< Zaburi 106 >

1 Msifuni Yahwe. Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Аллилуия. Славьте Господа, ибо Он благ, ибо вовек милость Его.
2 Ni nani awezaye kuyahesabu mataendo makuu ya yahwe au kutangaza katika ukamilifu sifa zote za matendo yake ya kuaminika.
Кто изречет могущество Господа, возвестит все хвалы Его?
3 Wamebarikiwa wale watendao yaliyo mema na matendo yao yaliyo haki siku zote.
Блаженны хранящие суд и творящие правду во всякое время!
4 Ukumbuke, Ee Yahwe, unapowaonesha watu wako neema; unisaidie unapowaokoa.
Вспомни о мне, Господи, в благоволении к народу Твоему; посети меня спасением Твоим,
5 Ndipo nitaona mafanikio ya wateule wako, wakifurahia katika furaha ya taifa lako, na utukufu pamoja na urithi wako.
дабы мне видеть благоденствие избранных Твоих, веселиться веселием народа Твоего, хвалиться с наследием Твоим.
6 Tumefanya dhambi kama babu zetu, tumekosea, na kufanya uovu.
Согрешили мы с отцами нашими, совершили беззаконие, соделали неправду.
7 Baba zetu hawakuyatambua matendo yako ya ajabu katika Misri; walipuuzia matendo yako mengi ya uaminifu wa agano; waliasi penye bahari, bahari ya Shamu.
Отцы наши в Египте не уразумели чудес Твоих, не помнили множества милостей Твоих, и возмутились у моря, у Чермного моря.
8 Hata hivyo, yeye aliwaokoa kwa ajili ya jina lake ili kwamba aweze kuzifunua nguvu zake.
Но Он спас их ради имени Своего, дабы показать могущество Свое.
9 Aliikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka. Kisha akawaongoza vilindini, kana kwamba ni jangwani.
Грозно рек морю Чермному, и оно иссохло; и провел их по безднам, как по суше;
10 Aliwaokoa kutoka mkononi mwa wale waliowachukia, na aliwaokoa kutoka mkononi mwa adui.
и спас их от руки ненавидящего и избавил их от руки врага.
11 Lakini maji yaliwafunika washindani wao; hakuna hata mmoja aliye okolewa.
Воды покрыли врагов их, ни одного из них не осталось.
12 Ndipo waliyaamini maneno yake, nao waliimba sifa zake.
И поверили они словам Его, и воспели хвалу Ему.
13 Lakini walisahau haraka kile alichofanya; hawakuyasubiri maelekezo yake.
Но скоро забыли дела Его, не дождались Его изволения;
14 Walikuwa na tamaa isiyotoshelezwa jangwani, wakamjaribu Mungu nyikani.
увлеклись похотением в пустыне, и искусили Бога в необитаемой.
15 Aliwapa ombi lao, lakini alituma gonjwa ambalo lilishambulia miili yao.
И Он исполнил прошение их, но послал язву на души их.
16 Katika kambi wakawa na wivu juu Musa na Haruni, kuhani mtakatifu wa Yahwe.
И позавидовали в стане Моисею и Аарону, святому Господню.
17 Nchi ilifunguka na ilimmeza Dathani na iliwafunika wafuasi wa Abiramu.
Разверзлась земля, и поглотила Дафана и покрыла скопище Авирона.
18 Moto uliwaka kati yao; moto uliwaangamiza waovu.
И возгорелся огонь в скопище их, пламень попалил нечестивых.
19 Walitengeneza ndama huko Horebu na kuabudu sanamu ya kuyeyuka.
Сделали тельца у Хорива и поклонились истукану;
20 Wakaubadili utukufu wa Mungu kuwa mfano wa ng'ombe alaye majani.
и променяли славу свою на изображение вола, ядущего траву.
21 Walimsahau Mungu wokozi wao, aliyefanya mambo makuu katika Misri.
Забыли Бога, Спасителя своего, совершившего великое в Египте,
22 Alifanya matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu na matendo makuu penye Bahari ya Shamu.
дивное в земле Хамовой, страшное у Чермного моря.
23 Mungu angetangaza uharibifu wao, kama sio Musa, mteule wake, aliingilia kati kugeuza hasira yake dhidi ya kuwaangamiza.
И хотел истребить их, если бы Моисей, избранный Его, не стал пред Ним в расселине, чтобы отвратить ярость Его, да не погубит их.
