< Waamuzi 17 >
1 Kulikuwa na mtu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na jina lake ni Mika.
and to be man from mountain: hill country Ephraim and name his Micah
2 Akamwambia mama yake, “Shilingi 1, 100 za fedha ambazo zilichukuliwa kutoka kwako, ambazo ulizungumza kwa kiapo, na kuniambia-tazama hapa! Ninazo fedha pamoja nami. Nimeziiba.” Mama yake akasema, 'Na Bwana atakubariki, mwanangu!'
and to say to/for mother his thousand and hundred [the] silver: money which to take: take to/for you (and you(f. s.) *Q(K)*) to swear and also to say in/on/with ear: to ears my behold [the] silver: money with me I to take: take him and to say mother his to bless son: child my to/for LORD
3 Alirejesha vipande 1, 100 vya fedha kwa mama yake na mama yake akasema, “Nimeweka fedha hii kwa Bwana, kwa ajili ya mwanangu kuifanya na kuchonga takwimu za chuma.
and to return: rescue [obj] thousand and hundred [the] silver: money to/for mother his and to say mother his to consecrate: dedicate to consecrate: dedicate [obj] [the] silver: money to/for LORD from hand my to/for son: child my to/for to make idol and liquid and now to return: rescue him to/for you
4 Kwa hiyo sasa, ninawarejesha.” Alipokuwa amrudishia mama yake fedha, mama yake alichukua vipande mia mbili za fedha na akawapa mfanyakazi wa chuma ambaye aliwafanya kuwa sanamu na kuchonga takwimu za chuma, na wakawekwa ndani ya nyumba ya Mika.
and to return: rescue [obj] [the] silver: money to/for mother his and to take: take mother his hundred silver: money and to give: give him to/for to refine and to make him idol and liquid and to be in/on/with house: home Micah
5 Mtu huyo Mika alikuwa na nyumba ya sanamu, naye akafanya efodi na nyumba ya miungu, naye akaajiri mmoja wa wanawe awe mkuhani wake.
and [the] man Micah to/for him house: temple God and to make ephod and teraphim and to fill [obj] hand: donate one from son: child his and to be to/for him to/for priest
6 Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli, na kila mtu alifanya yaliyo sawa machoni pake.
in/on/with day [the] they(masc.) nothing king in/on/with Israel man: anyone [the] upright in/on/with eye his to make: do
7 Kisha kulikuwa na kijana mmoja wa Bethlehemu huko Yuda, wa jamaa ya Yuda, ambaye alikuwa Mlawi. Alikaa huko ili kutimiza majukumu yake.
and to be youth from Bethlehem Bethlehem Judah from family Judah and he/she/it Levi and he/she/it to sojourn there
8 Mtu huyo aliondoka Bethlehemu huko Yuda kwenda kutafuta mahali pa kuishi. Alipokuwa akienda, afika nyumbani kwa Mika katika nchi ya mlima wa Efraimu.
and to go: went [the] man from [the] city from Bethlehem Bethlehem Judah to/for to sojourn in/on/with in which to find and to come (in): come mountain: hill country Ephraim till house: home Micah to/for to make: [do] way: journey his
9 Mika akamwambia, Unatoka wapi? Huyo mtu akamwambia, Mimi ni Mlawi wa Bethlehemu huko Yuda, ninakwenda kutafuta mahali nipate kuishi.
and to say to/for him Micah from where? to come (in): come and to say to(wards) him Levi I from Bethlehem Bethlehem Judah and I to go: went to/for to sojourn in/on/with in which to find
10 Mika akamwambia, “kaa pamoja nami, uwe baba yangu na kuhani wangu. Nitawapa vipande kumi vya fedha kwa mwaka, suti ya nguo, na chakula chako.” Basi Mlawi akaingia nyumbani mwake.
and to say to/for him Micah to dwell [emph?] with me me and to be to/for me to/for father and to/for priest and I to give: give to/for you ten silver: money to/for day: year and valuation garment and recovery your and to go: went [the] Levi
11 Mlawi alikuwa na furaha ya kuishi na mtu huyo, na huyo kijana kwa Mika akawa kama mmoja wa wanawe.
and be willing [the] Levi to/for to dwell with [the] man and to be [the] youth to/for him like/as one from son: child his
12 Mika akamtenga Mlawi kwa ajili ya kazi takatifu, na huyo kijana akawa kuhani wake, naye alikuwa katika nyumba ya Mika.
and to fill Micah [obj] hand: donate [the] Levi and to be to/for him [the] youth to/for priest and to be in/on/with house: home Micah
13 Ndipo Mika akasema, Sasa najua ya kuwa Bwana atanifanyia mema, kwa kuwa Mlawi huyu amekuwa kuhani wangu.
and to say Micah now to know for be good LORD to/for me for to be to/for me [the] Levi to/for priest