< 1 Timotheo 3 >
1 Msemo huu ni wa kweli: mtu akitaka kuwa kiongozi katika kanisa, huyo anatamani kazi nzuri.
kerwo dong dong, tano kange cwiti na co yilam dur bikur wabe di, coki cwi nangendo ken.
2 Basi, kiongozi wa kanisa anapaswa awe mtu asiye na lawama; anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha;
Nyo nii dur kur waber a yilam diker bitorer man dorcer, ca yilam nii ki nawiye wiine, nii tam dor cere, nii wo man ki kutume, nii yo fabubtiye. ca yilam nii nyimom merangka.
3 asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha;
Ca yilare nii noka nyomek, ca yilare nii ki funere, nyeu a yilam ki fuwor neret, nii wo tam dore, kebo nii cwi kemer tiye.
4 anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
Tam nyo ca tam loceu, bibeyo loceu ayilam wo nuwa co tiye kange neka biduyet.
5 Maana kama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?
Tano nii dolbo taka loceko di, ca ta nob Kwama bo nyi?
6 Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa.
Ca yilare nii fwir wo fiya fiya fuloka tiye, kari co dii bwiyo ki cwika dorek, kari ci yarken mor warke wo cii ma bwekelkele nineu.
7 Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi.
Tam nyo ca yila ki warke ken tak mor nobo buro mani more beu, kati ci yarken mor kwenduwe kange cito bwekelkele.
8 Wasaidizi katika kanisa wanapaswa pia kuwa watu wenye tabia njema na wanyofu; wasiwe wanywaji mno wa divai au wenye tamaa ya fedha;
Nyo nobo ma nangen ti bi kur wabere, ken, cia yilam ki taka dorek, kebo nobo ki ni yobe dabo ci a yilam nob noka nyinek kange nob kucunu.
9 wanapaswa kuzingatia kwa dhamiri njema ukweli wa ndani wa imani.
Ci a yilam nob nung bilenketi ki nero wucakke.
10 Ni lazima kwanza wathibitishwe, na wakionekana kuwa wanafaa, basi, watoe huduma yao.
Daten a cuwa cii bwiri, no ciin wi ki warke ken di nimde cii ta nangendo wori cii man ki diker bitorer.
11 Wake zao wanapaswa pia kuwa na tabia njema, wasiowasengenya watu, wenye kiasi na waaminifu katika mambo yote.
Nyo natubo ken a yilam nobo ken, dabo ciya yilam nob cuwarumeb, di nob taka doreb, kange yim ciyaka mor dikero gwam.
12 Msaidizi katika kanisa lazima awe na mke moja tu, na awezaye kuongoza vema watoto wake na nyumba yake.
Tam nyo nobo dur bikur waber a yilam ki nawiye wiin. Ciya dolum mweka bibeyo loceu kange to ka loniciye.
13 Maana wasaidizi wanaofanya kazi yao vizuri hujipatia msimamo mzuri, na wanaweza kusema bila hofu juu ya imani yao katika Kristo Yesu.
Nobo wuro manangendo keneu ciiki fiya dorcero nin dendo ken kange bikwan neret mor bilenke wo Almaciya Yecu nine.
14 Ninakuandikia barua hii nikiwa na matumaini ya kuja kwako hivi karibuni.
Ma mulang mwen dike buroti ki yoka nerek man bo mwinen fo kutangbo.
15 Lakini kama nikicheleweshwa, basi, barua hii itakufahamisha mwenendo tunaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu, ambayo ni kanisa la Mungu aliye hai, na ambalo ni nguzo na msingi wa ukweli.
Tano ntabwiri, maki mulang mwen be na nyumom wang yimeko daten ayiti mor luwe Kwama, wo nob bwanka Kwama ki dume, bikwan, kange tikali bilenke.
16 Hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu: Alionekana katika umbo la kibinadamu alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana na malaika. Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote ulimwenguni, akachukuliwa juu mbinguni katika utukufu.
Kani man, fwetangka bilenke bwangka beko teenangi kabo: Con nung dorcero mor bwiye, Yuwa tangbeko nungi cin nii ken, nob tomange Kwama wucakke tom co, cii tok ker fulene ce mor nobo kumtacili, ciin ne bilenke fo dorbitiner, nimde ciin tu co dii kwama mor duktonka.