< Luka 1 >
1 Wengi wamejitahidi kuweka katika mpangilio simulizi kuhusu masuala ambayo yametimizwa kati yetu,
since much to attempt to compile narrative about the/this/who to fulfill in/on/among me thing
2 kama walivyotupatia sisi, ambao tangu mwanzo ni mashahidi wa macho na watumishi wa ujumbe.
as/just as to deliver me the/this/who away from beginning eyewitness and servant to be the/this/who word
3 Hivyo nami pia, baada ya kuchuguza kwa uangalifu chanzo cha mambo haya yote tokea mwanzo - nimeona ni vema kwangu pia kukuandikia katika mpangilio wake - mheshimiwa sana Theofilo.
to think I/we and to follow from above/again all exactly in order you to write excellent Theophilus
4 Ili kwamba uweze kujua ukweli wa mambo uliyofundishwa.
in order that/to to come to know about which to instruct word the/this/who security
5 Katika siku za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani fulani aliyeitwa Zekaria, wa ukoo wa Abiya. Mke wake alitoka kwa binti za Haruni, na jina lake aliitwa Elizabeti.
to be in/on/among the/this/who day Herod (the/this/who *k*) king the/this/who Judea priest one name Zechariah out from division Abijah and (the/this/who *k*) woman: wife (it/s/he *N(k)O*) out from the/this/who daughter Aaron and the/this/who name it/s/he Elizabeth
6 Wote walikuwa wenye haki mbele za Mungu; walitembea bila lawama katika amri zote na maagizo ya Bwana.
to be then just both (in front of *N(k)O*) the/this/who God to travel in/on/among all the/this/who commandment and righteous act the/this/who lord: God blameless
7 Lakini hawakuwa na mtoto, kwasababu Elizabethi alikuwa tasa, na kwa wakati huu wote wawili walikuwa wazee sana.
and no to be it/s/he child as/just as to be the/this/who Elizabeth barren and both to advance in/on/among the/this/who day it/s/he to be
8 Sasa ilitokea kwamba Zakaria alikuwa katika uwepo wa Mungu, akiendelea na wajibu wa kikuhani katika utaratibu wa zamu yake.
to be then in/on/among the/this/who to serve as priest it/s/he in/on/among the/this/who order the/this/who division it/s/he before the/this/who God
9 Kulingana na desturi ya kuchagua ni kuhani yupi atakayehudumu, alikuwa amechaguliwa kwa kura kuingia katika hekalu la Bwana na hivyo angefukiza uvumba.
according to the/this/who custom the/this/who priesthood to choose by lot the/this/who to burn incense to enter toward the/this/who temple the/this/who lord: God
10 Kundi lote la watu lilikuwa likiomba nje wakati wa kufukizwa kwa ufumba.
and all the/this/who multitude to be the/this/who a people to pray out/outside(r) the/this/who hour the/this/who incense
11 Sasa malaika wa Bwana alimtokea na kasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia.
to appear then it/s/he angel lord: God to stand out from right the/this/who altar the/this/who incense
12 Zakaria alitishika alipomuona; hofu ikamwangukia.
and to trouble Zechariah to perceive: see and fear to fall/press upon upon/to/against it/s/he
13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope Zakaria, kwasababu maombi yako yamesikika. Mke wako Elizabeth atakuzalia mwana. Jina lake utamwita Yohana.
to say then to/with it/s/he the/this/who angel not to fear Zechariah because to listen to the/this/who petition you and the/this/who woman: wife you Elizabeth to beget son you and to call: call the/this/who name it/s/he John
14 Utakuwa na furaha na uchangamfu, na wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
and to be joy you and joy and much upon/to/against the/this/who (origin *N(k)O*) it/s/he to rejoice
15 Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele ya macho ya Bwana. Hatakunywa divai au kinywaji kikali, na atakuwa amejazwa na Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake.
to be for great before the/this/who lord: God and wine and alcoholic drink no not to drink and spirit/breath: spirit holy to fill still out from belly/womb/stomach mother it/s/he
16 Na watu wengi wa Israel watageuzwa kwa Bwana Mungu wao.
and much the/this/who son Israel to turn upon/to/against lord: God the/this/who God it/s/he
17 Atakwenda mbele za uso wa Bwana katika roho na nguvu ya Eliya. Atafanya hivi ili kurejesha mioyo ya baba kwa watoto, ili kwamba wasiotii wataenenda katika hekima ya wenye haki. Atafanya hivi kuweka tayari kwa Bwana watu ambao wameandaliwa kwa ajili yake.”
