< Warumi 10 >

1 Ndugu, nia ya moyo wangu na ombi langu kwa Mungu ni kwa ajili yao, kwa ajili ya wokovu wao.
Bamwangu, intakazo ye inkulo yangu ni inkupo yangu kwa Ireeza, kuhazwa kwabo.
2 Kwa kuwa nawashuhudia kwamba wanajuhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si kwa ajili ya ufahamu.
Sina haniha bupaki kuamana nabo kuti bena inchiseho kwa Ireeza, kono isiñi chokuya che inzibo.
3 Kwa kuwa hawajui haki ya Mungu, na wanatafuta kujenga haki yao wenyewe. Hawakuwa watiifu kwa haki ya Mungu.
Kakuti kabezi kuluka kwa Ireeza, imi basaka kuzaka kuluka kwabo bene. Kena babali tuli kunsi yo kuluka kwa Ireeza.
4 Kwa kuwa Kristo ndiye utimilifu wa sheria kwa ajili ya haki ya kila mtu aaminiye.
Kakuti Kirisite nji mwi zuzilikizi wo mulao cho kuluka kwa zumwi ni zumwi yo zumina.
5 Kwa kuwa Musa anaandika kuhusu haki ambayo huja kutokana na sheria: “Mtu ambaye hutenda haki ya sheria ataishi kwa haki hii.”
Kakuti Mushe uñola kuamana ni kuluka kuzwa ku mulao: “Muntu yo panga kuluka kwa mulao kahale cho ku kuluka.”
6 Lakini haki ambayo inatokana na imani husema hivi, “Usiseme moyoni mwako, 'Nani atapaa kwenda mbinguni?' (Hii ni kumleta Kristo chini).
Kono kuluka kuzwa kwi intumelo kuwamba ichi, “Kanji u wambi mwi inkulo yako, 'Njeni yese akambame mwi wulu?' (cho kuti, kuleta Kirisite hansi);
7 Na usiseme, 'Nani atashuka katika shimo?”' (Hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu). (Abyssos g12)
imi kanji uti, 'Njeni yesa shetumukile mwilindi lisena ma manimani?”' (cho kuti, ku zikula Kirisite kuba fwile). (Abyssos g12)
8 Lakini inasema nini? “Neno liko karibu na wewe, katika kinywa chako na katika moyo wako.” Hilo ni neno la imani, ambalo tunatangaza.
Kono iwamba nzi? “Linzwi lina he mbali nawe, mukaholo kako imi ni mwi inkulo yako.” Ilyo nji linzwi lye intumelo, li tuwamba.
9 Kwa kuwa kama kwa kinywa chako unamkiri Yesu ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka.
Mukuti haiba cha kaholo kako uwamba kuti Jesu nji Simwine, imi ni kuzumina mwi inkulo yako kuti Ireeza aba mubusi kuba fwile, kohazwe.
10 Kwa kuwa kwa moyo mtu huamini na kupata haki, na kwa kinywa hukiri na kupata wokovu.
Kakuti che inkulo muntu uzumina cho kuluka, imi cha kaholo u lemuha cha kuhazwa.
11 Kwa kuwa andiko lasema, “Kila amwaminiye hata aibika.”
Kakuti iñolo liwamba, “Yense yo zumina kwali kese na swabiswe.”
12 kwa kuwa hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani. Kwa kuwa Bwana yule yule ni Bwana wa wote, na ni tajiri kwa wote wamwitao.
Kakuti kakwina inshutano mukati ka Mujunda ni Mugerike. Kakuti Simwine uswana nji Simwine wa bonse, imi ufumite kubonse basumpa kwali.
13 Kwa kuwa kila mtu ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka.
Kakuti yense yo sumpa he zina lya Simwine ka hazwe.
14 Kwa jinsi gani wanaweza kumwita yeye ambaye hawajamwamini? Na jinsi gani wanaweza kuamini katika yeye ambaye hawajamsikia? Na watasikiaje pasipo muhubiri?
Cwale linu kaba sumpe bule kwali ubasena ba bazumini? Mu ba zumine bule mwali ibasena ba bazuwi? Mu ba zuwe bule nikusena mukutazi?
15 Na jinsi gani wanaweza kuhubiri, isipokuwa wametumwa? - Kama ilivyoandikwa, “Jinsi gani ni mizuri miguu ya wale ambao wanatangaza habari za furaha za mambo mema!”
Cwale kaba kutaze bule, kwanda haba tumwa? Sina mukuñolelwe, “Malotu bule mantende abo bawamba makande a zintu zi lotu!”
16 Lakini wote hawakusikiliza injili. Kwa kuwa Isaya hunena, “Bwana, ni nani aliyesikia ujumbe wetu?”
Kono bonse kena ba tekelezi kwi ivangeli. Mukuti Isaya uwamba, “Simwine, njeni ya ba zumini iñusa lyetu?
17 Hivyo imani huja kutokana na kusikia, na kusikia kwa neno la Kristo.
Linu intumelo iza cha kuzuwa, imi ni kuzuwa cha linzwii lya Kirisite.
18 Lakini nasema, “Je hawakusikia?” Ndiyo, kwa hakika sana. “Sauti yao imekwisha toka nje katika nchi yote, na maneno yao kwenda miisho ya dunia.”
Kono ni wamba, “Kana baba zuwi?” Eee, cho buniti. “Mulumo wabo ubayendi mwi inkanda zonse, imi manzwi abo ku mamani mani e inkanda.”
19 Zaidi ya yote, Ninasema, “Je Israel hakujua?” Kwanza Musa hunena, “Nitawachokoza kuwatia wivu kwa watu ambao si taifa. Kwa njia ya taifa lisilo na uelewa, nitawachochea hadi mkasirike.”
Nihakubabulyo, ni wamba, “Kana Isiraele kana abezi?” Intanzi Mushe uti, “Kani mitangole cha muna kecho chisali che inkanda. Cha mukwa we inkanda ni kusena kuzuwisisa, kani mi tangole mane mubenge.”
20 Na Isaya ni jasiri sana na husema, “Nilipatikana na wale ambao hawakunitafuta. Nilionekana kwa wale ambao hawakunihitaji.”
Linu Isaya abena bundume ha wamba, “Niba wanwa kwabo basana babali kunigana. Niba libonahazi kwabo basana babani kumbili.”
21 Lakini kwa Israel husema, “Siku zote nilinyoosha mikono yangu kwa wasiotii na kwa watu wagumu.”
Kono kwa Isiraele uwamba, “Musihali onse ni ba wololi mayanza angu kubasa kuteki ni bantu bamahañi.”

< Warumi 10 >