< Йов 37 >
1 Отож, і від цього тремтить моє серце і зру́шилось з місця свого́.
Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
2 Ува́жливо слухайте гук Його голосу, і грім, що несеться із уст Його, —
Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
3 його Він пускає попід усім небом, а світло Своє — аж на кі́нці землі.
Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
4 За Ним грім ричить левом, гримить гу́ком своєї вели́чности, і його Він не стримує, почується голос Його.
Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
5 Бог предивно гримить Своїм голосом, вчиняє великі діла́, яких не розуміємо ми.
Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
6 До снігу говорить Він: „Падай на землю!“а доще́ві та зливі: „Будьте сильні́!“
Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
7 Він руку печа́тає ко́жній люди́ні, щоб пізнали всі люди про ді́ло Його.
Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
8 І звір входить у схо́вище, і живе в своїх лі́гвищах.
Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
9 Із кімна́ти південної буря прихо́дить, а з вітру півні́чного — хо́лод.
Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
10 Від Божого по́диху лід повстає, і во́дна широкість тужа́віє.
Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
11 Тако́ж Він обтя́жує ві́льгістю ту́чу, і світло своє розпоро́шує хмара,
Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
12 і вона по околицях ходить та блукає за Його про́водом, щоб чинити все те, що накаже Він їй на поверхні вселе́нної, —
Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
13 він наво́дить її чи на кару для кра́ю Свого, чи на милість.
Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
14 Бери, Йове, оце до ушей, уставай і розваж Божі чу́да!
Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
15 Чи ти знаєш, що́ Бог накладає на них, і зая́снює світло із хмари Своєї?
Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
16 Чи ти знаєш, як но́ситься хмара в повітрі, про чу́да Того, Який має безва́дне знання́,
Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
17 ти, що ша́ти твої стають теплі, як сти́шується земля з по́лудня?
Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
18 Чи ти розтягав із Ним хмару, міцну́, немов дзе́ркало лите?
Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
19 Навчи нас, що скажем Йому́? Через темність ми не впорядку́ємо слова́.
Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
20 Чи Йому оповісться, що́ буду казати? Чи зміг хто сказа́ти, що Він знищений буде?
Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
21 І тепер ми не бачимо світла, щоб світило у хмарах, та вітер пере́йде — і ви́чистить їх.
Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
22 Із півно́чі прихо́дить воно, немов золото те, та над Богом вели́чність страшна́.
Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
23 Всемогутній, — Його не знайшли ми, Він могутній у силі, але Він не мучить ніко́го судом та великою правдою.
Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
24 Тому нехай люди бояться Його, бо на всіх мудросе́рдих не дивиться Він“.
Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”