< Zaburi 114 >

1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
ANAE si Israel jumanao juyong Egipto, y guima Jacob guinin y taotao y finijo na ti matungo.
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
Juda jumuyong y santos na sagaña, yan Israel y gobietnoña.
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
Y tase jalie ayo, yan malago; Jordan masugon tate.
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
Y beca sija manayog taegüije y quinilo laje yan y mandiquique ogso sija taegüije y manpatgon na quinilo sija.
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
Jafa guaja guiya jago, O tase, na malagojao? Jago Jordan ni y masugon tate?
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
Jamyo ni y beca sija ni y manayog taegüije y quinilo laje; yan jamyo di quique na ogso sija taegüije y manpatgon na quinilo sija?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
Mayeyengyong, jago tano, gui menan Jeova, gui menan y Yuus Jacob;
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
Ni y jafaacho y jagoe janom, ya jafagagot y tutujon janom sija.

< Zaburi 114 >