< Zaburi 146 >

1 Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
Alleluja! Slavē To Kungu, mana dvēsele.
2 Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
Es slavēšu To Kungu, kamēr dzīvošu, es dziedāšu savam Dievam, kamēr vēl še būšu.
3 Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
Nepaļaujaties uz lieliem kungiem, uz cilvēku bērniem, kas nekā nevar palīdzēt.
4 Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
Cilvēka garam jāiziet, viņam jāpaliek atkal zemes kārtā, tai dienā visi viņa nodomi iet bojā.
5 Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
Svētīgs tas, kam Jēkaba Dievs par palīgu un kam cerība stāv uz To Kungu, savu Dievu!
6 Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
Viņš debesis un zemi radījis, jūru un visu, kas tur iekšā; Viņš uzticību tur mūžīgi.
7 Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
Viņš tiesu nes tiem, kas varas darbus cieš, dod maizi izsalkušiem. Tas Kungs atsvabina cietumniekus.
8 Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
Tas Kungs atdara akliem acis, Tas Kungs uzceļ nospiestus; Tas Kungs mīļo taisnus.
9 Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
Tas Kungs pasargā svešiniekus un bāriņus un uztur atraitnes, bet bezdievīgiem Viņš ceļus samaitā.
10 Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.
Tas Kungs valdīs mūžīgi, tavs Dievs, ak Ciāna, līdz radu radiem. Alleluja!

< Zaburi 146 >