< Yohana 15 >

1 “Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
«Ariko weyini k'ombo taane, mitwotsi goshtso tnihiye,
2 Yeye huliondoa ndani yangu kila tawi lisilozaa matunda, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.
Ti atse fa'o shuu shuraw jabjamwotsi tnih k'ut'de juuk'ritwe, shuu shuwitu jaabo ayide b́shuwitwok'o k'anzde'er s'ayintsitwe.
3 Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.
Itwere itsh tiaap'ts aap'atse tuutson and s'ayinwots itne.
4 Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. Tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipokaa katika mzabibu hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.
Taan beewere, taawere itn beetwe, jaabo weyini k'ombats kup'ar beeratse wotiyal biyal shuu shuwo b́falrawok'owa itwoor taan beyo itk'azal shuu shuwo falratste.
5 “Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi yake. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo atazaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.
«Taa weyini k'ombo taane, itwere jaabwots itne, ti ats deshar beetwonat taawere bín t beetwoniye ay shuwo shuwitwee, eshe ti'aalo eegor k'alo falratste.
6 Mtu yeyote asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota tawi la namna hiyo na kulitupa motoni liungue.
Tiats deshar beerawo jaabwots uromaants juwere b́shuk'eti. Mank'o wottso jabwotsi kakude'er taawots juwere bomis'eti.
7 Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, basi, ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.
Taan itbeyink'e ti aap'tswotswere ititse bobeyink'ere itgeyiru jamo itk'onor daatsitute.
8 Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa matunda mengi na kuwa wanafunzi wangu.
Ay shuwo it shuwink'ere manatse tuutson t nih mangiyank'ee, itwere t danifwotsi it wottsok'o kitsiyank'te.
9 Mimi nimewapenda ninyi kama vile Baba alivyonipenda mimi. Kaeni katika pendo langu.
Niho taan b́shuntsok'o taawere itn shunre, manshe tshunon beewere,
10 Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama vile nami nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
Taa t nih tzaziyo t kottsok'onat b́ shunon t beyirwok'o itwere ti tzaziyo it kotal t shunon beetute.
11 Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani yenu, na furaha yenu ikamilike.
Jaman itsh tkeewiye tgeneeú'wo ititse wotar it geneúwo s'een b́wotishe.
12 Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi.
T tzaziyoniye taa iti t shuntsok'o itiwere it atsatseyo it shunetwok'owe.
13 Hakuna upendo mkuu zaidi kuliko upendo wa mtu atoaye uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
Asho b́ kasho b́ mashots shegro beshide imoniyere bogts shuno deshatse.
14 Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.
Itwere ti imts tzaziyo it s'eentsiyal t mashots itne.
15 Ninyi siwaiti tena watumishi, maana mtumishi hajui anachofanya bwana wake. Lakini mimi nimewaita ninyi rafiki, kwa sababu nimewajulisha yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu.
Guutso doonzo b́finirwo b́danawotse, haniyere hakon guutswotso eraatse, s'uznmó tnihoke tshishts jamo itsh tkitstsotse t mashotsi etreitsha,
16 Ninyi hamkunichagua mimi; mimi niliwachagueni na kuwatuma mwende mkazae matunda, matunda yadumuyo, naye Baba apate kuwapa ninyi chochote mumwombacho kwa jina langu.
Taana iti marat'dek'i bako it taan marat'de'atste, amr ay shuwo itshuwitwok'o, itshuwonwere beetk b́wotitwok'o itn tnaashiy. Manshe niho t shútson it k'onts jamo itsh imetwe.
17 Basi, amri yangu kwenu ndiyo hii: pendaneni.
Eshe taa itin tiazazir it atsatsewo it shunetwok'owe.
18 “Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
«Datsan itn b́ shit'al itiyere shino taan b́shit'tsok'o dande'ere.
19 Kama mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda ninyi kama watu wake. Lakini kwa vile ninyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni kutoka ulimwenguni, kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni.
Datsank it wotink'ere datsan b́tokk wottswotsi shunak'e b́teshi. Ernmó datsank woto it k'aztsotsnat taa datsanatse iti marat' t dek'tsosh datsan itn shit'etwee.
20 Kumbukeni niliyowaambieni: mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa na ninyi pia; kama wameshika neno langu, watalishika na lenu pia.
Guutso doonzoniyre bowatse etaat itsh t keewtso gawwre, taan bogiishitka wotiyal itnowere gishitune, ti aap'o bokotink'e it aap'ono kotetune.
21 Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye aliyenituma.
Taan woshtso bodanawotse t jangosh jaman itats k'alitunee.
22 Kama nisingalikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia; lakini sasa hawawezi kujitetea kwamba hawana dhambi.
Taa waat boosh keewratse wotink'e morro boats woteratse b́teshi, ernmó and bo morrosh weebo deshatsne.
23 Anayenichukia mimi, anamchukia na Baba yangu pia.
Taan shit'irwo t nihnowere b́ shit'iri,
24 Kama nisingalifanya kwao mambo ambayo hakuna mtu mwingine amekwisha yafanya wasingalikuwa na hatia; lakini sasa wameona niliyoyafanya wakinichukia mimi, wakamchukia na Baba yangu pia.
K'osh ash fineraw fino bo dagotse fino tk'azink'ere morro boosh woteratse b́ teshi, andmó jaman bobek'iyakon taano t nihno shit'rne.
25 Na hivi ni lazima yatimie yale yaliyoandikwa katika Sheria yao: Wamenichukia bure!
Hanwere b́ wottso ‹Ik jagalo taan shit'rne› ett nemotse guut'etso b́ s'eenetwok'owe.
26 “Atakapokuja huyo Msaidizi nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi.
«Ernmó nihoke keshetwonat taawere nihoke itsh twoshitwo itn kup'itwo ari S'ayn shayiro b́ woor bí t jango gawitwe.
27 Nanyi pia mtanishuhudia kwa kuwa mmekuwa nami tangu mwanzo.
Itwere baltson tuwat taanton it teshtsotse gawitute.

< Yohana 15 >