< Mambo ya Walawi 19 >

1 Yahweh akazungumza na Musa, akisema.
Hina Gode da Mousesema e da alofele Isala: ili dunu ilima sia: ma: ne sia: i, “Dilia hadigi agoane hamoma. Bai Na, dilia Hina Gode, da Hadigidafa gala.
2 Zungumza na kusanyiko lote la watu wa Israeli na uwaambie, 'Ni lazima muwe watakatifu, kwa kuwa mimi Yahweh Mungu wenu ni mtakatifu.
3 Kila mtu amstahi mama yake na baba yake. Na ni lazima muzishike Sabato zangu. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
Dilia huluane afae afae amo dilia ada amola ame elama nodone dawa: ma. Amola Na sema defele, Sa: bade eso noga: le ouligima. Na da dilia Hina Gode!
4 Msizigeukie sanamu zisizo na thamani, wala kujitengenezea wenyewe miungu kutokana na chuma. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
Dilia Na mae yolesima. Amola eno loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima nodone mae sia: ne gadoma. Ogogosu ‘gode’ ouli amoga mae hamoma amola ilima mae nodone sia: ne gadoma. Na da dilia Hina Gode!
5 Unapotoa dhabihu za sadaka ya ushirika kwa Yahweh, utatoa ili kupata kibali.
Dilia Hahawane Gilisili Olofole Iasu hamoma: ne, ohe medole legesea, sema huluane Na dilima i, amoma fa: no bobogema. Amasea, Na da dilia iasu hahawane lamu.
6 Ni sharti iliwe siku hiyo hiyo uliyoitoa, au siku inayofuata.
Amo iasu ea hu da eso amoga e da medole legei o aya eso agoane moma: ne sia: mu. Be eso osoda amoga hu hame mai dialebe ba: sea, amo laluga gobesima.
7 Kama kinabaki kitu cho chote hata siku ya tatu ni lazima kiteketezwe kwa moto. Kama kitaliwa katika siku ya tatu kitakuwa najisi. Hakitakubalika,
Bai amo hu da ledo hamoi dagoi. Amola dunu afae da amo hu nasea, Na da iasu huluane hame lamu.
8 lakini kila akilaye ni lazima atachukua hatia yake kwa sababu amekivunjia heshima kilicho kitakatifu kwa Yahweh. Mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.
Nowa da agoaiwane nasea, e da amo liligi Nama ilegei amo da udigili liligi olelesa. Amaiba: le, amo dunu da Na fidafa amoga fadegai dagoi ba: mu.
9 Unapovuna mavuno ya ardhi yako, usivune hata pembezo mwa shamba lako kabisa, wala hutakusanya mabaki ya mavuno yako yote.
Dilia da dilia ifabi gamisia, gagoma da bega: sagai, amo mae faima. Amo gagoma udigili dialebe, amo lama: ne, mae sinidigima.
10 Usikusanye kila zabibu kutoka katika mizabibu yako, wala usiziokote dhabibu zilizoanguka chini katika shamba la mizabibu. Ni lazima uziache kwa ajili ya masikini na kwa ajili ya wageni. Mimi ndimi Yahweh Mungu wako.
Amola dilia waini sagai faisia, amoga waini fage fisi dialebe amo lamusa: , bu mae sinidigima. Hame gagui dunu amola ga fi amo moma: ne yolesima. Na da dilia Hina Gode!
11 Usiibe. Usiseme uongo. Msidanganyane.
Wamolasu amola ogogosu hou maedafa hamoma.
12 Usiape kwa jina langu kwa uongo na kulinajisi jina la Mungu wako. Mimi ndimi Yahweh
Dilia udigili Na Dioba: le sia: mae ilegema. Amo hou da Na Dio wadela: sa. Na da dilia Hina Gode.
13 Usimgandamize jirani yako wala kumwibia. Usishikilie malipo ya kibarua usiku kucha hata asubuhi.
Dilia eno dunu ea hou wadela: ma: ne o ea liligi lamusa: , mae ogogoma. Amola mae wamolama! Nowa da dia hawa: hamosu hamoi galea, ea bidi hedolo ema ima. Gasi afae mae iawane oualigimu da defea hame.
14 Usimlaani kiziwi au kuweka kikwazo mbele ya kipofu. Badala yake, yakupasa umwogope Mungu wako. Mimi ndimi Yahweh.
Ge wadela: i dunu ema gagabusu aligima: ne mae ilegema. Amola si dofoi dunu da sadenane dafasa: besa: le, dafama: ne liligi ea logoga mae ligisima. Nama beda: ma! Na da dilia Hina Gode.