and it/s/he to go before before it/s/he in/on/among spirit/breath: spirit and power Elijah to turn heart father upon/to/against child and disobedient in/on/among understanding just to make ready lord: God a people to prepare
18 Zakaria akamwambia malaika, “Nitawezaje kujua hili? Kwasababu mimi ni mzee na mke wangu miaka yake imekuwa mingi sana.”
and to say Zechariah to/with the/this/who angel according to which? to know this/he/she/it I/we for to be old man and the/this/who woman: wife me to advance in/on/among the/this/who day it/s/he
19 Malaika akajibu na kumwambia, “Mimi ni Gabrieli, ambaye husimama mbele za Mungu. Nilitumwa kukwambia, kukuletea habari hii njema.
and to answer the/this/who angel to say it/s/he I/we to be Gabriel the/this/who to stand by before the/this/who God and to send to speak to/with you and to speak good news you this/he/she/it
20 Na tazama, hutaongea, utakuwa kimya, hutaweza kuongea mpaka siku ile mambo haya yatakapotokea. Hii ni kwasababu ulishindwa kuamini maneno yangu ambayo yatatimizwa kwa wakati mwafaka.”
and look! to be be quiet and not be able to speak until which day to be this/he/she/it for which no to trust (in) the/this/who word me who/which to fulfill toward the/this/who time/right time it/s/he
21 Sasa watu walikuwa wakimsubiri Zakaria. Walishangazwa kwamba alikuwa anatumia muda mwingi hekaluni.
and to be the/this/who a people to look for the/this/who Zechariah and to marvel in/on/among the/this/who to delay in/on/among the/this/who temple it/s/he
22 Lakini alipotoka nje, hakuweza kuongea nao. Wakatambua kwamba alikuwa amepata maono alipokuwa hekaluni. Aliendelea kuonesha ishara na alibaki kimya.
to go out then no be able to speak it/s/he and to come to know that/since: that vision to see: see in/on/among the/this/who temple and it/s/he to be to signify it/s/he and to remain deaf/mute
23 Ikatokea kwamba siku za huduma yake zilipokwisha aliondoka kurudi nyumbani kwake.
and to be as/when to fill the/this/who day the/this/who ministry it/s/he to go away toward the/this/who house: home it/s/he
24 Baada ya Zakaria kurudi nyumbani kutoka kwenye huduma yake hekaluni, mke wake akawa mjamzito. Naye hakutoka nyumbani mwake kwa muda wa miezi mitano. Akasema,
with/after then this/he/she/it the/this/who day to seize/conceive/help Elizabeth the/this/who woman: wife it/s/he and to hide themself month five to say
25 “Hili ndilo amabalo Bwana amefanya kwangu aliponitazama kwa upendeleo ili kuiondoa aibu yangu mbele za watu.”
that/since: that thus(-ly) me to do/make: do (the/this/who *k*) lord: God in/on/among day which to look upon to remove (the/this/who *k*) disgrace me in/on/among a human
26 Sasa, katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeti, Mungu alimwambia malaika Gabrieli kwenda kwenye mji wa Galilaya uitwao Nazareti,
in/on/among then the/this/who month the/this/who sixth to send the/this/who angel Gabriel (away from *N(k)O*) the/this/who God toward city the/this/who Galilee which name Nazareth
27 kwa bikra aliyekuwa ameposwa na mwanaume ambaye jina lake lilikuwa Yusufu. Yeye alikuwa wa ukoo wa Daudi, na jina la bikra huyo lilikuwa Mariamu.
to/with virgin to betroth man which name Joseph out from house: household David and the/this/who name the/this/who virgin Mary
28 Akaja kwake na akasema, “Salaam, wewe uliyepokea neema kuu! Bwana amependezwa nawe.”
and to enter (the/this/who *ko*) (angel *KO*) to/with it/s/he to say to rejoice to favor the/this/who lord: God with/after you (to praise/bless you in/on/among woman *KO*)
29 Lakini maneno ya malaika yalimchanganya na hakuelewa kwa nini malaika alisema salaam hii ya ajabu kwake.
the/this/who then (to perceive: see *K*) upon/to/against the/this/who word to trouble (it/s/he *k*) and to discuss of what kind? to be the/this/who salutation this/he/she/it
30 Malaika akamwambia, “Usiogope, Mariamu, maana umepata neema kutoka kwa Mungu.
and to say the/this/who angel it/s/he not to fear Mary to find/meet for grace from/with/beside the/this/who God
31 Na tazama, utabeba mimba katika tumbo lako na utazaa mwana. Nawe utamwita jina lake 'Yesu.'
and look! to seize/conceive/help in/on/among belly and to give birth to son and to call: call the/this/who name it/s/he Jesus
32 Atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu Sana. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake.
