< Hesabu 1 >

1 Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
Eso age amola oubi ageyadu amoga Isala: ili dunu ilia da Idibidi yolesi ode ageyadu ganodini, Hina Gode da Ea Abula Diasu, Sainai hafoga: i soge ganodini diala, amo ganodini Mousesema sia: i.
2 'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
E da amane sia: i, “Di amola Elane amo Isala: ili dunu ilia sosogo fi amola fidafa amoga idisu hamoma. Dunu huluane amo da ode 20 lalelegele esalu, amola ode 20 baligi, amola ilia da dadi gagui hawa: hamomusa: defele esala, amo huluane ilia dio dedema.
3 kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
4 Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
Fi huluane afae afae ilia bisilua ali fidima: ne sia: ma.
5 Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
Fi amoga bisilua, amo hawa: hamomusa: ilia fi dunu amoga ilegei, ilia dio da haguduga dedei diala; Fi ...Fi Bisilua Liubene...Elaise (Siedia egefe) Simiane... Sieliumiele (Siulisia: dai egefe) Yuda...Na: iasione (Aminada: be egefe) Isaga...Nida: niele (Sua egefe) Sebiulane...Ilaia: be (Hilone egefe) Ifala: ime...Ilisiama (Amihade egefe) Ma: na: se...Ga: maliele (Bedase egefe) Bediamini...Abaida: ne (Gidioni egefe) Da: ne...Ahaise (Amisia: da: ia; egefe) A: sie...Ba: igiele (Ogela: ne egefe) Ga: de...Ilaiasa: fe (Diuele egefe) Na: fadalai...Ahaila (Ina: ne egefe)
6 kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
7 Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
8 Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
9 kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
10 kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
11 kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12 Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13 kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14 kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15 na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
16 Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
17 Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
Amo dunu fagoyale gala, ilia da Mousese amola Elane fidi. Ilia, da
18 na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
eso age amola oubi ageyadu amoga Isala: ili fi huluane gilisimusa: wele sia: i. Amalalu, ilia da ilia fi amola sosogo fi huluane afafane, ilia dio huluane dedei. Dunu amo da ode 20 lalelegele esalu amola amo baligi ilia da ilia dio dedene idi.
19 Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
Hina Gode Ea sia: i defele, ilia da hamoi dagoi. Mousese da amo dunu idisu, Sainai hafoga: i soge ganodini hamoi.
20 Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
Dunu amo da ode 20 lalelegele esalu, amola amo baligi, amo da dadi gagumu defele ba: loba, amo huluane ilia fi amola sosogo fi defele dedei dagoi ba: i. Ilia da Liubene (Ya: igobe ea mano magobo) hidadea dedei. Idi huluane da agoane: - Fi ...Idisu Liubene ...46,500 Simiane ...59,300 Ga: de ...45,650 Yuda ...74,600 Isaga ...54,400 Sebiulane ...57,400 Ifala: ime ...40,500 Ma: na: se ...32,200 Bediamini ...35,400 Da: ne ...62,700 A: sie ...41,500 Na: fadalai ...53,400 Huluane gilisi idi da ...603,550
21 Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
22 Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
23 Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
24 Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
25 Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
26 Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
27 walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
28 Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
29 Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
30 Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
31 Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
32 Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
33 Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
34 Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
35 Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
36 Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
37 Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
38 Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
39 Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
40 Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
41 Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
42 Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
43 Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
44 Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
45 Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
46 Walihesabu wanaume 603, 550.
47 Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
Lifai fi da eno dunu fi ilima gilisili hame dedei.
48 Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
Bai Hina Gode da Mousesema amane sia: i dagoi,
49 “usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
“Di da dunu amo da dadi gagumu defele gala dedesea, Lifai fi dunu mae dedema.
50 Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
Be Lifai fi dunu amo ilia Na abula diasu amola hawa: hamosu liligi ganodini sali amo huluane ouligima: ne sia: ma. Ilia da Na abula diasu amola liligi huluane gaguli masunu. Ilia da amo abula diasu ganodini hawa: hamomu amola ilia fisu diasu amoga sisiga: le gagumu.
51 Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
Dilia fisisu mugululi masusa: dawa: sea, Lifai dunu da amo mugululi, gaguli ahoasea, gaheabolo sogebi amoga bu gagumu. Be eno dunu da abula diasuga gadenenewane doaga: sea, amo dunu medole legema.
52 Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
Be Isala: ili fi dunu huluane da fisisu higagale gaguli gagamu. Ilia da fi afae afae amanewane ilia abula diasu ilisu eso gosa: gisu abula haguduga gagumu.
53 Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
Be Lifai fi da Na Abula Diasu noga: le ouligima: ne, amogai sisiga: le fimu. Eno dunu da gadenene masea, Na ougi da Isala: ili fi fasa: besa: le, agoane noga: le ouligima.”
54 Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.
Amaiba: le, Isala: ili dunu da Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i huluane defele hamoi.

< Hesabu 1 >