< Zaburi 3 >
1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
Псалом Давида, когда он бежал от Авессалома, сына своего. Господи! как умножились враги мои! Многие восстают на меня
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
многие говорят душе моей: “нет ему спасения в Боге”.
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
Но Ты, Господи, щит предо мною, слава моя, и Ты возносишь голову мою.
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
Гласом моим взываю к Господу, и Он слышит меня со святой горы Своей.
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
Ложусь я, сплю и встаю, ибо Господь защищает меня.
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
Не убоюсь тем народа, которые со всех сторон ополчились на меня.
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
Восстань, Господи! спаси меня, Боже мой! ибо Ты поражаешь в ланиту всех врагов моих; сокрушаешь зубы нечестивых.
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
От Господа спасение. Над народом Твоим благословение Твое.