this/he/she/it to be great and son Highest to call: call and to give it/s/he lord: God the/this/who God the/this/who throne David the/this/who father it/s/he
33 Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn )
and to reign upon/to/against the/this/who house: household Jacob toward the/this/who an age: eternity and the/this/who kingdom it/s/he no to be goal/tax (aiōn )
34 Mariamu akamwambia malaika, hili litatokea kwa namna gani, maana sijawahi kulala na mwanaume yeyote?
to say then Mary to/with the/this/who angel how! to be this/he/she/it since man no to know
35 Malaika akajibu na akamwambia, “Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu ya Aliye Juu Sana itakuja juu yako. Kwa hiyo, mtakatifu atakayezaliwa ataitwa Mwana wa Mungu.
and to answer the/this/who angel to say it/s/he spirit/breath: spirit holy to arrive/invade upon/to/against you and power Highest to overshadow you therefore and the/this/who to beget holy to call: call son God
36 Na tazama, ndugu yako Elizabeti anaujauzito wa mwana kwenye umri wake wa uzee. Huu ni mwezi wa sita kwake, ambaye alikuwa anaitwa mgumba.
and look! Elizabeth the/this/who (relative *N(k)O*) you and it/s/he (to seize/conceive/help *N(k)O*) son in/on/among old age it/s/he and this/he/she/it month sixth to be it/s/he the/this/who to call: call barren
37 Maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu.”
that/since: since no be impossible from/with/beside (the/this/who God *N(k)O*) all declaration
38 Mariamu akasema, “Tazama, mimi ni mtumishi wa kike wa Bwana. Acha iwe hivyo kwangu sawa sawa na ujumbe wako.” Kisha malaika akamwacha.
to say then Mary look! the/this/who slave lord: God to be me according to the/this/who declaration you and to go away away from it/s/he the/this/who angel
39 Ndipo katika siku hizo Mariamu aliondoka na kwa haraka alikwenda katika nchi ya vilima, kwenye mji katika nchi ya Yudea.
to arise then Mary in/on/among the/this/who day this/he/she/it to travel toward the/this/who hilly with/after diligence toward city Judah
40 Alikwenda nyumbani mwa Zekaria na akamsalimia Elizabeti.
and to enter toward the/this/who house: home Zechariah and to pay respects to the/this/who Elizabeth
41 Sasa, ilitokea kwamba Elizabeti aliposikia salamu ya Mariamu, mtoto tumboni mwake akaruka, na Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu.
and to be as/when to hear the/this/who salutation the/this/who Mary the/this/who Elizabeth to leap the/this/who infant in/on/among the/this/who belly/womb/stomach it/s/he and to fill spirit/breath: spirit holy the/this/who Elizabeth
42 Akapaza sauti yake na kusema kwa sauti kuu, “umebarikiwa wewe zaidi miongoni mwa wanawake, na mtoto aliyemo tumboni mwako amebarikiwa.
and to exclaim (shouting *N(k)O*) great and to say to praise/bless you in/on/among woman and to praise/bless the/this/who fruit the/this/who belly/womb/stomach you
43 Na imekuwaje kwangu kwamba, mama wa Bwana wangu ilipasa aje kwangu?
and whence me this/he/she/it in order that/to to come/go the/this/who mother the/this/who lord: God me to/with I/we
44 Kwa kuwa tazama, iliposikika masikoni mwangu sauti ya kusalimia kwako, mtoto tumboni mwangu akaruka kwa furaha.
look! for as/when to be the/this/who voice/sound: noise the/this/who salutation you toward the/this/who ear me to leap in/on/among joy the/this/who infant in/on/among the/this/who belly/womb/stomach me
45 Na amebarikiwe mwanamke yule ambaye aliamini ya kwamba ungetokea ukamilifu wa mambo yale aliyoambiwa kutoka kwa Bwana.”
and blessed the/this/who to trust (in) that/since: that to be perfection the/this/who to speak it/s/he from/with/beside lord: God
46 Mariamu akasema, nafsi yangu inamsifu Bwana,
and to say Mary to magnify the/this/who soul: myself me the/this/who lord: God
47 na roho yangu imefurahi katika Mungu Mwokozi wangu.
