< Esta 1 >

1 Katika siku za utawala wa Ahasuero (huyu ni Ahasuero aliyetawala toka India hadi Ethiopa, zaidi ya majimbo 127),
خشایارشا، پادشاه پارس، بر سرزمین پهناوری سلطنت می‌کرد که از هند تا حبشه را در بر می‌گرفت و شامل ۱۲۷ استان بود. او در سال سوم سلطنت خود، در کاخ سلطنتی شوش جشن بزرگی بر پا نمود و تمام بزرگان و مقامات مملکتی را دعوت کرد. فرماندهان لشکر پارس و ماد همراه با امیران و استانداران در این جشن حضور داشتند.
2 katika siku hizo Mfalme Ahasuero aliketi katika kiti chake cha utawala katika ngome ya Shushani.
3 mwaka wa tatu wa utawala wake aliwaandalia sherehe viongozi na watumwa wake wote. Waliohudhuria katika sherehe hiyo walikuwa wakuu wa jeshi la Uajemi na Umedi, watu wenye vyeo, na viongozi wa majimbo.
4 Mfalme akaweka wazi utajiri na utukufu wa ufalme wake na heshima ya ukufu wa ukuu alio upata kwa siku nyingi, kwa siku180.
در طی این جشن که شش ماه طول کشید، خشایارشا تمام ثروت و شکوه و عظمت سلطنت خود را به نمایش گذاشت.
5 Siku hizi zilipotimia, Mfalme aliaandaa karamu iliyodumu kwa siku saba. Karamu hii ilikuwa kwa watu wote walioishi katika ikulu ya Shushani, tangu mkubwa hadi mdogo. Behewa la bustani ya ikulu ya mfalme ndiyo karamu ilipofanyikia.
پس از پایان جشن، خشایارشا برای تمام کسانی که در شوش زندگی می‌کردند، فقیر و غنی، میهمانی هفت روزه‌ای در باغ کاخ سلطنتی ترتیب داد.
6 Behewa la bustani lilipambwa kwa mapazia meupe ya pamba na urujuani, yalifungwa kwa kamba za kitani safi na zambarau, yakiwa yametundikwa kwa pete za fedha na nguzo za marimari. Kulikuwa na makochi ya dhahabu na fedha juu ya sakafu ya marimari, mawe mekundu na meupe, na ya manjano na meusi.
محل میهمانی با پرده‌هایی از کتان سفید و آبی تزیین شده بود. این پرده‌ها با ریسمانهای سفید و ارغوانی که داخل حلقه‌های نقره‌ای قرار داشتند از ستونهای مرمر آویزان بود. تختهای طلا و نقره روی سنگفرشهایی از سنگ سماک، مرمر، صدف مروارید و فیروزه قرار داشت.
7 Vinywaji viliandaliwa katika vikombe vya dhahabu. Na kila kikombe kilikuwa ni cha kipekee na kwa sababu ya ukarimu wa mfalme kulikuwa mvinyo mwingi.
از سخاوت پادشاه، شراب شاهانه فراوان بود و در جامهای طلایی که شکلهای گوناگون داشت، صرف می‌شد.
8 Mfalme aliwambia wahudumu watu wagawiwe vinywaji kwa kila mtu kulingana na matakwa yake. Maana tayari mfalme alikuwa ametoa agizo kwa watumishi wa ikulu kuwafanyia wageni kulingana na matakwa ya kila mgeni.
پادشاه به پیشخدمتهای دربار دستور داده بود میهمانان را در نوشیدن آزاد بگذارند، پس ایشان به دلخواه خود، هر قدر که می‌خواستند شراب می‌نوشیدند.
9 Wanawake nao walikuwa wamealikwa katika karamu na Malkia Vashiti katika ikulu ya Mfalme Ahusuero.
در همان هنگام، ملکه وشتی هم برای زنان دربار خشایارشا ضیافتی ترتیب داده بود.
10 katika siku ya saba moyo wa mfalme ulipokuwa na furaha kwa sababu ya mvinyo, aliwaagiza Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkas (hawa saba ndio waliohudumu mbele ya mfalme)
در آخرین روز میهمانی، پادشاه که از باده‌نوشی سرمست شده بود، هفت خواجهٔ حرمسرا یعنی مهومان، بزتا، حربونا، بغتا، ابغتا، زاتر و کرکس را که خادمان مخصوص او بودند احضار کرد.
11 kumleta Malkia Vashiti akiwa katika mavazi yake ya kimalkia. Akiwa na lengo la kuwaonyesha watu na maakida urembo wake, maana alikuwa mrembo.
او به آنان دستور داد ملکه وشتی را که بسیار زیبا بود با تاج ملوکانه به حضورش بیاورند تا زیبایی او را به مقامات و مهمانانش نشان دهد.
