< Mathayo 23 >

1 Baadaye aliongea na umati wa watu na wanafunzi wake. Akasema,
Tehdy Ježíš mluvil zástupům a učedlníkům svým,
2 “Waandishi na Mafarisayo wanakalia kiti cha Musa.
Řka: Na stolici Mojžíšově posadili se zákonníci a farizeové.
3 Kwa hiyo chochote wanacho waamuru kufanya, fanyeni huku mkiwachunguza. Lakini msije mkaiga matendo yao, kwa sababu wao hutamka mambo wasiyoyafanya.
Protož všecko, což by koli rozkázali vám zachovávati, zachovávejte a čiňte, ale podlé skutků jejich nečiňte; neboť praví, ale nečiní.
4 Kweli, wao hufunga mizigo mizito ambayo ni vigumu kuibeba, na kisha huwabebesha watu mabegani mwao. Lakini wao wenyewe hawasogezi hata kidole kuibeba.
Svazujíť zajisté břemena těžká a nesnesitelná, a vzkládají na ramena lidská, ale prstem svým nechtí jimi ani pohnouti.
5 Matendo yao yote, huyafanya ili watazamwe na watu. Kwa sababu wao hupanua masanduku yao na huongeza ukubwa wa mapindo ya mavazi yao.
Všecky pak své skutky činí, aby byli vidíni od lidí. Rozšiřují zajisté nápisy své, a veliké dělají podolky plášťů svých,
6 Wao hupendelea kukaa maeneo ya kifahari katika sherehe na katika viti vya heshima ndani ya masinagogi,
A milují přední místa na večeřích, a přední stolice v shromážděních,
7 na kusalimiwa kwa heshima maeneo ya sokoni, na kuitwa “Walimu” na watu.
A pozdravování na trhu, a aby byli nazýváni od lidí: Mistři, mistři.
8 Lakini ninyi hampaswi kuitwa “Walimu,” Kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja, na ninyi wote ni ndugu.
Ale vy nebývejte nazýváni mistři; nebo jeden jest Mistr váš, Kristus, vy pak všickni bratří jste.
9 Msimuite mtu yeyote hapa duniani kuwa baba yenu, kwa kuwa mnaye Baba mmoja tu, naye yuko mbinguni.
A otce nenazývejte sobě na zemi; nebo jeden jest Otec váš, kterýž jest v nebesích.
10 Wala msije kuitwa 'walimu,' kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja tu, yaani Kristo.
Ani se nazývejte vůdcové; nebo jeden jest vůdce váš, Kristus.
11 Bali aliye mkubwa miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.
Ale kdo z vás největší jest, buď služebníkem vaším.
12 Yeyote ajiinuae atashushwa. Na yeyote anaye jishusha atainuliwa.
Kdož by pak sám se povyšoval, bude ponížen; a kdož by se ponížil, bude povýšen.
13 Lakini ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnawafungia watu ufalme wa mbinguni. Nanyi hamwezi kuuingia, na hamwaruhusu wanaoingia kufanya hivyo.
Ale běda vám, zákonníci a farizeové pokrytci, že zavíráte království nebeské před lidmi; nebo sami tam nevcházíte, a těm, kteříž by vjíti chtěli, vcházeti nedopouštíte.
14 (Zingatia: Msitari wa 14 hauonekani katika nakala bora za kale. Baadhi ya nakala huongeza msitari huu baada ya msitari wa 12. Msitari wa 14 “Ole wenu wandishi na Mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa mnawameza wajane”).
Běda vám, zákonníci a farizeové pokrytci, že zžíráte domy vdovské, a to pod zámyslem dlouhého modlení; protož těžší soud ponesete.
15 Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna g1067)
Běda vám, zákonníci a farizeové pokrytci, že obcházíte moře i zemi, abyste učinili jednoho novověrce, a když bude učiněn, učiníte jej syna zatracení, dvakrát více, nežli jste sami. (Geenna g1067)
16 Ole wenu viongozi vipofu, ninyi msemao, Yeyote aapaye kwa hekalu, si kitu. Lakini anayeapa kwa dhahabu ya hekalu, amefungwa na kiapo chake.
Běda vám, vůdcové slepí, kteříž říkáte: Přisáhl-li by kdo skrze chrám, to nic není; ale kdo by přisáhl skrze zlato chrámové, povinen jest.
17 Enyi vipofu wapumbavu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, dhahabu au hekalu ambalo limeweka wakfu dhahabu kwa Mungu?
Blázni a slepci, což jest většího, zlato-li, či chrám, kterýž posvěcuje zlata?
18 Na, yeyote aapaye kwa madhabahu, si kitu. Bali anayeapa kwa sadaka iliyo juu yake, amefungwa na kiapo chake.
A přisáhl-li by kdo skrze oltář, nic není; ale kdo by přisáhl skrze ten dar, kterýž jest na něm, povinen jest.
19 Enyi watu vipofu, kipi ni kikubwa kuliko kingine, sadaka au madhabahu ambayo huweka wakfu sadaka zinazotolewa kwa Mungu?
Blázni a slepci, i co jest většího, dar-li, či oltář, kterýž posvěcuje daru?
20 Kwa hiyo, yeye aapaye kwa madhabahu huapa kwa hiyo na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.
A protož kdožkoli přisahá skrze oltář, přisahá skrze něj, i skrze to všecko, což na něm jest.
