< Zaburi 75 >

1 Tunatoa shukrani kwako, Mungu; tunatoa shukrani, maana wewe unaufunua uwepo wako; watu huzungumza kuhusu kazi zako za ajabu.
in finem ne corrumpas psalmus Asaph cantici confitebimur tibi Deus confitebimur et invocabimus nomen tuum narrabimus mirabilia tua
2 Kwa wakati maalum nitahukumu kwa haki.
cum accepero tempus ego iustitias iudicabo
3 Ingawa nchi na wenyeji wote watatikisika katika hofu, ninaifanyia nchi nguzo za kutosha. (Selah)
liquefacta est terra et omnes qui habitant in ea ego confirmavi columnas eius diapsalma
4 Nilisema kwa wenye kiburi, “Msiwe wenye kiburi,” na kwa waovu, “Msiinue mapembe.
dixi iniquis nolite inique facere et delinquentibus nolite exaltare cornu
5 Msiinue mapembe yenu kwenye marefu; wala msizungumze kwa shingo ya kiburi.”
nolite extollere in altum cornu vestrum nolite loqui adversus Deum iniquitatem
6 Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
quia neque ab oriente neque ab occidente neque a desertis montibus
7 Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
quoniam Deus iudex est hunc humiliat et hunc exaltat
8 Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
quia calix in manu Domini vini meri plenus mixto et inclinavit ex hoc in hoc verum fex eius non est exinanita bibent omnes peccatores terrae
9 Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.
ego autem adnuntiabo in saeculum cantabo Deo Iacob
10 Yeye husema, “Nitayakata mapembe yote ya waovu, lakini mapembe ya wenye haki yatainuliwa.”
et omnia cornua peccatorum confringam et exaltabuntur cornua iusti

< Zaburi 75 >