< Ruth 1 >

1 Ilitokea katika siku za utawala wa majaji kuwa kulikuwa na njaa katika nchi, na mtu mmoja wa Bethelehemu ya Yuda alikwenda katika nchi ya Moabu pamoja na mke wake na watoto wake walili wa kiume.
and to be in/on/with day to judge [the] to judge and to be famine in/on/with land: country/planet and to go: went man from Bethlehem Bethlehem Judah to/for to sojourn in/on/with land: country Moab he/she/it and woman: wife his and two son: child his
2 Jina la mtu huyo lilikuwa Elimeleki, na jina la mke wake lilikuwa Naomi. Majina ya watoto wake wawili wa kiume waliitwa Mahiloni na Kileoni, ambao walikuwa Waefraimu wa Betherehemu ya Yuda. Waliwasili katika nchi ya Moabu na kuishi hapo.
and name [the] man Elimelech and name woman: wife his Naomi and name two son: child his Mahlon and Chilion Ephrathite from Bethlehem Bethlehem Judah and to come (in): come land: country Moab and to be there
3 Ndipo Elimeleki, mume wa Naomi, alikufa, na Naomi aliachwa na watoto wake wa kiume wawili.
and to die Elimelech man: husband Naomi and to remain he/she/it and two son: child her
4 Watoto hawa walioa wanawake wa Moabu; jina la mmoja lilikuwa Oripa, na jina la mwingine lilikuwa Ruth. waliishi huko kwa takribani miaka kumi.
and to lift: marry to/for them woman: wife Moabite name [the] one Orpah and name [the] second Ruth and to dwell there like/as ten year
5 Kisha wote Mahiloni na Kileoni walikufa, na kumuacha Naomi bila mme wake na bila watoto wake wawili.
and to die also two their Mahlon and Chilion and to remain [the] woman from two youth her and from man: husband her
6 Ndipo Naomi aliamua kuondoka Moabu pamoja na wake wa watoto wake na kurudi Yuda kwa sababu alikuwa amesikia katika mkoa wa Moabu kuwa Yahweh amewasaidia watu wake katika uhitaji na amewapa chakula.
and to arise: rise he/she/it and daughter-in-law her and to return: return from land: country Moab for to hear: hear in/on/with land: country Moab for to reckon: visit LORD [obj] people his to/for to give: give to/for them food
7 Hivyo aliondoka sehemu aliyokuwa pamoja na wake wa watoto wake wawili, walitelemka njia kurudi kwenye nchi ya Yuda.
and to come out: come from [the] place which to be there [to] and two daughter-in-law her with her and to go: went in/on/with way: journey to/for to return: return to(wards) land: country/planet Judah
8 Naomi aliwaambia wake wa watoto wake, “Nendeni, mrudi, kila mmoja wenu, kwenye nyumba ya mama yake. na Mungu aonyeshe wema juu yenu, kama mlivyo onyesha wema kwao waliokufa na kwangu.
and to say Naomi to/for two daughter-in-law her to go: went to return: return woman: another to/for house: household mother her (to make: do *Q(K)*) LORD with you kindness like/as as which to make: do with [the] to die and with me
9 Mungu awajalie ninyi kupata pumziko, kila mmoja wenu katika nyumba ya mme mwingine.” Kisha akawabusu, na wakapaza sauti zao na kulia.
to give: give LORD to/for you and to find resting woman: another house: household man: husband her and to kiss to/for them and to lift: loud voice their and to weep
10 Wakamwambia, “Hapana! tutarudi pamoja na wewe kwa watu wako.”
and to say to/for her for with you to return: return to/for people your
11 Lakini Naomi alisema, “Rudini, wanangu! Kwa nini mtakwenda na mimi? Kwani bado nina watoto katika tumbo langu kwa ajili yenu, ili kwamba waje wawe waume zenu?
