< Nehemia 3 >

1 Kisha Eliashibu, kuhani mkuu, akasimama pamoja na ndugu zake makuhani, wakajenga lango la kondoo. Walitakasa na kuweka milango yake. Waliweka wakfu hadi mnara wa Hamea na hadi mnara wa Hananeli.
آنگاه الیاشیب که کاهن اعظم بود به اتفاق کاهنان دیگر، حصار شهر را تا برج صد و برج حنن‌ئیل بازسازی نمودند. سپس دروازه گوسفند را ساختند و درهایش را کار گذاشتند و آن را تقدیس کردند.
2 Baada yao watu wa Yeriko walijenga, na baada yao Zakuri mwana wa Imri alijenga.
قسمت دیگر حصار را اهالی اریحا و قسمت بعدی را عده‌ای به سرپرستی زکور (پسر امری) بازسازی کردند.
3 Wana wa Senaa wakajenga lango la samaki. Wanaweka mihimili yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
پسران هسناه دروازهٔ ماهی را بر پا کردند. ایشان تیرها و درهای آن را کار گذاشتند و قفلها و پشت‌بندهایش را وصل کردند.
4 Meremoth aliandaa sehemu inayofuata. Yeye ni mwana wa Uria mwana wa Hakosi. Na baada yao Meshulamu akatengeneza. Yeye ni mwana wa Berekia mwana wa Meshezabeli. Karibu nao Sadoki akatengeneza. Yeye ni mwana wa Baana.
مریموت (پسر اوریا و نوه حقوص) قسمت بعدی حصار را تعمیر کرد. در کنار او مشلام (پسر برکیا و نوه مشیزبئیل) و صادوق (پسر بعنا) قسمت دیگر را تعمیر کردند.
5 Baada yao Watekoi wakatengeneza, lakini viongozi wao walikataa kufanya kazi iliyoagizwa na wakuu wao.
اهالی تقوع قسمت بعدی حصار را بازسازی نمودند، ولی بزرگان ایشان از کارفرمایان اطاعت نکردند و از کار کردن امتناع ورزیدند.
6 Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya, walitengeneza lango la Kale. Wanaweka mihimili, na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
یویاداع (پسر فاسیح) و مشلام (پسر بسودیا) دروازهٔ کُهنه را تعمیر نمودند. ایشان تیرها را نصب کردند، درها را کار گذاشتند و قفلها و پشت‌بندهایش را وصل کردند.
7 Nao, Melatia Mgibeoni, na Yadoni Meronothi, watu wa Gibeoni na Mispa, walifanyia matengenezo juu ya sehemu ambapo mkuu wa mkoa wa ng'ambo ya Mto aliishi.
در کنار ایشان ملتیا اهل جبعون، یادون اهل میرونوت و اهالی جبعون و مصفه قسمت بعدی حصار را تا مقر حاکم ناحیهٔ غرب رود فرات تعمیر کردند.
8 Na baada yake Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa wafua dhahabu, akatengeneza; na baada yake Hanania, mtengenezaji wa manukato. Wakajenga tena Yerusalemu mpaka Ukuta mpana.
عزی‌ئیل (پسر حرهایا) که از زرگران بود قسمت بعدی را تعمیر کرد. در کنار او حننیا که از عطاران بود قسمت دیگر حصار را بازسازی نمود. به این ترتیب آنها حصار اورشلیم را تا دیوار عریض تعمیر کردند.
9 Na baada yao Refaya mwana wa Huri akajenga. Alikuwa mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.
قسمت بعدی را رفایا (پسر حور) تعمیر کرد. او شهردار نصف شهر اورشلیم بود.
10 Na baada yao Yedaya mwana wa Harumafu akajenga karibu na nyumba yake. Na baada yake Hatushi mwana wa Hashabneya akajenga.
یدایا (پسر حروماف) قسمت دیگر حصار را که نزدیک خانه‌اش بود تعمیر کرد. قسمت بعدی را حطوش (پسر حشبنیا) بازسازی نمود.
