia: i huluane hamomu. Dia adi sogega nini asunahoasea, ninia da amogai masunu.
Nao wakamjibu Yoshua, na kusema, “Mambo yote uliyotuagiza tutayafanya, na kila mahali utakapotutuma tutaenda.
17 Ninia da Mousese ea sia: nabasu, amo defele dia sia: nabimu. Amola dia Hina Gode da Mousese fidi amo defele E da di fidimu da defea.
Tutakutii kama tulivyomtii Musa. Yahweh Mungu wako na awe pamoja nawe tu kama aliyokuwa pamoja na Musa.
18 Nowa da dia sia: hame nabasea, amo dunu ninia da medole legemu. Be di gasa bagade amola mae beda: iwane hamoma!”
Yeyote anayeasi maagizo yako na kutotii maneno yako atauawa. Uwe hodari na jasiri tu.

< Yosiua 1 >