12 Pamoja na maagizo ya Mfalme, Malkia Vashiti alikataa kwenda kama alivyokuwa amewaagiza viongozi wake. Hivyo mfalme akakasirika sana; ghadhabu yake ikawaka ndani yake
اما وقتی خواجه‌سرایان فرمان پادشاه را به ملکه وشتی رساندند، او از آمدن سرباز زد. پادشاه از این موضوع بسیار خشمناک شد؛
13 Mfalme akawandea wenye hekima, waliofahamu nyakati (kwa kuwa huu ndio uliokuwa utaratibu wa mfalme kuhusu wale waliokuwa watalaamu wa sheria na hukumu.
اما پیش از آنکه اقدامی کند، اول از مشاوران خود نظر خواست، چون بدون مشورت با آنها کاری انجام نمی‌داد. مشاوران او مردانی دانا و آشنا به قوانین و نظام دادگستری پارس بودند و پادشاه به قضاوت آنها اعتماد داشت. نام این دانشمندان کرشنا، شیتار، ادماتا، ترشیش، مرس، مرسنا و مموکان بود. این هفت نفر جزو مقامات عالی رتبهٔ پارس و ماد و از امیران ارشد مملکتی بودند.
14 Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena, na Memucan, majimbo saba ya Uajemi na Umedi walikuwa karibu na mfalme na walikuwa na vyeo vikubwa katika ufalme.
15 Katika kutafsiri nini kifanyike kwa mjibu wa sheria kutoka na mgomo wa Malkia Vashiti dhidi ya agizo la mfalme Ahusiero kwa Malkia Vashiti.
خشایارشا از ایشان پرسید: «در مورد ملکه وشتی چه باید کرد؟ زیرا از فرمان پادشاه که به او ابلاغ شده، سر باز زده است. قانون چه مجازاتی برای چنین شخصی تعیین کرده است؟»
16 Mmoja wao aliyejulikana kwa jina la Memukani alisema mbele ya Mfalme na mbele ya viongozi, Malkia Vashiti hajamkosea tu mfame na wakuu na watu wote walio katika majimbo ya mfale Ahusiero.
مموکان خطاب به پادشاه و امیران دربار گفت: «ملکه وشتی نه فقط به پادشاه بلکه به امیران دربار و تمام مردم مملکت خشایارشای پادشاه اهانت کرده است.
17 kwa kuwa jambo la malkia litafahamika kwa wanawake wote. watawatendea waume zao vibaya. Watasema, 'Mfalme Ahusiero Malkia Vashiti hakumtii mme wake, Mfalme Ahusiero alipotaka ahudhurie mbele yake.'
هر زنی که بشنود که ملکه وشتی از آمدن به حضور پادشاه سرپیچی کرده است، او نیز از دستور شوهرش سرپیچی خواهد کرد.
18 Kabla ya siku hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi walipata taarifa ya mgomo wa malkia Vashiti watawatendea waume zao, viongozi wa mfalme. kutakuwa na ghasia na nyingi hasira.
وقتی زنانِ امیرانِ دربارِ پارس و ماد بشنوند که ملکه چه کرده، آنان نیز با شوهرانشان چنین خواهند کرد و این بی‌احترامی و سرکشی به همه جا گسترش خواهد یافت.
19 kama ni jambo jema kwa mfalme, ruhusu tangazo litolewe, na iwe katika sheria ya Waajemi na Wamedi, ambao haiwezi kutanguliwa, kwamba Vashiti hatakuja tena mbele za mfalme kama malkia. Nafasi ya Vashiti apewe mwingine ambaye ni bora zaidi ya Vashiti.
بنابراین، اگر پادشاه صلاح بدانند، فرمانی صادر کنند تا در قوانین ماد و پارس که هرگز تغییر نمی‌کند ثبت گردد و بر طبق آن فرمان، ملکه وشتی دیگر به حضور پادشاه شرفیاب نشود. آنگاه زن دیگری که بهتر از او باشد به جای وی به عنوان ملکه انتخاب شود.
20 Tangazo la mfalme litakapotolewa katika ufalme wote, wanawake wote watawaheshimu waume zao, tangu mwenye cheo hadi asiye na cheo.”
وقتی این فرمان در سراسر این سرزمین پهناور اعلام شود آنگاه در همه جا شوهران، هر مقامی که داشته باشند، مورد احترام زنانشان قرار خواهند گرفت.»
21 Ushauri huu ulikuwa mzuri kwa mfalme na wakuu wengine, mfalme akafamya kama Memkani alivyopendekeza.
پیشنهاد مموکان مورد پسند پادشاه و امیران دربار واقع شد و خشایارشا مطابق صلاحدید او عمل کرد
22 Akatuma barua katika majimbo yote ya mfalme, kwa kilajambo na andiko lake, na watu kwa makabila yao. Aliamuru kwamba kila mme awe msimamizi katika nyumba yake mwenyewe. Tangazo hili lilitolewa katika lungha ya kila mtu katika ufalme.
و به تمام استانها، هر یک به خط و زبان محلی، نامه فرستاده، اعلام داشت که هر مرد باید رئیس خانهٔ خود باشد.

< Esta 1 >