< Warumi 9 >
1 Nasema ukweli katika Kristo. Sisemi uongo, na dhamira yangu hushuhudia pamoja nami katika Roho Mtakatifu,
Ni wamba vuniti mwa Kreste, kani chengi, mi muhupulo wangu uhindite vupaki name muluho lu Jolola,
2 kwamba kuna huzuni kubwa na maumivu yasiyo koma ndani ya moyo wangu.
kuti kwangu kwina kulira kukando niku chiswa ku nkulo kusa mani.
3 Kwamba ningetamani mimi mwenyewe kulaaniwa na kutengwa mbali na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, wale wa jamii yangu katika mwili.
Kaho ni sepa kuti ime ni mwine ni kutiwe nikuvikwa ku mbali kuzwa kwa kreste che vaka lya vamukulwangu, avo va mushovo wangu chokuya ke nyana.
4 Wao ni Waisraeli. Walio na hali ya kufanyika watoto, wa utukufu, wa maagano, na zawadi ya sheria, kumwabudu Mungu, na ahadi.
Ma isilaele. vena ku añulwa, inkanya, chilikani, impo zo mulao, kulumbeka kwe Ireeza, ni nsepiso.
5 Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn )
Va sukukulu vava sukulu kwava kazwi Kreste wa keza ni kute kwi nyama- Iye yali Ireeza konse. Alumbekwe kuya kwile. Amen. (aiōn )
6 Lakini si kwamba ahadi za Mungu zimeshindwa kutimia. Maana si kila mtu aliye Israeli ni Mwiisraeli halisi.
Kono kena kuti insepiso za Ireeza za kanga. Kaho kena vonse vena mwa Isilaele vazwa mwa Isilaele.
7 Sivyo hata kwa uzao wa Abrahamu kuwa ni watoto wake halisi. Lakini, “ni kupitia Isaka uzao wako utaitwa.”
mane ni vaana va Abrahama vaana vakwe ve niti. Kono, “nji ka Isaac kuti vaana venu kava sumpwe.”
8 Hii ni kwamba, watoto wa mwili si watoto wa Mungu. Lakini watoto wa ahadi wanatazamwa kuwa kama uzao.
Icho njikuti, vaana ve nyama kena vaana ve Ireeza. Kono vaana ve nsepiso va vikitwe nji vaana.
9 Maana hili ndilo neno la ahadi: “Katika majira haya nitakuja, na Sara atapewa mtoto.”
Kaho ilyi nji linzwi lye nsepiso: “keyi nako munize, mi mwana kahewe kwa Sarah.”
10 Si hili tu, lakini baada ya Rebeka kupata mimba kwa mtu mmoja, Isaka baba yetu-
Isiñi fela ichi, kono haisi Rebecca naye ava zalwa cha mukwame yenke, Ishetu Isaac-
11 kwamba watoto walikuwa bado hawajazaliwa na alikuwa hajafanya jambo lolote zuri au baya, ili kwamba kusudi la Mungu kulingana na uchaguzi lisimame, wala si kwa matendo, lakini ni kwa sababu ya yule aitae.
kaho vaana kena vavali kuzalitwe mi kena vava pangi chintu chilotu kapa chimbi, njokuti intokwahalo za Ireeza chokuya chokuli ketela chiwole kuzimana, isiñi cha mitendo, koho chevaka lyakwe yo sumpa-
12 Ilinenwa kwake, “Mkubwa atamtumikia mdogo.”
iva wambwa kwali, “mukulwana ka seveleze muhwile.”
13 Kama ilivyo kwisha andikwa: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
iswana sina muiva ñolelwa: “Jacovo niva kumusaka, kono Esau niva kumutoyete.”
14 Basi tena tutasema nini? Je kuna udhalimu kwa Mungu? La hasha.
Cwale he katu wambe nzi? kwina kusa jolola ni Ireeza? kanji ipangahali.
15 Kwa kuwa anasema kwa Musa, “nitakuwa na rehema kwa yule nitakayemrehemu, na nitakuwa na huruma kwa yule nitakayemhurumia.”
Kaho uwamba kwa Mushe, “kanive ni chishemo kozo yete ninive ni chishemo, mi kanive ni nkumbo kwali yete ninive ni kumbo.”
16 Kwa hiyo basi, si kwa sababu ya yeye atakaye, wala si kwa sababu ya yeye ambaye hukimbia, lakini kwa sababu ya Mungu, ambaye huonesha rehema.
Cwalehe, kena kuti nji kwakwe we ntato, kapa iye yo mata, kono ivaka lya Ireeza, yo vonisa chishemo.
17 Kwa kuwa maandiko husema kwa Farao, “Kwa kusudi hili maalumu nilikuinua, ili kwamba nioneshe nguvu zangu katika wewe, na ili kwamba jina langu litangazwe katika nchi yote.”
Kaho iñolo lyi wamba kwa Pharoah, “kelyi vaka niva kunyemuni, njokuti ni sondeze manta angu kwako, mi hape kuti izina lyangu lyive kuwambwa mwifasi lyonse.”
