< Zaburi 92 >

1 Ni jambo jema kumshukuru Yahwe na kuliimbia sifa jina lako, Uliye Juu,
安息日的詩歌。 至高者!最幸福的事情,是讚美上主,歌頌主名,
2 kutangaza uaminifu wa agano lako wakati wa asubuhi na uaminifu wako kila usiku,
是清晨傳揚您的仁慈,是夜間宣講您的忠義,
3 kwa kinubi cha nyuzi kumi na kwa tuni ya kinubi.
彈奏十絃琴和七絃琴,隨著琵琶旋律而詠詩。
4 Kwa kuwa wewe, Yahwe, matendo yako yamenifurahisha. Nitaimba kwa furaha kwa sababu ya matendo ya mikono yako.
上主,你既以你的化工使我喜悅,我就因你雙手的一切工程歡樂。
5 Ni jinsi gani matendo yako ni makuu, Yahwe! mawazo yako ni ya kina.
上主,您的工程是多麼偉大,您的計劃是多麼奧妙!
6 Mtu mpumbavu hawezi kuyajua, wala mjinga kuyaelewa haya:
無理性的人,不會明白這事;愚昧的人,也不會領悟這事。
7 Wasio haki watakapochipuka kama nyasi, na hata watendao uovu watakapo stawi, bado wataangamizwa kwenye uharibifu wa milele.
歹徒雖然一時茂盛有如青草,作奸犯科的人雖然一時顯耀,然而他們終終必滅亡,永遠沉消,
8 Lakini wewe, Yahwe, utatawala milele.
上主,惟有您永遠是至尊至高。
9 Hakika, watazame adui zako, Yahwe! Hakika, watazame adui zako. Wataangamia! Wale wote watendao maovu watatawanywa.
上主,請看您的仇人,您的仇人必要沉淪;作惡的人無處棲身。
10 Wewe umeyainua mapembe yangu kama mapembe ya Nyati wa porini; nimepakwa mafuta safi.
您高舉我的角似野牛的角,用極新鮮的油膏傳抹了我,
11 Macho yangu yameona kuanguka kwa adui zangu; masikio yangu yamesikia maangamizi ya maadui zangu waovu.
因而我的眼目才輕視我的仇人,我耳朵歡樂聽見制服我的惡人。
12 Wenye haki watastawi kama mtende; watakua kama mwerezi wa Lebanoni.
正義的人像棕櫚茂盛,似黎巴嫩的香柏高聳。
13 Wamepandwa katika nyumba ya Yahwe; wakistawi katika nyua za Mungu wetu.
他們被栽植在上主的殿中,在我們天主的庭院裏繁榮。
14 Wao huzaa matunda hata uzeeni; hukaa safi na wenye afya,
雖已年老,仍然結果,枝葉繁盛,依舊綠茂;
15 kutangaza kuwa Yahwe ni wa haki. Yeye ni mwamba wangu, na hakuna udhalimu ndani yake.
為宣揚上主是多麼正直:我的磐石祂毫沒有不義。

< Zaburi 92 >