< Luka 20 >
1 Siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuwahubiria juu ya Habari Njema, makuhani wakuu na walimu wa Sheria pamoja na wazee walifika,
kiliva kighono kimo, UYesu ye alyale ivulanisia avaanhu ku nyumba inyimike ja kufunyila na kudalikila ilivangili, avatekesi avavaa na vavulanisi va ndaghilo vakamulutila palikimo na vaghogholo.
2 wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?”
vakajova, vakam'bula, 'tuvule kwe kuvutavulua vuliku ghuvumba agha? nambe ghwe veeni ujuo juno akupelile uvutavulua uvu?”
3 Yesu akawaambia, “Na mimi nitawaulizeni swali:
ghwope akamula akati, 'najune kange nikuvaposia. munivule
4 mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?”
ulwofugho lwa Yonani pe lukahumile ku kyanya au kuvaaahu?'
5 Lakini wao wakajadiliana hivi: “Tukisema yalitoka mbinguni, yeye atatuuliza: Mbona hamkumsadiki?
neke vakajofesania vavuo ku vavuo, vakatisagha, 'tungati, 'lukahumile kukyanya akutuposia, 'ongo pe namukamwitikile?
6 Na tukisema yalitoka kwa binadamu, watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohane alikuwa nabii.”
kange tungati; lukahumile ku vaahu; avaanhu vooni apa kya vikutotava na mavue, lwakuva vooni vikwitika kuuti uYoani alyale m'bili.
7 Basi, wakamwambia, “Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi.”
pe vakamwamula lwa kuva navakakagwile kuno lulyahumile.
8 Yesu akawaambia, “Hata mimi sitawaambia ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.”
uYesu akavavula, “najune nanikuvavula umue kwe kuvutavulua vuki nivomba agha.”
9 Yesu akaendelea kuwaambia watu mfano huu: “Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima; kisha akasafiri hadi nchi ya mbali, akakaa huko kwa muda mrefu.
alyavavulile avaanhu ikihwani iki, “umuunhu jumonga alyavyalile umughunda ghwa misabibu, akaluta iisi ijinge ku nsiki ntali.
10 Wakati wa mavuno, mtu huyo alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima, akachukue sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wale wakulima wakampiga mtumishi huyo wakamrudisha mikono mitupu.
ku nsiki ghuno ghunoghile, akansung'ile um'bombi kuvalimi va misabibu, neke avalimi va misabibu vakantova, vakan'gomosia mavoko ghene.
11 Yule bwana akamtuma tena mtumishi mwingine; lakini wao wakampiga huyo vilevile na kumtendea vibaya, wakamrudisha mikono mitupu.
pe akansung'a kange um'bombi ujunge ghwope vakantova, na kum'bombela inyivi, na kukun'gomosia mavoko ghene.
12 Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.
akansung'a kange ughwa vutatu ghwope vakamulemasia na kukuntagha kunji.
13 Yule mwenye shamba akafikiri: Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpenzi; labda watamjali yeye.
lino untwa ghwa mughunda akati, 'kya nivomba kiki? nikunsung'a umwanango umughanike. pamo valamwitika.
14 Wale wakulima walipomwona tu, wakasemezana: Huyu ndiye mrithi. Basi, tumwue ili urithi wake uwe wetu.
'neke avalimi va sabibu vati vamwaghile, vakajofesania vavuo ku vavuo vakatisagha, 'uju ghwe nya kyuma. tum'bude neke ikyuma kyake kive kitu.
15 Basi, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua.” Yesu akauliza, “Yule mwenye shamba atawafanya nini hao wakulima?
vakamwumia kunji ku mughunda ghwa misabibu na kukum'buda. pe unyamughunda kwale ikuvavomba kiki?
16 Atakuja kuwaangamiza wakulima hao, na atawapa wakulima wengine hilo shamba la mizabibu.” Watu waliposikia maneno hayo, walisema: “Hasha! Yasitukie hata kidogo!”
ikwisa kukuvabuda avalimi va misabibu, na kukuvapela avange umughunda ughuo”. vope ye vapulike aghuo, vakati, 'uNguluve akanile'.
