< Mambo ya Walawi 11 >

1 Yahweh akazungumza na Musa na Aroni, akasema,
Hina Gode da hagudu dedei hamoma: ne sia: i amo ela da Isala: ili fi dunuma alofele ima: ne, Mousese amola Elane elama olelei.
2 “Sungumzeni na watu wa Israeli muwaambie, 'Hivi ndivyo viumbe vyenye uhai ambavyo mwaweza kula miongoni mwa wanyama walioko juu ya nchi.
3 Mnaweza kula mnyama yeyote aliye na kwato zenye kugawanyika na ambaye pia hucheua.
“Dilia da osoboga esalebe ohe amo ilia da emo wadobo gala amola ha: i manu da ea esaga dialu bu hi aduga: le naha, amo huluane manu da defea.
4 Hata hivyo, kuna baadhi ya wanyama ambao ama hawacheui au hana kwato zilizogawanyika, nanyi msiwale hao, wanyama kama ngamia, kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato zilizogawanyika. Kwa hiyo ngamia ni najisi kwenu.
Be ga: mele amola igi haguha fisu dauwa: amola mila amo mae moma. Ilia da dilia sema amo ganodini, ledo hamoi dagoi. Bai ilia da ha: i manu da ea esaga dialu bu hi aduga: le naha be ilia da emo wadobo hame gala.
5 Pimbi pia: kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato zilizogawanyika mara mbili, huyo pia ni najisi kwenu.
6 Na sungura pia: kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato zilizogawanyika mara mbili, huyu naye ni najisi kwenu.
7 Na nguruwe pia: ingawaje yeye anazo kwato zilizogawanyika lakini hacheui, kwa hiyo yeye ni najisi kwenu.
Amola gebo mae moma. Bai ilia da ledo hamoi dagoi. Ilia da emo wadobo gala be ilia ha: i manu ea esaga dialu bu hi aduga: le hame naha.
8 Msile aina yoyote ya nyama yao, wala msiiguse mizoga yao. Hao ni najisi kwenu.
Amo ohe mae moma. Amola ilia bogoi da: i hodo amo mae digili ba: ma. Bai ilia da sema ledo hamoi dagoi.
9 Nao wanyama waishio majini mnaoweza kuwala ni wale wote walio na mapezi na magamba, iwe waliomo baharini au mitoni.
Dilia menabo amo da gagi gala, amo manu da defea.
10 Lakini viumbe wote hai wasio na mapezi na magamba waliomo baharini au mitoni, pamoja na wale waendao majini na viumbe hai waliomo majini —watakuwa chukizo kwenu.
Be hano ganodini esalebe liligi amo da gagi hame enemei gala, amo manu da sema bagade.
11 Kwa kuwa watakuwa chukizo, msile nyama yao, pia mizoga yao sharti itakuwa chukizo.
Dilia amo liligi sema ledo hamoi dagoi ba: mu. Dilia amo mae moma amola ilia bogoi da: i hodo mae digili ba: ma.
12 Chochote kisichokuwa na mapezi au magamba kilichomo majini ni lazima kiwe chukizo kwenu.
Hano ganodini esalebe liligi amo da gagi hame, enemei, amo maedafa moma.
13 Nao ndege mtakaowachukia na msiopaswa kuwala ni hawa wafuatao: tai, furukombe, kipungu,
Dilia hagudu dedei sio mae moma: Buhiba, gugunia, ogolo, ‘fa: legone’, ‘basade’, ‘faladiue’, ‘galou’, ‘osadaligi’, ‘sigale’, ‘sidogi’, ‘helane’, ‘beliga: ne’, ‘gomola: de’, ‘hubou’, gamo.
14 mwewe mwekundu, aina yoyote ya kipanga,
15 kila aina ya kunguru,
16 kiruka-njia, kipasuasanda, Shakwe, na aina yoyote ya mwewe.
17 Ni lazima pia bundi mdogo na bundi mkubwa muwaone kuwa chukizo, mnandi,
18 bundi mweupe na mwari,
19 korongo na ina zote za koikoi, huduhudi na popo pia.
20 Wadudu wote wenye mabawa wanatembea kwa miguu minne kwenu ni machukizo.
Gedama fi agoai amo da ougia gala, amo da ledo hamoiba: le, mae moma.
21 Lakini manaweza kula wadudu wenye mabawa wanaotembea kwa miguu minne ya kurukia ardhini yenye vifundo.
Be gedama fi agoai liligi amo da hadiasa, amo da ledo hameba: le, manu da defea.
22 Na manaweza kula kula aina zote za nzige, senene, parare, au panzi.
Dilia sage fi, danuba: amola soni manu da defea.
23 Lakini wadudu wote warukao wenye miguu minne ni chulkizo kwenu.
Be fonobahadi liligi amo da ougia gala amola liligi da sugi ahoa, amo huluane da ledo hamoiba: le, mae moma.
