Preface
Bibles
+
SWN
CSG
X
<
h9028
>
X
<
^
>
<
>
<
Zaburi
63
>
1
Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
達味詩歌,作於飄流在猶大曠野時。 天主,您是我的天主,我急切祈求您;我的靈魂渴慕您,我的肉身切望您,我有如一塊乾旱涸竭的無水田地。
2
Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
我在聖殿裏瞻仰過您,為看到您的威能和您的光輝;
3
Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
您的慈愛比生命更為寶貴,我的唇舌要時常稱頌您。
4
Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
我要一生一世讚美您,我要因您的名把手舉起!
5
Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
我的心靈好像飽享了膏脂,我要以歡愉的口唇讚美您。
6
nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
我在床上想起了您,徹夜不眠地默想著您。
7
Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
因為您作了我的助佑,我要在您的羽翼下歡舞。
8
Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
我的心靈緊緊追隨您,您的右手常常扶持著我。
9
Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
那些謀圖陷害我命的人,必將墜落在地下的深層;
10
watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
他們必為刀劍所殺死,也必然為野犬所分食。
11
Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.
但是君王必要因天主而喜慶;凡以天主宣誓的人,必要自幸,因為說謊的口,必要瘖啞失聲。
<
Zaburi
63
>
Go to
>
Bookmark
/
Concordance
/
Maps
/
Report Issue
The world's first Holy Bible un-translation!