< Matendo 1 >

1 Ndugu Theofilo, Katika kitabu cha kwanza niliandika juu ya mambo yote Yesu aliyotenda na kufundisha tangu mwanzo wa kazi yake
Shiimetso Tewofloso! T mas'aaf shintsotse Iyesus b́ fintsonat b́danits jamo guut're. T guut'uwe Iyesus b́ fino dek'b́tuwortsoon tuut
2 mpaka siku ile alipochukuliwa mbinguni. Kabla ya kuchukuliwa mbinguni aliwapa maagizo kwa njia ya Roho Mtakatifu wale mitume aliowachagua.
Daro maantsan b́ tuuts aawo b́ borfetso b́ fintsoniyee, daro maantsan b́ tuwwere gal b́ dek'ts woshetswotssh b́ tzaziyo shayiri S'ayini weeron b́ imihakoniye,
3 Kwa muda wa siku arobaini baada ya kifo chake aliwatokea mara nyingi kwa namna ambazo zilithibitisha kabisa kwamba alikuwa hai. Walimwona, naye aliongea nao juu ya ufalme wa Mungu.
Ay gond bek'o dek't bí etiyak beyar beetk b́ wottsok'o kitsit weeron ayoto boosh b́ be'eyi, hab aawosh boats be'eyat Ik'i mengst jango boosh b́daniyi.
4 Wakati walipokutana pamoja aliwaamuru hivi: “Msiondoke Yerusalemu, bali ngojeeni ile zawadi aliyoahidi Baba, zawadi ambayo mlikwisha nisikia nikiongea juu yake.
Bonton beyat b́móór hank'o ett boon b́ azazi, «Taa itsh t keewtsok'o nihokere itsh imosh jangiyetso korde'ere bako Iyerusalemitse keshk'ayere,
5 Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.”
Yohanis aatsone b́gupi, itmo muk' aawoniye okoon shayiri S'ayinon gupetute.»
6 Basi, mitume walipokutana pamoja na Yesu, walimwuliza, “Je Bwana, wakati huu ndipo utakaporudisha ule ufalme kwa Israeli?”
Bowere ikoke ko'edek't bo befere, «Doonzono! n mengsto Isra'elsh aani n imet aawo andeya?» ett boaati.
7 Lakini Yesu akawaambia, “Nyakati na majira ya mambo hayo viko chini ya mamlaka ya Baba yangu, wala si shauri lenu kujua yatakuwa lini.
Iyesusu hank'o ett boosh bí aaniyi, «Niho b́ took alon bí etts aawonat dúron it danosh falatste.
8 Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia.”
Ernmó shayiri S'ayino itats b́ oot'or ango daatsitute, manoor Iyerusalemn, Yhud dats jamatse, Semariyon, dats daar jamats b́ borfetso taash gawo wotitute.»
9 Baada ya kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, alichukuliwa mbinguni; wingu likamficha wasimwone tena.
Hank'owere bí etiyakon bo bek'fere daro maantsan k'az b́ tuwi, dawunonuwere bín dek't bo awatsere ááts b́k'ri.
10 Walipokuwa bado wanatazama juu angani, akiwa anakwenda zake, mara watu wawili waliokuwa wamevaa nguo nyeupe walisimama karibu nao,
Bíwere daro maantsan b́ tuufere, boowere t'iwints dek't daromandan bo s'iilfere nas' taho tah dek'ts git ashuwots bo ganokere need' dek't,
11 wakasema, “Enyi wananchi wa Galilaya! Mbona mnasimama mkitazama angani? Yesu huyu ambaye amechukuliwa kutoka kwenu kwenda mbinguni atakuja tena namna hiyohiyo mliivyomwona akienda mbinguni.”
«It Galil ashuwotso, eegishe need'dek'at daromatsan it s'iliri? Daro maantsan b́ dek'efere it bek'ts Iyesus haniye, daro maantsan b́ tuufere it bek'tsank'on aanar weetuwe» bo eti.
12 Kisha mitume wakarudi Yerusalemu kutoka mlima wa Mizeituni ulioko karibu kilomita moja kutoka mjini.
Maniyere hakon Debrezeyit gurats Iyerusalem maants k'azboaani, Debrezeyit guro Iyerusalematse sanbati aaw sha'ok'oyiye (ik kilometrok'oyiye).
13 Walipofika mjini waliingia katika chumba ghorofani ambamo walikuwa wanakaa; nao walikuwa Petro, Yohane, Yakobo, Andrea, Filipo na Thoma, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo.
Iyerusalemits waat bobeef mootse dambani k'aat'ots k'az bokeshi, boowere P'et'rosi, Yohansi, Yak'obi, Indriyasi, Filip'osi, Tomasi, Bert'elemiyosi, Matiwosi, Ilfyos naay Yak'obi, okooretso Simoonnat Yak'ob naay Yhudne.