15 Usisababishe hukumu ikawa ya uongo. Usionyeshe upendeleo kwa mtu fulani eti kwa kuwa tu yeye ni masikini na usionyeshe upendeleo kwa mtu fulani eti kwa kuwa tu yeye ni mtu muhimu. Badala yake, amua juu ya jirani yako kwa haki.
Fofada: su hou amo ganodini moloidafa amola defele hamoma. Hame gagui dunu ilima baligili mae dawa: ma amola bagade gagui dunu ilima mae beda: ma.
16 Usiende huku na huko ukisema habari za uchochezi miongoni mwa watu wako, bali tafuta kuyalinda maisha ya jirani yako. Mimi ndimi Yahweh.
Eno dunu ea hou gugunufinisima: ne, ogogole mae sia: ma. Amola fofada: su dunu da eno dunuma bogoma: ne fofada: su hamosea di da amo dunu gaga: musa: dawa: lai sia: galea, amo mae beda: iwane sia: ma. Na da dilia Hina Gode.
17 Usimchukie ndugu yako moyoni mwako. Mkemee jirani yako kwa heshima ili kwamba usishiriki katika dhambi kwa sababu yake.
Eno dunuma mae higama. Be alia da sia: ga gegesu galea, di da wadela: i hou hamosa: besa: le, hedolowane hou hahamoma.
18 Usijilipize kisasi au kuwa na chuki yoyote dhidi ya mtu yeyote wa watu wako, lakini badala yake mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe. Mimi ndimi Yahweh.
Eno dunuma dabe lama: ne mae dawa: ma amola eno dunu mae higama. Be dia da: i amoma asigi hou amo defele dia na: iyadoma asigima. Na da dilia Hina Gode.
19 Shika amri zangu. Usiwazalishe wanyama wako kwa kutumia wanyama wa aina nyingine tofauti. Usichanganye aina mbili tofauti za mbegu unapopanda shamba lako. Usivae vazi lililofumwa kwa kutumia nyuzi za rangi mbili tofauti zilizochanganywa pamoja.
Na sema nabawane hamoma. Lai gebo hisu hisu amo mano lama: ne mae gilisima. Hawa: aduna ifabi afae ganodini mae sagama. Abula aduna amoga da: i salasu mae nodomema.
20 Yeyote anayelala na msichana mtumwa aliyeposwa na mume mwingine, lakini ambaye hajakombolewa au hajaachwa huru, lazima waadhibiwe. Hawatauawa kwa sababu yule msichana hakuwa huru.
Dunu da udigili hawa: hamosu uda amo eno dunuma ea gidisedagi uda hamoma: ne, bidi lamusa: ilegei galea, be amo dunu da ema muni hame i galea, hina dunu da ea hawa: hamosu uda ema gilisili golasea, dilia e amola amo uda mae medole legema. Bai e da ea udigili hawa: hamosu uda amola ea bidi hame lai. Be ela da se iasu ba: mu.
21 Ni lazima mtu huyo alete sadaka yake ya hatia kwenye ingilio la hema la kukutania—kondoo dume iwe sadaka ya hatia.
Amo dunu da Dabe Ima: ne gobele salasu hamoma: ne, sibi gawali amo Na Abula Diasu logo holeiga gaguli misa: ne sia: ma.
22 Kisha kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa huyo kandoo dume mbele za Yahweh kutokana na dhambi aliyoitenda. Nayo dhambi iliyotendwa itasamehewa.
Amasea, amoga gobele salasu dunu da ledo gala dodofesu hou amo dunu ea wadela: i hou fadegama: ne hamomu. Amasea Gode da ea wadela: i hou gogolema: ne olofomu.
23 Mtakapoingia katika nchi na kupanda aina zote za miti kwa chakula, kisha mtayahesabu matunda yatakayozaliwa kuwa yamekatazwa kuliwa. Tunda litakatazwa kwako kwa miaka mitatu. Halitaliwa.
Dilia da Ga: ina: ne soge amoga golili dasea, amola ha: i manu ifa bugisia, ode udiana amoga ea fage legei da ledo gala dawa: ma. Amo ode udiana ganodini, dilia da amo ifa ea fage mae moma.
24 Lakini katika mwaka wa nne matunda yote yatakuwa matakatiifu, matoleo ya sifa kwa Yahweh.
Ode biyadu amoga, amo ifa ea fage huluane, Hina Godema imunusa: ilegema. Dilia da Na, Hina Gode, Nama nodomusa: agoane hamoma.
