< 2 Timotheo 1 >

1 Mimi Paulo, ambaye Mungu alitaka niwe mtume wa Kristo Yesu ili niutangaze ule uzima tulioahidiwa katika kuungana na Kristo Yesu,
Paul bwe tomange Yesu Almacifu ki maka kwamak, dor nored dumero Almacifu Yesu.
2 nakuandikia wewe mwanangu mpenzi Timotheo. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
Timoti bwe ma cwi-cwi yeu, luma nuwa ka duwek kange, foor nerer fiye kwama Tee kange Almacifu Yesu telue beu.
3 Ninamshukuru Mungu ambaye ninamtumikia kwa dhamiri safi kama walivyofanya wazee wangu; namshukuru kila ninapokukumbuka daima katika sala zangu.
Min buh kwama nen kang, wo ma bwang tenti fiye co tenkwanob mibwo wiye, ki dume nerer ken, kambo ma kwati ki mo mor dilo ma kwabti kir-kireu (kume kange kakok).
4 Nakumbuka machozi yako na ninatamani usiku na mchana kukuona, ili nijazwe furaha.
Kambo ma kwaki mwem nuwem be, la man cii na tonen, wori na dimki foor nerer.
5 Naikumbuka imani yako ya kweli, imani aliyokuwa nayo nyanya yako Loisi, na pia mama yako Eunike. Nina hakika kwamba wewe pia unayo.
Cin kuraye ki bilenker mwero cak-cakeu, wuro fyan dimero nuka mwe loyis nineu, kange neemwe Afiniki man nyumom co yim more mwe.
6 Ndio maana nakukumbusha ukiweke motomoto kile kipaji ulichopewa na Mungu wakati nilipokuwekea mikono yangu.
Won co dikero bwi ma kulom nenti miki fweli fuu, tan neka kwama ko wo more mweu, na mwa fiya kambo mwa yo mwen kani miu.
7 Kwa maana Mungu hakutupa Roho wa kutufanya tuwe waoga, bali alitupa Roho wa kutujalia nguvu, upendo na nidhamu.
Wori kwama ne bobo yuwa tangbek taiyek la na bikwan kange cika kange taka dorek.
8 Basi, usione haya kumshuhudia Bwana wetu, wala usione haya kwa sababu yangu mimi niliye mfungwa kwa ajili yake. Lakini shiriki katika mateso kwa ajili ya Habari Njema, kadiri ya nguvu unazopewa na Mungu.
Na wori nuware kwenduwe warke dor Teluwe be. Kaka mo Bulus wo ce ci bwabwbeu, nyori ywelum bwi miri na nuwa dotanage dor ne ka fulnkerer, ki bi kwan kwamar.
9 Yeye alituokoa, akatuita tuwe watu wake yeye mwenyewe, si kwa sababu ya matendo yetu wenyewe bali kwa sababu ya kusudi lake na neema yake. Alitujalia neema hiyo katika Kristo Yesu kabla mwanzo wa nyakati; (aiōnios g166)
Kwaco fulobe la co bo ki bi cor cak-caker con ma weu kebo ker nangeneb, lan makacek kange luma cak. Co nebo dike burombo mor Almacifu Yesu na nimre kaltiyo kabau. (aiōnios g166)
10 lakini sasa imefunuliwa kwetu kwa kuja kwake Mwokozi wetu Yesu Kristo. Yeye amekomesha nguvu za kifo, na kwa njia ya Habari Njema akadhihirisha uzima usio kufa.
La caneu cin fwetang fuloka kwamako fiye cerkenko Yesu ni fulobo cerkanguweu. Almasifu co ca bou ki diika bwareke, lan bou ki dume man ki diika wo ca futangi mor fulenkee.
11 Mungu amenichagua mimi niwe mtume na mwalimu kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema,
Co wo ci cok ye ni neka fulenkerer nii tomage kange nii meranka fiye nubo kumtacile wiyeu.
12 nami nateseka mambo haya kwa sababu hiyo. Lakini niko bado timamu kabisa kwani namjua yule niliyemwamini, tena nina hakika kwamba yeye aweza kukilinda salama kile alichonikabidhi, mpaka Siku ile.
Won co diker bwi ma nuwa dotange dike burowe. La ma nuwa bo kweduwe, wori man nyumom co, wo ma ne bilenkereu. Ma kwabo ki ner can yomen dike ma neceu kakuko co.
13 Shika kwa makini mafundisho yale ya kweli niliyokufundisha, na kubaki katika hiyo imani na huo upendo wetu katika kuungana na Kristo Yesu.
Yoken ma ciya -ciya wo mo nuwa min neu. Ki bilenker kange cwika ko mor Almasifu Yesu.
14 Jambo lile bora ulilokabidhiwa lilinde kwa nguvu ya Roho Mtakatifu anayeishi ndani yetu.
Dike ro kendo kwama neneneu, tamco ki takali yuwa tangbe kwamak wo yim more beu.
15 Kama unavyojua, watu wote mkoani Asia wameniacha, miongoni mwao wakiwa Fugelo na Hermogene.
Bi nyum nubo yim aciya gwam yila men bwim, mor mwer kangka koco, fin calac kange Armajanac.
16 Bwana aihurumie jamaa ya Onesiforo, kwa sababu aliniburudisha rohoni mara nyingi, wala hakuona haya kwa kuwa nilikuwa kifungoni,
Be Teluwe ama bibeyo locenen onici fara nin nuwaka duwek wori, co mamen tikali ti ducce, la co nuwa kwenuwe kuka miko.
17 ila mara tu alipofika Roma, alianza kunitafuta kwa bidii mpaka akanipata.
La nyeu kambo co Roma con do ye ki bilenker kibi com, la con fiyam ye.
18 Bwana amjalie huruma katika Siku ile! Nawe wajua vizuri mengi aliyonifanyia huko Efeso.
Be Teluwe a doki ca fiya nuwa dowek fiye co wiyeu, ki kakuwo. nure co mamen tikali biten Afica gwam kum nyomum.

< 2 Timotheo 1 >