14 Hawa wote walikusanyika pamoja kusali, pamoja na wanawake kadha wa kadha, na Maria mama yake Yesu, na ndugu zake.
Jametsanots úniaawo Ik' k'onosh ik nibona bokakuweefo, bontonuwere mááts ik ikuwotsnat Iyesus ind Mariyamn, mank'owere Iyesus eshuwots fa'ano botesh.
15 Siku chache baadaye, kulikuwa na mkutano wa waumini, karibu watu mia moja na ishirini. Petro alisimama mbele yao,
Manoor P'et'ros bale hiyo wotitu amants ashuwots taalotse need'dek't hank'o bíeti,
16 akasema, “Ndugu zangu, ilikuwa lazima ile sehemu ya Maandiko Matakatifu itimie, sehemu ambayo Roho Mtakatifu, kwa maneno ya Daudi, alibashiri habari za Yuda ambaye aliwaongoza wale waliomtia Yesu nguvuni.
«Ti eshuwotso, Iyesusi detsts ashuwotsi jishtso Yhud jangosh, shin shin shayiri S'ayino Dawit noonon b́ keewtso S'ayin mas'aafi aap' s'eeno geyituwe.
17 Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.
Yhud noyitsi iko wotat finan noonton finosh taaweytniye b́teshi.
18 (“Mnajua kwamba yeye alinunua shamba kwa zile fedha alizopata kutokana na kitendo chake kiovu. Akaanguka chini, akapasuka na matumbo yake yakamwagika nje.
Ernmó ashaan b́ gond finon b́ daatsts gizmann datso keew b́dek'i, b́ baron diht gúp'unat b́ taalon kap'eyat bí anzro k'az b́keshi.
19 Kila mtu katika Yerusalemu alisikia habari za tukio hilo na hivyo, kwa lugha yao, wakaliita lile shamba Hekeli Dama, maana yake, Shamba la Damu.)
Keewanuwere Iyerusalemitse fa'a jamwotssh b́ daneyi, mansh datsmanúwere bo nooni keewon ‹Akeldama› et s'egeyi, b́ bitsonuwere ‹S'ats datsa› etee.
20 Basi, imeandikwa katika kitabu cha Zaburi: Nyumba yake ibaki mahame; mtu yeyote asiishi ndani yake. Tena imeandikwa: Mtu mwingine achukue nafasi yake katika huduma hiyo.
«Man b́ wottsonuwere dub mas'aafotse, ‹B́beyoko dats baash wotowe, Konuwor bíyats beek'aye, Aaninuwere b́ naashts naasho k'osh asho bíyatse de'ewutsowe› Ett guut't teshetsotsnee.
21 Kwa hiyo, ni lazima mtu mwingine ajiunge nasi kama shahidi wa ufufuo wake Bwana Yesu.
«Eshe Doonzo Iyesus nodagotse bí ananori noonton towat teshtswotsitse,
22 Anapaswa kuwa mmoja wa wale waliokuwa katika kundi letu wakati wote Bwana alipokuwa anasafiri pamoja nasi, tangu wakati Yohane alipokuwa anabatiza mpaka siku ile Yesu alipochukuliwa kutoka kwetu kwenda mbinguni.”
Mank'o Yohans guproon tuut doonzo Iyesus daromaants b́ tuufetsi aawosh noonton teshtswotsitse ash iko noonton k'irotse tuwi jango gawo b́ woto geyituwe.»
23 Basi, wakataja majina ya watu wawili; wa kwanza Yosefu aliyeitwa Barsaba (au pia Yusto), na wa pili Mathia.
Maniyere hakon git ashuwotsi bo t'intsi, boowere Bersabasi wee Iyost'osi eteefo Yosefnat Matiyasna botesh.
24 Kisha wakasali: “Bwana, wewe unajua mioyo ya watu wote. Hivyo, utuonyeshe ni yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua
Hank'o ettnuwere Ik'o bok'oni, «Ash jami nibo dants doonzono! Gitetsanotsitse nmarat'tso aawi b́ woto noosh kitsuwe,
25 ili achukue nafasi hii ya huduma ya kitume aliyoacha Yuda akaenda mahali pake mwenyewe.”
Nok'onirwonwere Yhud b́ tookon k'az bíamori k'azb́k'rts wosheetsots finan de'er b́ shaato shegrshosh wotituwo noosh nkiitsishee.»
26 Hapo, wakapiga kura; kura ikampata Mathia, naye akaongezwa katika idadi ya wale mitume wengine kumi na mmoja.
It'onowere bo shap'i Matiyassh b́ keshi, Mansh bí tatse ik woshetswotsnton b́ taaweyi.

< Matendo 1 >