< Zaburi 80 >

1 Usikie, Mchungaji wa Israel, wewe uliye muongoza Yusufu kama kundi; wewe uketiye juu ya makerubi, utuangazie!
Til Sangmesteren; til „Lillierne‟; et Vidnesbyrd; af Asaf, en Psalme.
2 Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
Du Israels Hyrde! vend dine Øren hid, du, der leder Josef som en Hjord, du, som sidder over Keruber, aabenbar dig herligt!
3 Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
Rejs din Magt for Efraim og Benjamin og Manasse og kom os til Frelse!
4 Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
Gud! hjælp os op igen og lad dit Ansigt lyse, saa blive vi frelste!
5 Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
Herre, Gud Zebaoth! hvor længe har du ladet Vreden ryge uagtet dit Folks Bøn?
6 Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
Du har bespist dem med Taarebrød og givet dem Taarer at drikke i fulde Maal.
7 Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
Du sætter os til en Trætte for vore Naboer, og vore Fjender spotte os.
8 Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
Gud Zebaoth! hjælp os op igen og lad dit Ansigt lyse, saa blive vi frelste.
9 Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
Du førte en Vinstok fra Ægypten, du uddrev Hedningerne og plantede den.
10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
Du ryddede for den, og den lod sine Rødder rodfæstes og opfyldte Landet.
11 Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
Bjerge bleve skjulte med dens Skygge, og dens Grene vare som Guds Cedre.
12 Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.
Den udbreder sine Grene til Havet og sine unge Kviste til Floden.
13 Ngurue wa msituni wanauharibu, na wanyama wa kondeni wanaula.
Hvorfor har du nedrevet Gærdet om den, saa at alle de, som gaa forbi ad Vejen, plukke i den?
14 Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.
Svinet fra Skoven roder om den, og vilde Dyr paa Marken afæde den.
15 Huu ni mzizi ambao mkono wako wa kuume umeupanda, mashina ambayo wewe uliyafanya yakue.
Gud Zebaoth! vend dog om; sku ned af Himmelen og se til og besøg denne Vinstok
16 Yamekatwa na kuchomwa; yameangamia kwa sababu ya kukemea kwako.
og den Pode, som din højre Haand plantede, og den Søn, som du gjorde stærk for dig.
17 Mkono wako na uwe juu ya mtu aliye mkono wako wa kuume, kwa mwana wa mtu uliyemfanya imara kwa ajili yako mwenyewe.
Den er brændt med Ild, den er omhugget; de omkomme for dit Ansigts Trusel.
18 Ndipo hatuta kuacha wewe; utuhuishe, nasi tutaliita jina lako.
Lad din Haand være over, din højre Haands Mand, over den Menneskens Søn, som du gjorde stærk for dig.
19 Yahwe, Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; utuangazie nuru ya uso wako, nasi tutaokolewa.
Saa ville vi ikke vige fra dig; lad du os leve, og vi ville paakalde dit Navn. Herre, Gud Zebaoth; hjælp os op igen, lad dit Ansigt lyse, saa blive vi frelste.

< Zaburi 80 >