24 Nanyi mtakuwa najisi hata jioni kutokana na wanyama hawa endapo mtagusa mizogo yao.
Nowa da hagudu dedei ohe ilia bogoi da: i hodo digili ba: sea, da ledo hamoi ba: mu. (Daeya doaga: sea fawane, bu dodofei dagoi ba: mu.) Ledo hamoi ohe da ohe huluane da ga: nasi emo (hoofs) gala. (Be ohe amo da ga: nasi emo gala, amola emo wadobo gala amola ha: i manu da ea esaga dialu bu hi aduga: le naha da defea.) Ohe amo da emo biyadu gala amola ea emo da nana: i gala da ledo gala. Nowa da amo ohe ea bogoi da: i hodo gaguli ahoasea, e da ea abula dodofema: mu. Be e da ledo hamoi dagoiba: le, daeya doaga: sea fawane, bu dodofei dagoi ba: mu.
25 Na yeyote atakayeokota mojawapo wa mizoga yao ni lazima atazifua ngua zake naye atakuwa najisi hata jioni.
26 Mnyama yeyote ambaye anazo kwato ziliachana ambazo hazikugawanyika kabisa au hacheui huyo ni najisi kwenu. Yeyote awagusaye atakuwa najisi.
27 Mnyama yeyote anayetembea kwa vitanga vyake miongoni mwa wanyama waendao kwa miguu yote minne ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mzoga kama huo atakuwa najisi hata jioni.
28 Na yeyote aokotaye mzoga kama huo ni zazima atazifua nguo zake na kuwa najisi hata jioni. Wanyama hawa watakuwa najisi kwenu.
29 Kuhusiana na wanyama wataambaao juu ya ardhi, hawa ndiyo walio najisi kwenu: kicheche, panya, aina zote za mijusi mikubwa, guruguru,
30 kenge, mijusi ya ukutani, goromoe, na kinyonga.
Dauwa fi, a:ginibuni amola agoai liligi huluane, amola goma: fi huluane, amo dilia ledo hamoi dagoi ba: ma: mu.
31 Wanyama hawa wote ambao hutambaa, hawa ndiyo watakuwa najisi kwenu. Yeyote awagusaye atakuwa njisi hata jioni.
Nowa da ili o ilia bogoi da: i hodo digili ba: sea, da ledo hamoi dagoi ba: mu. Daeya doaga: beba: le fawane, bu dodofei dagoi ba: mu.
32 Na iwapo mmoja wao anakufa na kuanguka juu ya chombo, chombo hicho kitakuwa najisi, ama kiwe kimetengenezwa kwa mbao, nguo, ngozi, au gunia. Kiwe chombo cha namna gani na kiwe kwa matumizi gani, ni lazima kitalowekwa katika maji nacho kitakuwa najisi hata jio. Kisha kitakuwa safi.
Amola amo liligi ilia bogoi da: i hodo da eno liligi amo da: iya dasea, amo liligi amola da ledo hamoi dagoi ba: mu. Amo bogoi da: i hodo da ifa liligi o abula liligi o bulamagau gadofo o esa liligi amoga dasea, liligi da ledo hamoi dagoi ba: mu. Amo liligi dodofemusa: dawa: sea, hano ganodini gema. Be e da ledo hamoi dagoiba: le, daeya doaga: sea fawane bu ledo hamedei hamoi ba: mu.
33 Kwa hiyo kila chungu ambacho mnyama najisi atakiangukia juu yake au ndani yake, chochote kilichomo kwenye chungu hicho kitakuwa najisi, na ni lazima mtakivunja chungu hicho.
Amola ledo hamoi ohe ilia bogoi hodo da osoboga hamoi ofodo amo ganodini dasea, liligi amo ofodo ganodini sali da ledo hamoi dagoi ba: mu. Amola osoboga hamoi ofodo amo goudama.
34 Vyakula vyote ambavyo ni safi na kilichuhusiwa kuliwa, lakini kikaingiwa na maji kutoka kwenye chungu najisi kilichoanguka, nacho kitakuwa najisi.
Amola dilia da amo ledo hamoi ofodo amoga hano sogadigili, amola amo hano da ha: i manu amoga dasea, amo da ledo hamoi dagoi ba: mu. Bai amo ofodo ganodini, hano sali da ledo hamoi dagoi.
35 Na kitu chochote kinachoweza kunywewa kutoka kwenye chungu kama hicho kitakuwa najisi. Kila kitu kitakachoangukiwa juu yake na kipande cha mzoga wa mnyama najisi nacho kitakuwa najisi, ama liwe ni jiko au vyungu vya kupikia. Ni najisi na ni lazima kiwe najisi kwenu.
Adi liligi amoga amo bogoi da: i hodo dasea da ledo hamoi dagoi. Dilia osoboga hamoi gobele nasu amo goudale fasima.
