< Yohana 9 >
1 Wakati, kama Yesu alipokuwa akipita, alimwona mtu kipofu tangu kuzaliwa kwake.
and to pass to perceive: see a human blind out from birth
2 Wanafunzi wake wakamwuliza, “Rabi, nani aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata azaliwe kipofu?”
and to ask it/s/he the/this/who disciple it/s/he to say Rabbi which? to sin this/he/she/it or the/this/who parent it/s/he in order that/to blind to beget
3 Yesu akawajibu, “Siyo huyu mtu wala wazazi wake waliotenda dhambi, bali kazi za Mungu zipate kufunuliwa kupitia kwake.
to answer (the/this/who *k*) Jesus neither this/he/she/it to sin neither the/this/who parent it/s/he but in order that/to to reveal the/this/who work the/this/who God in/on/among it/s/he
4 Tunapaswa kufanya kazi zake yeye aliyenituma wakati bado ni mchana. Usiku waja wakati ambapo hakuna atakayeweza kufanya kazi.
(me *N(K)O*) be necessary to work the/this/who work the/this/who to send me until day to be to come/go night when none be able to work
5 Wakati niwapo ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.”
when(-ever) in/on/among the/this/who world to be light to be the/this/who world
6 Baada ya Yesu kusema maneno haya, alitema kwenye ardhi, alifanya tope kwa mate, na akampaka yule mtu machoni na lile tope.
this/he/she/it to say to spit on the ground and to do/make: do clay out from the/this/who saliva and (to rub on *NK(O)*) (it/s/he *no*) the/this/who clay upon/to/against the/this/who eye (the/this/who blind *k*)
7 Akamwambia, nenda kaoge katika kisima cha Siloam (Inayotafsiriwa kama 'aliyetumwa').” Kwa hiyo huyo mtu alienda, akanawa, na akarudi, anaona.
and to say it/s/he to go to wash toward the/this/who pool the/this/who Siloam which to interpret to send to go away therefore/then and to wash and to come/go to see
8 Majirani wa yule mtu na wale waliomuona mwanzo kama mwombaji walisema, Je! huyu siye yule mtu aliyekuwa akikaa na kuomba?” wengine walisema, “Ni yeye.”
the/this/who therefore/then neighbour and the/this/who to see/experience it/s/he the/this/who before that/since: that (a beggar *N(K)O*) to be to say no this/he/she/it to be the/this/who to sit and to beg
9 Na wengine walisema, “Hapana, bali anafanana naye.” Lakini alikuwa akisema, “Ni mimi.”
another to say that/since: that this/he/she/it to be another to say (not! *no*) (but *N(k)O*) (that/since: that *k*) like it/s/he to be that to say that/since: that I/we to be
10 Wakamwambia, “Sasa macho yako yalifunguliwaje?”
to say therefore/then it/s/he how! (therefore/then *NO*) to open you the/this/who eye
11 Alijibu, mtu aitwaye Yesu alifanya tope na kupaka macho yangu na kuniambia, 'Nenda Siloam ukanawe.' Kwa hiyo nilienda, na nikanawa, na nikapata kuona tena.”
to answer that (and to say *k*) (the/this/who *no*) a human (the/this/who *no*) to say: call Jesus clay to do/make: do and to rub on me the/this/who eye and to say me (that/since: that *no*) to go toward (the/this/who pool *k*) (the/this/who *N(k)O*) Siloam and to wash to go away (therefore/then *N(K)O*) and to wash to look up/again
12 Wakamwambia, “Yuko wapi?” Alijibu, “Sijui.”
(and *N(k)O*) to say it/s/he where? to be that to say no to know
13 Wakampeleka yule mtu aliyewahi kuwa kipofu kwa Mafarisayo.
to bring it/s/he to/with the/this/who Pharisee the/this/who once/when blind
14 Nayo ilikuwa siku ya Sabato wakati Yesu alipotengeneza tope na kuyafumbua macho yake.
to be then Sabbath (in/on/among which day *NO*) (when *k*) the/this/who clay to do/make: do the/this/who Jesus and to open it/s/he the/this/who eye
15 Ndipo tena Mafarisayo wakamwuliza alipataje kuona. Aliwaambia, “Aliweka tope katika macho yangu, nikanawa, na sasa naweza kuona.”