25 Katika mwaka wa tano unaweza kula tunda, ambalo umelisubiri ili kwamba mti uweze kuzaa zaidi. Mimi ndimi Yahweh Mungu wako.
Be ode biyale gala amoga, dilia amo ifa ea fage manu da defea. Dilia agoane hamosea, dilia ifa da fage baligili legemu. Na da dilia Hina Gode.
26 Usile nyama yoyote amabayo damu ingalimo ndani yake. Usiulize kwa roho juu ya wakati ujao,
Hu amo ganodini da maga: me dialebe, mae moma. Wadela: i fefedoasu hou mae hamoma!
27 Usitafute kuwadhibiti wengine kwa njia ya nguvu za kichawi. Msifuate tabia za kipagani kama vile kunyoa denge au kunyoa pembe za ndevu zeu.
Dilia dialuma hinabo la: ididili diala, amo mae damuni fasima, amola dilia maya: bo fe mae dadamuma.
28 Usiukate mwili wako kwa ajili ya wafu au kuchanja chale juu ya mwili wako. Mimi ndimi Yahweh.
Gugui dedesu hou mae hamoma amola bogoi ilima asigiba: le, dilia da: i amoga mi defesu mae fa: ginisima. Na da Hina Godedafa.
29 Usimwaibishe binti yako kwa kumfanya kahaba, la sivyo taifa litaangukia kwenye ukahaba na nchi itajawa na uovu.
Dilia uda mano amo ogogosu ‘gode’ ea debolo diasuga hina da: i bidi lasu uda agoane maedafa hamoma. Amo hou da ili wadela: mu. Be dilia da agoane hamosea, dilia da Na yolesili, eno ogogosu ‘gode’ amoma fa: no bobogele, soge da wadela: i hamosu amoga nabaiwane ba: mu.
30 Utazitunza Sabato zangu na kupaheshimu mahali patakatifu pa hema langu la kukutania. Mimi ndimi Yahweh.
Sa: bade eso noga: le dawa: ma. Amola sogebi amogawi dunu da Nama nodone sia: ne gadosa, amoma nodone dawa: ma. Na da Hina Gode.
31 Msiwageukie wale wanaoongea na wafu au roho wachafu. msiwatafute, la sivyo watawanajisi ninyi, Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
Dunu amo da bogoi a: silibu amoma fada: i sia: hogosa, amoma mae gilisima. Agoane hamosea, dilia da ledo gala hamoi dagoi ba: mu. Na da dilia Hina Gode.
32 Ni lazima usimame mbele za mtu mwenye mvi na uheshimu uwepo wa mzee. Yakupasa umwegope Mungu wako. Mimi ndimi Yahweh.
Asigilai, da: i hamoi dunu amola uda ilima nodone dawa: ma. Nama beda: ma. Na da Hina Godedafa.
33 Mgeni anapoishi miongoni mwenu katika nchi yanu, usimtendee lolote lililobaya.
Dilia ga fi dunu dilia soge ganodini esala, ilima asigiwane hamoma.
34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi ni lazima awe kama mwenyeji Mwisraeli mzaliwa anayeishi kwenu, na sharti umpende kama unavyojipenda wewe mwenyewe, ni kwa sababu wewe ulikuwa mgeni katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wako.
Dilia da dilia Isala: ili na: iyado dunu ilima hamosu defele ilima hamoma. Bu dawa: ma! Dilia amola da musa: ga fi agoane Idibidi soge ganodini esalu. Na da dilia Hina Gode.
35 Unapopima urefu, uzito, au wingi usitumie vipimo vya udanganyifu.
Dilia eno dunuma ogogole mae hamoma. Ogogosu dioi defei ba: su liligi (scales) amola sedade ilegesu amola idisu liligi, amoga ogogole mae hamoma.
36 Tumia mizani iliyo halali, mawe ya kupimia uzito yaliyo halali, efa halali, hini iliyo halali. Mimi ndimi Yahweh Mungu wako, aliyekutoa katika nchi ya utumwa ya Misri.
Moloiwane ado ba: su liligi amola dioi ba: su liligi amola sedade ilegesu liligi, amoga fawane hawa: hamoma. Na da dilia Hina Gode amola Na da dili Idibidi sogega fisili masa: ne gadili asunasi.
37 Utayatii maagizo yangu na sheria zangu zote na kuzitenda. Mimi ndimi Yahweh.
Na sema amola Na hamoma: ne sia: i liligi huluane nabawane hamoma. Bai Na da Hina Godedafa.”

< Mambo ya Walawi 19 >