36 Chemchemi au kisima cha maji ya kunywa yanapokusanyika patabaki kuwa safi iwapo kiumbe najisi kama hicho kitaangukia humo. Lakini ikiwa yeyote anaugusa mzoga wa mnyama aliye najisi uliomo ndani ya maji, yeye atakuwa najisi.
Be gu hano amola hano ofodo sugi bagade da ledo hame hamomu. Be amo bogoi da: i hodo da liligi eno huluane digili ba: sea, amo liligi huluane da ledo hamoi dagoi ba: mu.
37 Iwapo sehehemu yoyote ya mzoga wa mnyama aliyenajisi inaangukia juu ya mbegu zozote zilizo kwa ajili ya kupanda. Mbegu hizo zitakuwa bado zingali safi.
Be amo liligi ilia bogoi da: i hodo da hawa: oso amoga dasea, amo oso da ledo hame hamoi ba: mu.
38 Lakini kama maji yanawekwa juu ya mbegu, na kama sehemu ya mzoga unaangukia juu yake, nazo zitakuwa najisi kwenu.
Be oso da hano ganodini gene dialea, amo bogoi da: i hodo da amoga dasea, oso da ledo hamoi dagoi ba: mu.
39 Iwapo mnyama yeyote awezaye kuliwa anakufa, naye yeyote amgusaye atakuwa najisi hata jioni.
Ledo hame hamoi ohe da bogosea, nowa da amo ohe digili ba: sea da ledo hamoi dagoi ba: mu. Daeya doaga: sea fawane bu dodofei dagoi ba: mu.
40 Na yeyote alaye chochote cha mzoga huo atalazimika kufua nguo zake naye atakuwa anjisi hata jioni. Na yeyote aokotaye mzoga kama huo atafua nguo zake na kuwa najisi hata jioni.
Amola nowa da amo ohe dadega: i amoga nasea, e da ea abula huluane dodofema: mu. Be e da ledo hamoi dagoi ba: mu. Daeya doaga: sea fawane bu noga: i ba: mu. Be nowa da amo ohe ea bogoi da: i hodo gaguli ahoasea, ea abula dodofema: mu. Be e da ledo hamone, daeya doaga: sea fawane yolesimu.
41 Kila mnyama atambaaye juu ya ardhi atakuwa chukizo; hatakuwa wa kuliwa.
Dilia ohe fonobahadi amo da osoboga gagasi ahoasea, mae moma.
42 Chochote kitambaacho kwa kujivuta juu ya tumbo lake, na chochote kitembeacho kwa miguu yake yote minne, au chochote kilicho na miguu mingi—wanyama wote ambao hutambaa juu ya nchi, hawa msiwale, kwa sababu watakuwa machukizo.
Ohe fonobahadi da gagasi ahoasea o emo biyadu amoga ahoasea o emo osea: i amoga ahoasea,
43 Msijinajisi wenyewe kwa kiumbe chochote nnajisi kitaambacho; msijinasi wenyewe kwavyo, ili kwamba msije mkachafuliwa navyo.
dilia da ledo hamoi dagoi ba: sa: besa: le, maedafa moma.
44 Kwa kuwa Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu. Nanyi lazima muwe watakatifu, kwa hiyo na iweni watakatifu, kwa sababu Mimi ni mtakatifu. Haiwapasi kujichafua kwa aina yoyote ya kiendacho juu ya nchi.
Na da dilia Hina Godedafa amola Na hou da hadigidafa. Amaiba: le, dilia hou amola da hadigi ba: mu da defea.
45 Kwa kuwa Mimi ndimi Yahweh, aliyewaleta ninyi kutoka nchi ya Misri, ili niwe Mungu wenu. Kwa hiyo lazima muwe watakatifu, kwa kuwa Mimi ni mtakatifu.
Na da Hina Gode! Amola Na da dili Idibidi sogega fadegale fasili, gadili oule asi. Bai Na da dilia Gode esalumusa: hanai galu. Na hou da hadigiba: le, dilia hou amola da hadigi ba: mu da defea.
46 Hii ndiyo sheria kuhusu wanyama, ndege, kila kiumbe hai kiendacho majini, na ya kila kiumbe kitambaacho juu ya nchi,
Amo olelei liligi da sema amo ohe amola sio - liligi da hano ganodini esala amola liligi amo da osobo da: iya ahoa - amo ilia nasu hou olelesa.
47 kwa jili ya kilie kinachopaswa kutofautishwa kati ya kilicho najisi na kilicho safi, na kati ya vitu vilivyokufa na vilivyo hai ambavyo vyaweza kuliwa na vitu vyenye uihai visivyoweza kuliwa.”
Dilia noga: le dawa: ma! Ledo sema hamoi liligi amola ledo hame hamoi liligi noga: le afafama! Ohe amo manu da defea amola ohe amo da manu sema gala, amo noga: le afafama.

< Mambo ya Walawi 11 >