24 Kisha waliidharau nchi yenye matunda; hawakuiamini ahadi yake,
И презрели они землю желанную, не верили слову Его;
25 bali walilalamiaka katika mahema yao, na hawakumtii Yahwe.
и роптали в шатрах своих, не слушались гласа Господня.
26 Kwa hiyo aliinua mkono wake na kuapa kwao kuwa atawaacha wafe jangwani,
И поднял Он руку Свою на них, чтобы низложить их в пустыне,
27 akitawanya uzao wao kati ya mataifa, na kuwatawanya katika nchi za kigeni.
низложить племя их в народах и рассеять их по землям.
28 Waliabudu Baal ya Poeri na walizila dhabihu zilizotolewa kwa wafu.
Они прилепились к Ваалфегору и ели жертвы бездушным,
29 Walimkasirisha kwa matendo yao, na pigo la gonjwa baya liliwashambulia kati yao.
и раздражали Бога делами своими, и вторглась к ним язва.
30 Ndipo Finehasi aliinuka kuingilia kati, na pigo likakoma.
И восстал Финеес и произвел суд, - и остановилась язва.
31 Ilihesabika kwake kama tendo la haki kwa vizazi vyote hata milele.
И это вменено ему в праведность в роды и роды во веки.
32 Pia walimkasirisha Yahwe penye maji ya Meriba, na Musa aliteseka kwa ajili yao.
И прогневали Бога у вод Меривы, и Моисей потерпел за них,
33 Walimghadhabisha Musa naye akaongea haraka.
ибо они огорчили дух его, и он погрешил устами своими.
34 Hawakuyaharibu mataifa kama Yahwe alivyowaamuru,
Не истребили народов, о которых сказал им Господь,
35 bali walichangamana na mataifa na walijifunza njia zao
но смешались с язычниками и научились делам их;
36 nao waliabudu sanamu, nazo zikawa mtego kwao.
служили истуканам их, которые были для них сетью,
37 Waliwatoa wana wao na binti zao kwa mapepo.
и приносили сыновей своих и дочерей своих в жертву бесам;
38 Walimwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana na binti zao, ambao waliwatoa kama dhabihu kwa sanamu za Kanaani, waliinajisi nchi kwa damu.
проливали кровь невинную, кровь сыновей своих и дочерей своих, которых приносили в жертву идолам Ханаанским, - и осквернилась земля кровью;
39 Walinajisiwa kwa matendo yao; katika matendo yao walikuwa kama malaya.
оскверняли себя делами своими, блудодействовали поступками своими.
40 Hivyo Yahwe aliwakasilikia watu wake, akawadharau watu wake mwenyewe.
И воспылал гнев Господа на народ Его, и возгнушался Он наследием Своим
41 Akawaruhusu mataifa, na wale walio wachukia wakawatawala.
и предал их в руки язычников, и ненавидящие их стали обладать ими.
42 Maadui zao wakawaonea, wakatiishwa chini ya mamlaka yao.
Враги их утесняли их, и они смирялись под рукою их.
43 Mara nyingi alienda kuwasaidia, lakini waliendelea kuasi nao walishushwa chini kwa dhambi zao wenyewe.
Много раз Он избавлял их; они же раздражали Его упорством своим, и были уничижаемы за беззаконие свое.
44 Hata hivyo, aliiangalia dhiki yao aliposikia kilio chao kwa ajili ya msaada.
Но Он призирал на скорбь их, когда слышал вопль их,
45 Alikumbuka agano lake pamoja nao na alijirudi kwa sababu ya upendo wake thabiti.
и вспоминал завет Свой с ними и раскаивался по множеству милости Своей;
46 Aliwafanya wote waliowateka wawahurumie.
и возбуждал к ним сострадание во всех, пленявших их.
47 Utuokoe, Ee Yahwe, Mungu wetu. Utukusanye kutoka kati ya mataifa ili kwamba tuweze kulishukuru jina lako takatifu na utukufu katika sifa zako. Yahwe,
Спаси нас, Господи, Боже наш, и собери нас от народов, дабы славить святое имя Твое, хвалиться Твоею славою.
48 Mungu wa Israeli, na asifiwe toka milele na milele. watu wote walisema, “Amen.” Msifuni Yahwe. Kitabu cha tano.
Благословен Господь, Бог Израилев, от века и до века! И да скажет весь народ: аминь! Аллилуия!

< Zaburi 106 >