17 Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, “Maandiko haya Matakatifu yana maana gani basi? Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi!
neke uYesu akavalola akavaposia, akati, “pe amalembe agha ghali nuvufumbue vuki? ilivue lino avajengi valyalikanile, lino lye livue lya npanguto?
18 Mtu yeyote akianguka juu ya jiwe hilo, atavunjika vipandevipande; na likimwangukia mtu yeyote, litamsaga kabisa.”
umuunhu ghweni juno ighua pa kyanya pa livue ilio, idenyeng'ana kyongo. neke jula juno lingamughwile, liku'ndijania kyongo”
19 Walimu wa Sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.
lino avalembi na vavaha va vatekesi valyalondole isila ja kukun'kola mu nsiki ghughughuo, valyakagwile kuuti alyajovile ikihwani iki kuveene. neke vakavoghwipe avaanhu.
20 Basi, wakawa wanatafuta wakati wa kufaa. Wakawahonga watu fulani wajisingizie kuwa wema, wakawatuma wamnase Yesu kwa maswali, na hivyo waweze kumtia nguvuni na kumpeleka kwa wakuu wa serikali.
vakamulola vunono, vakasung'a vano viposelesia vano vikuvona kuva vaanhu va kyang'haani, neke vavwaghe uvuhosi ku malembe ghake, neke kun'twala ku vatemi na vanya vutavulua.
21 Hao wapelelezi wakamwambia, “Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli; tunajua kwamba wewe huna ubaguzi; wewe wafundisha ukweli juu ya njia ya Mungu.
vope vakamposia, vakati, “m'bulanisi tukagula kuuti ghujova na kuvulanisia isa lweli kisila kusyangua nu muunhu ghwoghwoni, neke uve ghuvulanisia ilweli kujova isa Nguluve.
22 Basi, twambie kama ni halali, au la, kulipa kodi kwa Kaisari!”
pe lunoghile kulyusue kuhomba isongo kwa Kaisali au nambe?”
23 Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
neke UYesu alyakagwile ulutegho lwavo, akavavula,
24 “Nionyesheni sarafu. Je, sura na chapa ni vya nani?”
munisone ihela idinali. ikihwani ni litavua lyani fili kyanya jaake?” vakati, “lya Kaisali”.
25 Nao wakamjibu, “Ni vya Kaisari.” Yesu akawaambia, “Basi, mpeni Kaisari vilivyo vyake Kaisari, na Mungu vilivyo vyake Mungu.”
ughwope uYesu akavavula akati, 'pe mumpele uKaisali ifya kaisali, nu Nguluve ghano gha Nguluve;
26 Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake.
avalembi na vavaha va vatekesi vakakunilue kukagula kila kino alyajovagha pavulongolo pa vaanhu. vakadegha ulwamulo lwake navakajova kyokyoni.
27 Kisha Masadukayo, ambao husema kwamba wafu hawafufuki, wakamjia Yesu, wakasema:
avasadukayi vamonga vakamulutila, vala vano vijova kuuti avafue navalasyuka,
28 “Mwalimu, Mose alituandikia kwamba kama ndugu ya mtu fulani akifa na kumwacha mjane wake bila watoto, ni lazima ndugu yake amchukue huyo mama mjane, amzalie watoto ndugu yake marehemu.
vakamposia vakati, “m'bulanisi uMoose alyatulembile kuuti nave umuunhu angafwilue nu nyalukolo unya n'dala juno nsila mwana pe anoghile kukuntola un'dala ghwa nyalukolo ghwake na kuhola naghwo vwimila ulumbulie.
29 Sasa, wakati mmoja kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza alioa na baadaye akafa bila kuacha mtoto.
kulyale na vanyalukolo lekela lubale, ughwa kwasia akatola akafua kisila kuleka umwana,
30 Yule ndugu wa pili akamwoa yule mjane, naye pia, akafa;
nughwa vuvili ghwope.
31 na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba—wote walikufa bila kuacha watoto.
ughwa vutatu akantola vulevule, enendikio ughwa lekela lubale naakalekile avaanha akafua.
