< Waamuzi 12 >
1 Watu wa Efraimu walitoka pamoja; nao wakapitia Zafoni, wakamwambia Yeftha, Kwa nini umetangulia kupigana na wana wa Amoni, wala hukutuita twende pamoja nawe? Tutachoma nyumba yako.
and to cry man Ephraim and to pass Zaphon [to] and to say to/for Jephthah why? to pass to/for to fight in/on/with son: descendant/people Ammon and to/for us not to call: call to to/for to go: went with you house: home your to burn upon you in/on/with fire
2 Yeftha akawaambia, Mimi na watu wangu tulikuwa katika vita kubwa na wana wa Amoni. Nilipokuita, hukuniokoa kutoka kwao.
and to say Jephthah to(wards) them man strife to be I and people my and son: descendant/people Ammon much and to cry out [obj] you and not to save [obj] me from hand: power their
3 Nilipoona ya kuwa hamkuniokoa, nikaweka uhai wangu na nguvu yangu mwenyewe, na kupita kipita ili kupigana na wana wa Amoni, na Bwana alinipa ushindi. Kwa nini mmekuja kupigana nami leo?”
and to see: see for nothing you (to save *L(abh)*) and to set: take [emph?] soul: life my in/on/with palm my and to pass [emph?] to(wards) son: descendant/people Ammon and to give: give them LORD in/on/with hand: power my and to/for what? to ascend: rise to(wards) me [the] day: today [the] this to/for to fight in/on/with me
4 Yeftha akawakusanya watu wote wa Gileadi na akapigana na Efraimu. Watu wa Gileadi waliwaangamiza wana wa Efraimu kwa sababu walisema, “Ninyi Wagileadi ni wakimbizi katika Efraimu-katika Efraimu na Manase.”
and to gather Jephthah [obj] all human Gilead and to fight with Ephraim and to smite human Gilead [obj] Ephraim for to say survivor Ephraim you(m. p.) Gilead in/on/with midst Ephraim in/on/with midst Manasseh
5 Wagileadi waliteketeza ngome za Yordani zinaelekea Efraimu. Ikiwa yeyote kati ya waliopona wa Efraimu akisema, Nipe ruhusa niende juu ya mto; watu wa Gileadi wakamwambia, “Je, wewe ni Mwefraimu?” Ikiwa akasema, “Hapana,”
and to capture Gilead [obj] ford [the] Jordan to/for Ephraim and to be for to say survivor Ephraim to pass and to say to/for him human Gilead Ephraimite you(m. s.) and to say not
6 basi watamwambia, Sema Shiboleth. Na kama akisema 'Sibboleth' (kwa maana hakuweza kutamka neno hilo kwa usahihi), Wagileadi watamkamata na kumwua kwenye mabwawa ya Yordani. Waefraimu elfu arobaini waliuawa wakati huo.
and to say to/for him to say please Shibboleth and to say stream and not to establish: right to/for to speak: speak right and to grasp [obj] him and to slaughter him to(wards) ford [the] Jordan and to fall: kill in/on/with time [the] he/she/it from Ephraim forty and two thousand
7 Yeftha alikuwa mwamuzi juu ya Israeli kwa miaka sita. Ndipo Yeftha Mgileadi akafa, akazikwa katika moja ya miji ya Gileadi.
and to judge Jephthah [obj] Israel six year and to die Jephthah [the] Gileadite and to bury in/on/with city Gilead
8 Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi juu ya Israeli.
and to judge after him [obj] Israel Ibzan from Bethlehem Bethlehem
9 Alikuwa na wana thelathini. Aliwapeleka binti thelathini katika ndoa, naye akaleta binti thelathini kutoka nje kwa ajili ya wanawe, Alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka saba.
and to be to/for him thirty son: child and thirty daughter to send: marriage [the] outside [to] and thirty daughter to come (in): bring to/for son: child his from [the] outside and to judge [obj] Israel seven year
10 Ibzani alikufa na kuzikwa huko Bethlehemu.
and to die Ibzan and to bury in/on/with Bethlehem Bethlehem
11 Baada yake, Eloni wa Zabuloni akawa mwamuzi juu ya Israeli. Akawaamua Israeli kwa miaka kumi.
and to judge after him [obj] Israel Elon [the] Zebulunite and to judge [obj] Israel ten year
12 Eloni wa Zabuloni akafa, akazikwa huko Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni.
and to die Elon [the] Zebulunite and to bury in/on/with Aijalon in/on/with land: country/planet Zebulun
13 Baada ya huyo, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi juu ya Israeli.
and to judge after him [obj] Israel Abdon son: child Hillel [the] Pirathon
14 Alikuwa na wana arobaini na wajukuu thelathini. Walikuwa wakipanda punda sabini, naye akawaamua Israeli kwa miaka nane.
and to be to/for him forty son: child and thirty son: descendant/people son: descendant/people to ride upon seventy colt and to judge [obj] Israel eight year
15 Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, akazikwa huko Pirathoni katika nchi ya Efraimu, katika kilima cha Waamaleki.
and to die Abdon son: child Hillel [the] Pirathon and to bury in/on/with Pirathon in/on/with land: country/planet Ephraim in/on/with mountain: hill country [the] Amalekite