< Kutoka 1 >

1 Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli waliokuja Misri pamoja na Yakobo kila moja na familia yake:
Ya: igobe egefelali ilia da e gilisili Idibidi sogega asi ilia dio da,
2 Rubeni, Simioni, Lawi, na Yuda,
Liubene, Simiane, Lifai, Yuda,
3 Isakari, Zebuluni, na Benjamini,
Isiga, Sebiulane, Bediamini,
4 Dani, Naftali, Gadi, na Asheri.
Da: ne, Na: fadalai, Ga: de amola A: sie.
5 Jumla ya watu wa ukoo wa Yakobo walikuwa sabini. Yusufu alikuwa Misri tayari.
Ya: igobe egaga fi huluane ilia idi da 70. Egefe Yousefe da Idibidi ganodini esalu.
6 Ndipo Yusufu, pamoja na kaka zake wote, na kizazi chote wakafa.
Ode da asili, Yousefe amola yolalali da bogoi. Amola eno dunu huluane ili defele lalelegei da bogoi.
7 Waisraeli walifanikiwa sana, wakaongezeka sana idadi yao, na wakawa na nguvu maana nchi ilijazwa na wao.
Be iligaga fi (Isala: ili fi dunu) da mano bagohame lalelegei. Ilia idi da bagade heda: i amola ilia da gasa fi agoane ba: i. Idibidi soge da Isala: ili dunu amoga nabaiwane ba: i.
8 Wakati huu sasa mfalme mpya asiyemjua Yusufu aliinuka katika Misri.
Amalalu, Felou gaheabolo da Idibidi soge ganodini hina bagade esalebe ba: i. E da Yousefe hame dawa: i galu.
9 Akawaambia watu wake, “Tazama, hawa Waisraeli ni wengi na wenye nguvu kuliko sisi.
E da ea fi ilima amane sia: i, “Wali Isala: ili dunu da bagohame amola gasa bagade ba: sa. Ilia da ninima hasalasimu agoai galebe.
10 Njooni na tukae nao kwa akili, ama sivyo wataendelea kuongezeka na kama vita ikiibuka, wataungana na adui zetu, watapigana nasi, na kisha wataondoka.”
Ninima ha lai dunu da ninima doagala: sea, Isala: ili dunu da ninima ha lai dunu gilisisa: besa: le amola Idibidi yolesili hobeasa: besa: le, ninia ili idi amo fonoboma: ne logo hogomu da defea.
11 Hivyo wakawekea walinzi ambao waliwatesa kwa kuwatumikisha kazi ngumu. Waisraeli walijenga maghala ya miji kwa ajili ya Farao: Pishoni na Ramsei.
Amaiba: le, Idibidi dunu da gasa fi ouligisu dunu Isala: ili dunu udigili gasa bagade hawa: hamosu hamoma: ne ilima asunasi. Isala: ili dunu da moilai bai bagade aduna amo Bidome amola La: misisi gagui. Amo moilai bai bagade aduna da Felou ea liligi ligisisu agoane ba: i.
12 Lakini kadiri Wamisri walivyowatesa, ndivyo Waisraeli waliendelea kuongezeka na kusambaa. Hivyo Wamisri wakaanza kuwaogopa Waisraeli.
Idibidi dunu da Isala: ili dunu fi baligili se nabasu i. Be Isala: ili fi da hame fonoboi. Ilia bu baligili heda: i amola Idibidi soge huluane amoga fi bagade ba: i.
13 Wamisri waliwafanya Waisraeli wafanye kazi kwa nguvu nyingi.
Idibidi dunu da Isala: ili dunuma beda: i galu. Amaiba: le, ilia da Isala: ili dunu se nabima: ne, ilima gasa fi hamone, ili da udigili hawa: hamosu dunu ba: i. Idibidi fi da Isala: ili dunu ilia diasu gaguma: ne amola ifabi hawa: hamoma: ne logei. Ilia da Isala: ili dunuma hamedafa asigisu.
14 Waliyafanya maisha yao kuwa machungu kwa kuwafanyisha kazi ngumu kwa vinu na matofali na kwa kila aina ya kazi za shambani. Kazi zao zote zilikuwa ngumu.
15 Kisha mfalme wa Misri akawaambia wakunga wa Kiebrania; mmoja wao aliitwa jina lake Shifra, na mwingine aliitwa Puha.
Amalalu, Idibidi Felou da Sifala amola Bua (amo da mano lasu fidisu uda aduna ela da Hibulu uda fidisu) elama amane sia: i,
16 Akasema, “Wakati mnapowasaidia wanawake wa Kiebrania wanapojifungua, chunguzeni wanapozaa. Ikiwa ni mtoto wa kiume, basi muueni; bali ikiwa ni mtoto wa kike, basi mwacheni aishi.”
“Alia da Hibulu uda ilia mano lalelegesu hou fidisia, mano lai da dunu mano ba: sea, amo fanelegema. Be uda mano ba: sea, mae fanelegema.”
17 Lakini wale Wakunga walimwogopa Mungu na hawakufanya kama mfalme wa Misri alivyowaagiza; badala yake waliwaacha watoto wa kiume waishi.
Be mano lasu fidisu uda da Godema dawa: i. Amaiba: le, ela da Felou ea sia: hame nabi. Ela da dunu mano hame fanelegei.
18 Mfalme wa Misri akawaita Wakunga na kuwaambia, “Kwanini mmefanya haya, na kuwaacha watoto wa kiume wakaishi?”
Amaiba: le, Felou da mano lasu fidisu uda ema misa: ne sia: ne, elama amane sia: i, “Alia da abuliba: le agoane hamosala: ? Abuliba: le dunu mano hame fanelegesala: ?”
19 Wale Wakunga wakamjibu Farao, “Hawa wanawake wa Kiebrania siyo kama wanawake wa Kimisri. Hawa wana nguvu na jasiri sana maana wao humaliza kuzaa kabla hata mkunga hajafika.”
Ela da bu adole i, “Hibulu uda da Idibidi uda defele hame hamosa. Ilia mano da hedolowane lalelegesa. Ania da mae doaga: le, ilia mano da lalelegei dagoi ba: sa.”
20 Mungu aliwalinda hawa Wakunga. Watu waliongezeka kwa idadi na kuwa na nguvu sana.
Mano lasu fidisu uda da Godema beda: iba: le, Gode da ela hahawane ba: i. Gode da elama sosogo fi mano i dagoi. Isala: ili dunu ilia idi da bu bagade heda: i amola ilia gasa bagade fi agoane ba: i.
21 Kwa sababu wale Wakunga walimwogopa Mungu, aliwapa familia.
22 Farao akawaagiza watu wote, “Lazima mmutupe kila mtoto wa kiume anayezaliwa katika mto, lakini kila mtoto wa kike wamwache aishi.”
Amo ba: beba: le, Felou da ea fi dunu huluane ilima hamoma: ne sia: i hamoi dagoi. E amane sia: i, “Dilia Hibulu dunu mano gaheabolo lalelegei ba: sea, amo lale, Naile hano amoga bogoma: ne ha: digima. Uda mano fawane mae fanelelegema.”

< Kutoka 1 >