18 Hivyo basi, Mungu huwa na rehema kwa yeyote ampendaye, na kwa ambaye humpenda, humfanya kuwa mkaidi.
Cwalehe, Ireeza wina chishemo kwavo va saka, mi avo va saka, uvapanga kusa zuwa.
19 Kisha utasema kwangu, “Kwa nini bado anaona kosa? Ni yupi ambaye alikwisha kustahimili matakwa yake?”
Kamuwambe cwalehe kwangu, “chinzi hasi wana zifoso? kaho yense ya vazimani he ntato yakwe?”
20 Kinyume chake, mwanadamu, wewe ni nani ujibue kinyume na Mungu? Kuna uwezekano wowote wa kilichofinyangwa kusema kwa mfinyanzi, “Kwanini ulinifanya hivi mimi?”
kwimbali imwi, mukwame, njeweni witava havusu vwe Ireeza? kana china chiva vumbwa kachiwole kuwamba kozo yava chivumbi, “Chinzi hova ni pangi mwinzila umu?”
21 Je mfinyazi huwa hana haki juu ya udongo kutengeneza chombo kwa matumizi maalumu kutokana na bonge lile lile, na chombo kingine kwa matumizi ya kila siku?
muvumbi kena mulao hewulu lye tope kupanga kwi lambi iswana ni chivikilo cho musevezi wo vutokwa, mi ni chimwi chivikilo chokusevelisa izuva ni zuva?
22 Vipi kama Mungu, ambaye ana utayari wa kuonesha gadhabu yake na kufanya nguvu yake kujulikana, alistahimili kwa uvumilivu wa kutosha vyombo vya gadhabu vilivyoandaliwa kwa kuangamiza?
Cwale haiva Ireeza, ya saka ku vonisa vukali niku panga manta akwe aziveke, ava lindizi ninkulo inde yo kuvika vukali vwakwe che nchanganiso?
23 Vipi kama alifanya hivi ili kwamba aoneshe wingi wa utukufu wake juu ya vyombo vya rehema, ambavyo alikwisha kuviandaa kwa ajili ya utukufu?
Cwale kape ava pangi izi njokuti ezivahaze chifumu che nkanya yakwe mukati kezi vukilo ze chishemo, yava vikili kumasule inkanya?
24 Vipi kama alifanya hii pia kwetu, ambaye pia alituita, si tu kutoka kwa Wayahudi, lakini pia kutoka kwa watu wa Mataifa?
Cwale kape ava chitupangili naswe, avo vava sumpi hape, isiñi fela mukati ka Majuda, kono hape niku ma Genitiles?
25 Kama asemavyo pia katika Hosea: “Nitawaita watu wangu ambao hawakuwa watu wangu, na mpendwa wake ambaye hakupendwa.
Sina ha wamba hape mwa Hosea: “kani sumpe vantu vangu vasena vavali vantu vangu, ni musakiwa wakwe yasena va kusakwa.
26 Na itakuwa kwamba pale iliposemwa kwao, 'Ninyi si watu wangu,' pale wataitwa 'wana wa Mungu aliye hai.”'
mi kaive kuti kuiva ka wambwa kuvali iva wambwa kuvali, 'kena muvantu vangu; aho kavasumpwe' vaana ve Ireeza yo hala.'”
27 Isaya analia kuhusiana na Israeli, “Kama hesabu ya wana wa Israeli ingekuwa kama mchanga wa bahari, itakuwa ni masalia ambao wataokolewa.
Isaya ulila Isilaele, “haiva i nombolo ya vaana va Isilaele iswana sina ivu lye wate, kaive za shala kwezo ziva hazwa.
28 Kwa kuwa Bwana atalichukua neno lake juu ya nchi, mapema na kwa utimilifu.
Kaho Simwine mwahinde linzwi lyakwe he fasi, yahanu niku mana.
29 Na kama jinsi Isaya alivyosema awali, “Kama Bwana wa majeshi hakutuachia nyuma uzao kwa ajili yetu, tungekuwa kama Sodoma, na tungefanywa kama Gomora.
Mi iswana sina Isaya hava wambi, “haiva Simwine kena va siyi vaana
30 Tutasema nini basi? kwamba watu wa Mataifa ambao walikuwa hawatafuti haki, walipata haki, haki kwa imani.
Katu wambenzi cwale? kuti ma Genitiles, kena vave chilili kuchena, kuchena kwe ntumero.
31 Lakini Israeli, ambaye alitafuta sheria ya haki, hakuifikia.
Kono Isilaele, vave chilili kuchena ko mulao, kena vava siki koo.
32 Kwanini si hivyo? Kwa sababu hawakuitafuta kwa imani, bali kwa matendo. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa,
Ivaka ncinzi? kakuti kena vava ichilili che tumero, kono che misevezi. Vava nkumi hechwe lyokukuma,
33 kama ilivyo kwisha andikwa, “Tazama, nimelaza jiwe la kujikwaa katika Sayuni na mwamba wa kukosa. Yeye ambaye huamini katika hili hataaibika.”
sina muivañolelwe, “lole, ni lele mwa Zion ichwe lyokukuma ni hechwe lya mafosisa. iye ya zumina muchili kete aswaviswe.”