again therefore/then to ask it/s/he and the/this/who Pharisee how! to look up/again the/this/who then to say it/s/he clay to put/lay on me upon/to/against the/this/who eye and to wash and to see
16 Baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Mtu huyu hajatoka kwa Mungu kwa sababu haishiki Sabato.” Wengine walisema, “Inawezekanaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo?” Kwa hiyo kukawa na mgawanyiko kati yao.
to say therefore/then out from the/this/who Pharisee one no to be this/he/she/it from/with/beside (the/this/who *k*) God the/this/who a human that/since: since the/this/who Sabbath no to keep: observe another (then *no*) to say how! be able a human sinful such as this sign to do/make: do and split to be in/on/among it/s/he
17 Ndipo walipomwuliza yule kipofu tena, “Unasemaje juu yake kwa sababu aliyafungua macho yako?” Kipofu akasema, “Ni nabii.”
to say (therefore/then *NO*) the/this/who blind again which? you to say about it/s/he that/since: since to open you the/this/who eye the/this/who then to say that/since: that prophet to be
18 Hata wakati huu Wayahudi hawakumwamini kwamba alikuwa kipofu naye amepata kuona mpaka walipowaita wazazi wake yeye aliyepata kuona.
no to trust (in) therefore/then the/this/who Jew about it/s/he that/since: that to be blind and to look up/again until who/which to call the/this/who parent it/s/he the/this/who to look up/again
19 Waliwauliza wazazi, Je, huyu ni mtoto wenu mnayesema alizaliwa kipofu? amewezaje sasa kuona?”
and to ask it/s/he to say this/he/she/it to be the/this/who son you which you to say that/since: that blind to beget how! therefore/then to see now
20 Hivyo wazazi wake wakamjibu, “Tunajua kuwa huyu ni mtoto wetu na kwamba alizaliwa kipofu.
to answer (therefore/then *N(k)*) (it/s/he *k*) the/this/who parent it/s/he and to say to know that/since: that this/he/she/it to be the/this/who son me and that/since: that blind to beget
21 Jinsi gani sasa anaona, hatujui, na yeye aliyemfumbua macho yake, hatumjui. Mwulizeni yeye. Ni mtu mzima. Anaweza kujieleza mwenyewe.”
how! then now to see no to know or which? to open it/s/he the/this/who eye me no to know it/s/he to ask (it/s/he *k*) age/height to have/be it/s/he about themself to speak
22 Wazazi wake walisema mambo haya, kwa sababu waliwaogopa Wayahudi. Kwa vile Wayahudi walikuwa wamekubaliana tayari kuwa, ikiwa yeyote atakiri kuwa Yesu ni Kristo, atatengwa na Sinagogi.
this/he/she/it to say the/this/who parent it/s/he that/since: since to fear the/this/who Jew already for to agree the/this/who Jew in order that/to if one it/s/he to confess/profess Christ excommunicated to be
23 Kwa sababu hii, wazazi wake walisema, “Ni mtu mzima, mwulizeni yeye.”
through/because of this/he/she/it the/this/who parent it/s/he to say that/since: that age/height to have/be it/s/he (to question *N(k)O*)
24 Kwa hiyo kwa mara ya pili, walimwita yule mtu aliyewahi kuwa kipofu na kumwambia, “Mpe Mungu utukufu. Tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi.”
to call therefore/then the/this/who a human out from secondly which to be blind and to say it/s/he to give glory the/this/who God me to know that/since: that this/he/she/it the/this/who a human sinful to be
25 Ndipo yule mtu alijibu, “Awe ni mwenye dhambi, mimi sijui. Kitu kimoja ninachokijua: nilikuwa kipofu, na sasa ninaona.”
to answer therefore/then that (and to say *k*) if sinful to be no to know one to know that/since: that blind to be now to see
26 Ndipo walipomwambia, “Amekufanyia nini? Aliyafumbuaje macho yako?”
to say (therefore/then *N(k)O*) it/s/he (again *k*) which? to do/make: do you how! to open you the/this/who eye
27 Alijibu, “Nimekwishawaambia tayari, na nyinyi hamkusikiliza! Kwa nini mnataka kusikia tena? Nanyi hamtaki kuwa wanafunzi wake pia, sivyo?