11 Malkiya mwana wa Harimu na Hashubu mwana wa Pahat Moabu, wajenga sehemu nyingine pamoja na mnara wa tanuu.
ملکیا (پسر حاریم) و حشوب (پسر فحت موآب) برج تنورها و قسمت بعدی حصار را تعمیر کردند.
12 Baada yao Shalumu mwana wa Haloheshi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, akajenga, pamoja na binti zake.
شلوم (پسر هلوحیش) و دختران او قسمت بعدی را ساختند. او شهردار نصف دیگر شهر اورشلیم بود.
13 Hanuni na wenyeji wa Zanoa walijenga lango la bondeni. Walijenga tena na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake. Walijenga dhiraa elfu hadi lango la jaa.
حانون به اتفاق اهالی زانوح «دروازه دره» را ساخت، درها را کار گذاشت و قفلها و پشت‌بندهایش را وصل کرد؛ سپس پانصد متر از حصار را تا دروازۀ خاکروبه تعمیر نمود.
14 Malkiya, mwana wa Rekabu, mkuu wa wilaya ya Beth-Hakeremu, akajenga lango la jaa. Alijenga na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake.
ملکیا (پسر رکاب)، شهردار بیت هکاریم، دروازۀ خاکروبه را تعمیر کرد و درها را کار گذاشت و قفلها و پشت‌بندهایش را وصل کرد.
15 Shalumu mwana wa Kolhoze, mkuu wa wilaya ya Mispa, akajenga lango la Chemchemi. Alijenga, na kuweka kifuniko juu yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake. Alijenga upya ukuta wa Pwani wa Silowamu kwa bustani ya mfalme, hadi ngazi ya kuongoza kutoka mji wa Daudi.
شلون (پسر کُلحوزه)، شهردار مصفه، دروازهٔ چشمه را تعمیر کرد و تیرها و درها را کار گذاشت و قفلها و پشت‌بندهایش را وصل کرد. سپس حصار را از حوض سیلوحا که کنار باغ پادشاه بود تا پله‌هایی که به بخش شهر داوود می‌رسید، تعمیر کرد.
16 Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-suri, akajenga mahali hapo, toka maburini ya Daudi, mpaka birika lililojengwa na watu, na nyumba ya watu wenye nguvu.
در کنار او نحمیا (پسر عزبوق)، شهردار نصف شهر بیت‌صور، حصار را تا مقابل آرامگاه داوود و تا مخزن آب و قرارگاه نظامی تعمیر کرد.
17 Baada yake, Walawi walijenga, pamoja na Rehumi mwana wa Bani na baada yake, Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, kwa wilaya yake.
قسمتهای دیگر حصار توسط این لاویان بازسازی شد: رحوم (پسر بانی) قسمتی از حصار را تعمیر کرد. حشبیا شهردار نصف شهر قعیله، قسمت دیگر حصار را که در ناحیه او واقع شده بود بازسازی نمود.
18 Baada yake watu wa nchi zao walijenga, ikiwa ni pamoja na Binui mwana wa Henadadi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Keila.
در کنار او بوای (پسر حیناداد) شهردار نصف دیگر قعیله قسمت بعدی را تعمیر نمود.
19 Baada yake alijenga Ezeri, mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alijenga sehemu nyingine kuelekea ghala ya silaha, kwenye kona ya ukuta.
قسمت دیگر حصار را عازر (پسر یشوع) که شهردار مصفه بود از روبروی اسلحه‌خانه تا پیچ حصار تعمیر کرد.
20 Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akajenga kwa hiari sehemu nyingine, toka kona ya ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.
قسمت بعدی را باروک (پسر زبای) از سر پیچ حصار تا دروازهٔ خانه الیاشیب کاهن اعظم بازسازی نمود.
21 Baada yake Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, akajenga sehemu nyingine, toka mlango wa nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.
مریموت (پسر اوریا و نوه هقوص) قسمت بعدی حصار را از دروازهٔ خانهٔ الیاشیب تا انتهای خانه‌اش تعمیر کرد.
