< Zaburi 8 >

1 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
برای سالار مغنیان برجتیت. مزمور داود ای یهوه خداوند ما، چه مجید است نام تودر تمامی زمین، که جلال خود را فوق آسمانها گذارده‌ای!۱
2 Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
از زبان کودکان وشیرخوارگان به‌سبب خصمانت قوت را بنا نهادی تا دشمن و انتقام گیرنده را ساکت گردانی.۲
3 Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
چون به آسمان تو نگاه کنم که صنعت انگشتهای توست، و به ماه و ستارگانی که تو آفریده‌ای،۳
4 Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
پس انسان چیست که او را به یادآوری، وبنی آدم که از او تفقد نمایی؟۴
5 Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
او را از فرشتگان اندکی کمتر ساختی و تاج جلال و اکرام را بر سراو گذاردی.۵
6 Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
او را بر کارهای دست خودت مسلط نمودی، و همه‌چیز را زیر پای وی نهادی،۶
7 kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
گوسفندان و گاوان جمیع، و بهایم صحرا را نیز؛۷
8 ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
مرغان هوا و ماهیان دریا را، و هر‌چه بر راههای آبها سیر می‌کند.۸
9 Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!
‌ای یهوه خداوند ما، چه مجیداست نام تو در تمامی زمین!۹

< Zaburi 8 >