32 Mwishowe akafa pia yule mwanamke.
pambele un'dala jula ghwope akafua.
33 Je, siku wafu watakapofufuliwa, mwanamke huyo atakuwa mke wa nani? Alikuwa ameolewa na wote saba.”
lino nave kwelule ulusyuko iiva nd'ala ghwani? ulwakuva vooni lekela lubale valyantolile'.
34 Yesu akawaambia, “Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa; (aiōn )
uYesu akavavula, “vaanha va iisi iji vitola na kutolua. (aiōn )
35 lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa. (aiōn )
neke vala vano vanoghile kukwupila uvusyuko vwa vafue na kukwingila mu vwumi vwa kusila na kusila navitola nambe kutolua. (aiōn )
36 Ama hakika, hawawezi kufa tena, kwa sababu watakuwa kama malaika, na ni watoto wa Mungu kwa vile wamefufuliwa katika wafu.
nambe navala fua kange, ulwakuva viiva palikimo na vanyaMhola ve vaanha va Nguluve, vaanha va vusyuko.
37 Lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata Mose alithibitisha jambo hilo katika Maandiko Matakatifu. Katika sehemu ya Maandiko Matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja Bwana kama Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo.
naju Moose alyajovile kuuti avavue vilisyuka. alyajovile uluo mu malembe mu lwa kihinja kino kilyale kivvika, alyatiile u Mutwa ndavule uNguluve, ghwe Nguluve ghwa Abulahamu, ghwe Nguluve ghwa Isaka, kange ghwe Nguluve ghwa Yakovo”.
38 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana wale aliowaita kwake, wanaishi naye.”
lino umwene naghwe Nguluve ghwa vafue, looli avwumi ulwakuva vooni vikukala kwa mwene”.
39 Baadhi ya wale walimu wa Sheria wakasema, “Mwalimu, umejibu vema kabisa.”
pe avavulanisi vamonga ava ndaghilo vakamwamula, vakati m'bulanisi ghwamwile vunono.
40 Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.
kutengulila apuo vakava vikwoghopa kukumposia.
41 Yesu akawauliza, “Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
uYesu akavaposia akati, “asi lwa ndani avaanhu viitiuKilisite mwana ghwa Ntwa Davidi?
42 Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia
ulwakuva uDavidi jujuo alyalembile mu kitabu kya sabuli alyatile, uMutwa alyam'bulile umutwa ghwango ghukale uluvoko lwa kundio,
43 mpaka niwafanye adui zako kama kiti cha kuwekea miguu yako.
kuhanga nikutange uvaleme avalugu vaako paasi pa maghulu ghako,
44 Ikiwa Daudi anamwita yeye, Bwana, basi atakuwaje mwanawe?”
uDavidi ikunkemela Kilisite 'Mutwa' pe iiva ndani mwana ghwa Davidi”?
45 Yesu aliwaambia wanafunzi wake mbele ya watu wote,
avaanhu vooni ye valyale vikumpulikisia akavavula avavulanisivua vaake akati,
46 “Jihadharini na walimu wa Sheria ambao hupenda kupitapita wamevalia kanzu. Hupenda kusalimiwa na watu kwa heshima masokoni, huketi mahali pa heshima katika masunagogi na kuchukua nafasi za heshima katika karamu.
mujilolelelaghe na valembi, vano vilonda kughenda kuno vafwalile amenda amatali, na kunoghua kuuti avaanhu vavahungilaghe nu vwoghofi mumapuulo. pano vali mu nyumba isa kufunyila vilonda kukukala ku fitengo ifya kuvulongolo na mu fikulukulu vikukala mu fitengo fya voghopua.
47 Huwadhulumu wajane huku wakisingizia kuwa wema kwa kusali sala ndefu. Hao watapata hukumu kali zaidi!”
avaanhu ava vikuunya ifinu ifya vafwile! neke muvukedusi vwake vikufunya inyifuunyo inhaali, kuuti avaaanhu vatisaghe vagholofu. mu uluo uNguluve ikuvapeela ulupumuko ulukome kukila.