22 Kisha baada yake makuhani, watu wa eneo hilo karibu na Yerusalemu, walijenga.
قسمتهای دیگر حصار توسط این کاهنان بازسازی شد: کاهنانی که از حومهٔ اورشلیم بودند قسمت بعدی حصار را تعمیر کردند.
23 Baada yao Benyamini na Hashubu walijenga kuielekea nyumba yao. Baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania, alijenga karibu na nyumba yake.
بنیامین، حشوب و عزریا (پسر معسیا و نوه عننیا) قسمت دیگر حصار را که مقابل خانه‌شان قرار داشت تعمیر کردند.
24 Baada yake Binui mwana wa Henadadi akajenga sehemu nyingine, kutoka nyumba ya Azaria hadi kona ya ukuta.
بنوی (پسر حیناداد) قسمت دیگر حصار را از خانهٔ عزریا تا پیچ حصار تعمیر کرد
25 Palali, mwana wa Uzai, akajenga juu ya kona ya ukuta na mnara unaoenea juu kutoka nyumba ya juu ya mfalme katika uwanda wa walinzi. Baada yake Pedaya mwana wa Paroshi akajenga.
و فالال (پسر اوزای) از پیچ حصار تا برج کاخ بالایی پادشاه که نزدیک حیاط زندان است نوسازی کرد. قسمت بعدی را فدایا (پسر فرعوش) تعمیر نمود.
26 Sasa watumishi wa hekalu waliokaa Ofeli walijenga mpaka upande wa Hifadhi ya Maji upande wa mashariki wa mnara unaojitokeza.
خدمتگزاران خانۀ خدا که در عوفل زندگی می‌کردند، حصار را از مشرق دروازۀ آب تا برج بیرونی تعمیر کردند.
27 Baada yake, Watekoi walijenga sehemu nyingine, kuelekea mnara mkubwa ulio nje, mpaka ukuta wa Ofeli.
اهالی تقوع حصار را از برج بیرونی تا دیوار عوفل بازسازی کردند.
28 Makuhani wakajenga juu ya lango la farasi, kila mmoja kuelekea nyumba yake.
دسته‌ای از کاهنان نیز قسمتی از حصار را که از «دروازه اسب» شروع می‌شد تعمیر کردند؛ هر یک از ایشان حصار مقابل خانهٔ خود را بازسازی نمودند.
29 Baada yao Sadoki, mwana wa Imeri, alijenga sehemu hiyo kuelekea nyumba yake. Na baada yake Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki, akajenga.
صادوق (پسر امیر) هم حصار مقابل خانه خود را تعمیر کرد. قسمت بعدی را شمعیا (پسر شکنیا) نگهبان دروازهٔ شرقی، بازسازی نمود.
30 Baada yake Hanania, mwana wa Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu, wakajenga sehemu nyingine. Meshulamu mwana wa Berekia akajenga kuelekea kwenye vyumba vyake.
حننیا (پسر شلمیا) و حانون (پسر ششم صالاف)، قسمتهای بعدی را تعمیر کردند، مشلام (پسر برکیا) حصار مقابل خانهٔ خود را بازسازی کرد.
31 Baada yake Malkiya, mmoja wa wafua dhahabu, akajenga mpaka nyumba ya watumishi wa hekalu na wafanyabiashara waliokuwa wakielekea lango la gereza na mpaka chumba cha juu cha pembeni.
ملکیا که از زرگران بود قسمت بعدی حصار را تا خانه‌های خدمتگزاران خانۀ خدا و خانه‌های تاجران که در مقابل دروازۀ بازرسی قرار داشتند و تا برجی که در پیچ حصار است، تعمیر کرد.
32 Wafanyabiashara wa dhahabu na wafanyabiashara walijenga kati ya chumba cha juu cha kona na Lango la Kondoo.
زرگران و تاجران بقیه حصار را تا دروازۀ گوسفند بازسازی نمودند.

< Nehemia 3 >