< Zaburi 51 >

1 Unirehemu, Mungu, kwa sababu ya uaminifu wa agano lako; kwa ajili ya wingi wa matendo yako ya rehema, uyafute makosa yangu.
達味詩歌,交與樂官。 作於納堂先知前來指責他與巴特舍巴犯姦之後。 天主,求你按照你的仁慈憐憫我,依你豐厚的慈愛,消滅我的罪惡。
2 Unioshe kabisa uovu wangu na unisafishe dhambi zangu.
求你把我的過犯洗盡,求你把我的罪惡除淨,
3 Kwa maana ninayajua makosa yangu, na dhambi yangu iko mbele yako siku zote.
因為我認清了我的過犯,我的罪惡常在我的眼前。
4 Dhidi yako, wewe pekee, nimetenda dhambi na kufanya uovu mbele ya macho yako; uko sawa usemapo; wewe uko sahahi utoapo hukumu.
我得罪了你,惟獨得罪了你,因為我作了你視為惡的事;因此,在你的判決上顯出你公義,在你的斷案上,顯出你的正直。
5 Tazama, nilizaliwa katika uovu; pindi tu mama yangu aliponibeba mimba, nilikuwa katika dhambi. Tazama, wewe unahitaji uaminifu ndani ya moyo wangu;
是的,我自出世便染上了罪惡,我的母親在罪惡中懷孕了我。
6 katika moyo wangu wewe utanifanya niijue hekima.
你既然喜愛那出自內心的誠實,求在我心的深處教我認識智慧。
7 Unisafishe kwa hisopo, nami nitakuwa safi; unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
求你以牛膝草灑我,使我皎潔,求你洗滌我,使我比雪還要白。
8 Unifanye kusikia furaha na shangwe ili kwamba mifupa ulioivunja ifurahi.
求你賜我聽見快慰和喜樂,使你粉碎的骨骸重新歡躍。
9 Uufiche uso wako mbali na dhambi zangu na uyafute maovu yangu yote.
求你掩面別看我的罪過,求你除掉我的一切罪惡。
10 Uniumbie moyo safi, Mungu, na uifanye upya roho ya haki ndani yangu.
天主,求你給我再造一顆純潔的心,使我重獲堅固的精神。
11 Usiniondoe uweponi mwako, na usimuondoe roho Mtakatifu ndani yangu.
求你不要從你面前把我拋棄,不要從我身上收回你的聖神。
12 Unirudishie furaha ya wokovu wako, na unihifadhi mimi kwa roho ya utayari.
求你使我重獲你救恩的喜樂,求你以慷慨的精神來扶持我。
13 Ndipo nitawafundisha wakosaji jia zako, na wenye dhambi watakugeukia wewe.
我要教導你的道路給作惡者,罪人們都要回頭,向你奔赴。
14 Unisamehe kwa ajili ya umwagaji damu, Mungu wa wokovu wangu, nami nitapiga kelele za shangwe ya haki yako.
天主,我的救主,求你免我血債,我的舌頭必要歌頌你的慈愛。
15 Ee Bwana, uifungue midomo yangu, na mdomo wangu itazieleza sifa zako.
我主,求你開啟我的口唇,我要親口宣揚你的光榮。
16 Kwa maana wewe haufurahishwi katika sadaka, vinginevyo ningekutolea sadaka; wewe hauwi radhi katika sadaka ya kuteketezwa.
因為你既然不喜悅祭獻,我獻全燔祭,你也不喜歡。
17 Sadaka ya Mungu ni roho iliyovunjika. Wewe, Mungu hautadharau moyo uliopondeka na kujutia.
天主,我的祭獻就是這痛悔的精神,天主,你不輕看痛悔和謙卑的赤心。
18 Uitendee mema Sayuni katika nia yako nzuri; uzijenge tena kuta za Yerusalem.
上主,求你以慈愛恩待熙雍,求你重修耶路撒冷城。
19 Kisha wewe utafurahia sadaka yenye haki, katika sadaka za kuteketeza; ndipo watu wetu watatoa ng'ombe kwenye madhabahu yako.
那時你必悅納合法之祭,犧牲和全燔祭獻;那時,人必要把牛犢奉獻於你的祭壇。

< Zaburi 51 >