and to say Naomi to return: return daughter my to/for what? to go: went with me still to/for me son: child in/on/with belly my and to be to/for you to/for human
12 Rudini, wanangu, nendeni katika njia zenu wenyewe, kwa kuwa mimi ni mzee sana kuwa na mme. Kama nikisema, 'Natumaini nipate mume usiku huu,' na kisha kuzaa watoto wakiume, kwa hiyo mnaweza kusubiri mpaka wakue?
to return: return daughter my to go: went for be old from to be to/for man: husband for to say there to/for me hope also to be [the] night to/for man: husband and also to beget son: child
13 Mtasubiri na msiolewe sasa? Hapana, wanangu! Ina nihuzunisha zaidi, kuliko inavyo wahuzunisha ninyi, kwa sababu mkono wa Yahweh umeenda kinyume na mimi.”
therefore to await till which to magnify therefore to refrain to/for lest to be to/for man: husband not daughter my for to provoke to/for me much from you for to come out: come in/on/with me hand LORD
14 Ndipo wake wa watoto wake wakapaza sauti zao na kulia tena. Oripa alimuaga kwa kumbusu, lakini Ruth aliendelea kubaki naye.
and to lift: loud voice their and to weep still and to kiss Orpah to/for mother-in-law her and Ruth to cleave in/on/with her
15 Naomi alisema, “sikiliza, mwenzako amerudi kwa watu wake na miungu yake. Ruri pamoja naye.”
and to say behold to return: return sister-in-law your to(wards) people her and to(wards) God her to return: return after sister-in-law your
16 lakini Ruth alisema, “Usiniache niondoke mbali nawe, kwa kuwa uendako, nitakwenda, utakapoishi, nitaishi; watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu.
and to say Ruth not to fall on in/on/with me to/for to leave: forsake you to/for to return: turn back from after you for to(wards) which to go: went to go: went and in/on/with in which to lodge to lodge people your people my and God your God my
17 Mahali utakapofia, nitafia hapo, na hapo nitazikwa. Yahweh aniwezeshe, na hata zaidi, ikiwa kuna chochote isipokuwa kifo kamwe hakiwezi kututenganisha.
in/on/with in which to die to die and there to bury thus to make: do LORD to/for me and thus to add for [the] death to separate between me and between you
18 Naomi alipoona kuwa Ruth alikuwa ameamua kwenda naye, aliacha kubishana naye.
and to see: see for to strengthen he/she/it to/for to go: went with her and to cease to/for to speak: speak to(wards) her
19 Hivyo wote wawili walisafiri mpaka walipofika mjini Bethelehemu. Kwa hiyo walipofika Bethlehemu, mji wote uliwafurahia, wanawake walisema, “Huyu ni Naomi?”
and to go: went two their till to come (in): come they Bethlehem Bethlehem and to be like/as to come (in): come they Bethlehem Bethlehem and to make noise all [the] city upon them and to say this Naomi
20 Lakini aliwaambia, “Msiniite Naomi. Niiteni Mchungu, kwa kuwa Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.
and to say to(wards) them not to call: call by to/for me Naomi to call: call by to/for me Mara for to provoke Almighty to/for me much
21 Nilikwenda nikiwa nimejaa, lakini Yahweh kanirudisha nyumbani nikiwa sina wote. Hivyo kwa nini mnaniita Naomi, wakati mnaona Yahweh amenihukumu, kuwa Mwenyezi Mungu amenitaabisha?”
I full to go: went and emptily to return: return me LORD to/for what? to call: call by to/for me Naomi and LORD to answer in/on/with me and Almighty be evil to/for me
22 Kwa hivyo Naomi na Ruth Mmoabu, mke wa mtoto wake, walirudi kutoka nchi ya Moabu. walirudi Bethrehemu mwazo wa mavuno ya shairi.
and to return: return Naomi and Ruth [the] Moabite daughter-in-law her with her [the] to return: return from land: country Moab and they(masc.) to come (in): come Bethlehem Bethlehem in/on/with beginning harvest barley

< Ruth 1 >