21 Naye aapaye kwa hekalu, huapa kwa hilo na kwa yeye akaaye ndani yake.
A kdož přisahá skrze chrám, přisahá skrze něj, i skrze toho, kterýž přebývá v něm.
22 Na yeye aapaye kwa mbingu, huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kwa yeye aketie juu yake.
A kdož přisahá skrze nebe, přisahá skrze trůn Boží, i skrze toho, kterýž na něm sedí.
23 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka kwa bizali, mnaanaa na mchicha, lakini mnaacha mambo mazito ya sheria- haki, rehema, na imani. Lakini haya mnapaswa kuwa mmeyafanya, na siyo kuacha mengine bila kuyatekeleza.
Běda vám, zákonníci a farizeové pokrytci, že dáváte desátky z máty a z kopru a z kmínu, a opouštíte to, což těžšího jest v zákoně, soud a milosrdenství a věrnost. Tyto věci měli jste činiti a oněch neopouštěti.
24 Enyi viongozi vipofu, ninyi ambao mnachuja mdudu mdogo lakini mnameza ngamia!
Vůdcové slepí, kteříž cedíte komára, velblouda pak požíráte.
25 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya vikombe na nje ya sahani, lakini ndani pamejaa dhuluma na kutokuwa na kiasi.
Běda vám, zákonníci a farizeové pokrytci, že čistíte po vrchu konvice a misy, a vnitř plné jsou loupeže a nestředmosti.
26 Enyi Mafarisayo vipofu, safisheni kwanza ndani ya kikombe na ndani ya sahani, ili upande wa nje nao pia uwe safi.
Farizei slepče, vyčisť prvé to, což vnitř jest v konvi a v mise, aby i to, což jest zevnitř, bylo čisto.
27 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, ambayo kwa nje huonekana mazuri, lakini kwa ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila kitu kilicho kichafu.
Běda vám, zákonníci a farizeové pokrytci, že jste se připodobnili hrobům zbíleným, kteříž sic zdadí se zevnitř krásní, ale vnitř jsou plní kostí umrlčích i vší nečistoty.
28 Vivyo hivyo, nanyi kwa nje mwaonekana wenye haki mbele ya watu, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na udhalimu.
Tak i vy zevnitř zajisté zdáte se lidem spravedliví, ale vnitř plní jste pokrytství a nepravosti.
29 Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mwajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya wenye haki.
Běda vám, zákonníci a farizeové pokrytci, nebo vzděláváte hroby proroků, a ozdobujete hroby spravedlivých,
30 Ninyi mwasema, kama tungeishi siku za baba zetu, tusingekuwa tumeshiriki pamoja nao kumwaga damu za manabii.
A říkáte: kdybychom byli za dnů otců našich, nebyli bychom účastníci jejich ve krvi proroků.
31 Kwa hiyo mwajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa hao waliowaua manabii.
Protož osvědčujete sami proti sobě, že jste synové těch, kteříž proroky zmordovali.
32 Pia ninyi mnakamilisha kujaza sehemu inayostahili dhambi ya baba zenu.
I vy také naplňte míru otců svých.
33 Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna g1067)
Hadové, plémě ještěrčí, i jakž byste ušli odsudku do pekelného ohně? (Geenna g1067)
34 Kwahiyo, tazama, nawatuma kwenu manabii, watu wenye hekima, na waandishi. Baadhi yao mtawaua na kuwasulibisha. Na baadhi yao mtawachapa ndani ya masinagogi yenu na kuwafukuza kutoka mji mmoja hadi mwingine.
Protož aj, já posílám k vám proroky a moudré a učitele, a vy z těch některé zmordujete a ukřižujete, a některé z nich bičovati budete v školách svých, a budete je honiti z města do města,
35 Matokeo ni kwamba juu yenu patatokea damu zote za wenye haki zilizomwagwa duniani, kuanzia damu ya Habili mwenye haki hadi kwa damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliye muua kati ya patakatifu na madhabahu.
Aby přišla na vás všeliká krev spravedlivá, vylitá na zemi, od krve Abele spravedlivého, až do krve Zachariáše syna Barachiášova, kteréhož jste zabili mezi chrámem a oltářem.
36 Kweli, nawaambieni, mambo haya yote yatakipata kizazi hiki.
Amen pravím vám: Přijdou tyto všecky věci na pokolení toto.
37 Yerusalemu, Yerusalemu, wewe unayewaua manabii na kuwapiga mawe wale ambao wanatumwa kwako! mara ngapi nimewakusanya watoto wako pamoja kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mbawa zake, lakini haukukubali!
Jeruzaléme, Jeruzaléme, mordéři proroků, a kterýž kamenuješ ty, kteříž byli k tobě posíláni, kolikrát jsem chtěl shromážditi dítky tvé, tak jako slepice shromažďuje kuřátka svá pod křídla, a nechtěli jste.
38 Tazama, nyumba yako imebaki ukiwa.
Aj, zanecháváť se vám dům váš pustý.
39 Nami nakuambia, Kuanzia sasa na kuendelea hautaniona, hadi utakaposema, 'Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana.”'
Neboť pravím vám, že mne již více nikoli neuzříte od této chvíle, až i díte: Požehnaný, kterýž se béře ve jménu Páně.

< Mathayo 23 >