to answer it/s/he to say you already and no to hear which? again to will/desire to hear not and you to will/desire it/s/he disciple to be
28 Walimtukana na kusema, “Wewe ni mwanafunzi wake, lakini sisi ni wanafunzi wa Musa.
(and *n(o)*) (the/this/who then *o*) to revile (therefore/then *K*) it/s/he and to say you disciple to be that me then the/this/who Moses to be disciple
29 Tunajua kwamba Mungu alizungumza na Musa, lakini kwa huyu mtu, hatujui kule atokako.”
me to know that/since: that Moses to speak the/this/who God this/he/she/it then no to know whence to be
30 Yule mtu akajibu na kuwaambia, “Kwa nini, hili ni jambo la kushangaza, kwamba hamjui anakotoka, na bado ameyafumbua macho yangu.
to answer the/this/who a human and to say it/s/he in/on/among this/he/she/it for (the/this/who *no*) marvellous to be that/since: that you no to know whence to be and (to open *N(k)O*) me the/this/who eye
31 Tunajua kuwa Mungu hawasikilizi wenye dhambi, lakini ikiwa mtu yeyote anamwabudu Mungu na hufanya mapenzi yake, Mungu humsikiliza.
to know (then *k*) that/since: that sinful the/this/who God no to hear but if one godly to be and the/this/who will/desire it/s/he to do/make: do this/he/she/it to hear
32 Tangu kuanza kwa Ulimwengu haijawahi kamwe kusikiwa kwamba yeyote ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
out from the/this/who an age: age no to hear that/since: that to open one eye blind to beget (aiōn )
33 Ikiwa mtu huyu hakutoka kwa Mungu, asingelifanya chochote.”
if not to be this/he/she/it from/with/beside God no be able to do/make: do none
34 Walijibu na kumwambia, “Ulizaliwa katika dhambi kabisa, na wewe unatufundisha sisi?” Ndipo walipomfukuza kutoka katika sinagogi.
to answer and to say it/s/he in/on/among sin you to beget all and you to teach me and to expel it/s/he out/outside(r)
35 Yesu alisikia kwamba wamemwondoa kwenye sinagogi. Alimpata na kumwambia, “Unamwamini Mwana wa Mtu?”
to hear (the/this/who *ko*) Jesus that/since: that to expel it/s/he out/outside(r) and to find/meet it/s/he to say (it/s/he *ko*) you to trust (in) toward the/this/who son the/this/who (a human *N(K)O*)
36 Alijibu na kusema, “Ni nani, Bwana, ili nami nipate kumwamini?”
to answer that and to say (and *no*) which? to be lord: master in order that/to to trust (in) toward it/s/he
37 Yesu akamwambia, “Umeshamuona, naye unayezungumza naye ndiye.”
to say (then *k*) it/s/he the/this/who Jesus and to see: see it/s/he and the/this/who to speak with/after you that to be
38 Yule mtu akasema, “Bwana, Naamini.” Ndipo akamsujudia.
the/this/who then to assert to trust (in) lord: God and to worship it/s/he
39 Yesu akasema, “Kwa hukumu nimekuja katika Ulimwengu huu ili kwamba wale wasioona wapate kuona na wale wanaoona wawe vipofu.”
and to say the/this/who Jesus toward judgment I/we toward the/this/who world this/he/she/it to come/go in order that/to the/this/who not to see to see and the/this/who to see blind to be
40 Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa pamoja naye wakasikia maneno hayo na kumwuliza, “Na sisi pia ni vipofu?”
(and *k*) to hear out from the/this/who Pharisee this/he/she/it the/this/who with/after it/s/he to be and to say it/s/he not and me blind to be
41 Yesu akawaambia, “Kama mngelikuwa vipofu, msingelikuwa na dhambi. Hata hivyo, sasa mnasema, 'Tunaona,' dhambi yenu inakaa.”
to say it/s/he the/this/who Jesus if blind to be no if to have/be sin now then to say that/since: that to see the/this/who (therefore/then *K*) sin you to stay