and to rejoice the/this/who spirit/breath: spirit me upon/to/against the/this/who God the/this/who savior me
48 Kwa maana ameiangalia hali ya chini ya mtumishi wake wa kike. Tazama, tangu sasa katika vizazi vyote wataniita mbarikiwa.
that/since: since to look upon/at upon/to/against the/this/who lowliness the/this/who slave it/s/he look! for away from the/this/who now to bless me all the/this/who generation
49 Kwa maana yeye aliyemweza amefanya mambo makubwa kwangu, na jina lake ni takatifu.
that/since: since to do/make: do me (great *N(k)O*) the/this/who able and holy the/this/who name it/s/he
50 Rehema yake inadumu toka kizazi hata kizazi kwa wale wanao mheshimu yeye.
and the/this/who mercy it/s/he toward generation (and *no*) (generation *N(k)O*) the/this/who to fear it/s/he
51 Ameonesha nguvu kwa mkono wake; amewatawanya wale ambao walijivuna juu ya mawazo ya mioyo yao.
to do/make: do power in/on/among arm it/s/he to scatter arrogant mind heart it/s/he
52 Amewashusha chini wana wa wafalme toka katika viti vyao vya enzi na kuwainua juu walio na hali ya chini.
to take down ruler away from throne and to lift up lowly
53 Aliwashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu.
to hunger to fill up good and be rich to send out/away empty
54 Ametoa msaada kwa Israeli mtumishi wake, ili kukumbuka kuonesha rehema
to help Israel child it/s/he to remember mercy
55 (kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn )
as/just as to speak to/with the/this/who father me the/this/who Abraham and the/this/who seed: offspring it/s/he toward the/this/who an age: eternity (aiōn )
56 Mariamu alikaa na Elizabeti yapata miezi mitatu hivi ndipo akarudi nyumbani kwake.
to stay then Mary with it/s/he (as/when *N(k)O*) month Three and to return toward the/this/who house: home it/s/he
57 Sasa wakati ulikuwa umewadia kwa Elizabeti kujifungua mtoto wake na akajifungua mtoto wa kiume.
the/this/who then Elizabeth to fill the/this/who time the/this/who to give birth to it/s/he and to beget son
58 Jirani zake na ndugu zake walisikia jinsi Bwana alivyoikuza rehema kwake, na wakafurahi pamoja naye.
and to hear the/this/who neighboring and the/this/who kindred it/s/he that/since: that to magnify lord: God the/this/who mercy it/s/he with/after it/s/he and to rejoice with it/s/he
59 Sasa ilitokea siku ya nane kwamnba walikuja kumtahiri mtoto. Ingewapasa kumwita jina lake, “Zekaria,” kwa kuzingatia jina la baba yake,
and to be in/on/among the/this/who day the/this/who eighth to come/go to circumcise the/this/who child and to call: call it/s/he upon/to/against the/this/who name the/this/who father it/s/he Zechariah
60 Lakini mama yake akajibu na kusema, “Hapana; ataitwa Yohana.”
and to answer the/this/who mother it/s/he to say not! but to call: call John
61 Wakamwambia, hakuna hata mmoja katika ndugu zako anayeitwa kwa jina hili.”
and to say to/with it/s/he that/since: that none to be (out from the/this/who kindred *N(k)O*) you which to call: call the/this/who name this/he/she/it
62 Wakamfanyia ishara baba yake kuashiria yeye alitaka jina aitwe nani.
to signify then the/this/who father it/s/he the/this/who which? if to will/desire to call: call (it/s/he *N(k)O*)
63 Baba yake akahitaji kibao cha kuandikia, na akaandika, “Jina lake ni Yohana.” Wote wakashangazwa na hili.
and to ask little tablet to write to say John to be (the/this/who *ko*) name it/s/he and to marvel all
64 Ghafla mdomo wake ukafunguliwa na ulimi wake ukawa huru. Akaongea na kumsifu Mungu.
to open then the/this/who mouth it/s/he instantly and the/this/who tongue it/s/he and to speak to praise/bless the/this/who God
65 Hofu ikawajia wote walioishi karibu nao. Mambo haya yakaenea katika nchi yote ya vilima vya Yudea.
and to be upon/to/against all fear the/this/who to dwell around it/s/he and in/on/among all the/this/who hilly the/this/who Judea to discuss all the/this/who declaration this/he/she/it
66 Na wote walioyasikia wakayatunza mioyoni mwao, wakisema, “Mtoto huyu kuwa wa namna gani?” Kwasababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.
and to place all the/this/who to hear in/on/among the/this/who heart it/s/he to say which? therefore the/this/who child this/he/she/it to be and (for *no*) hand lord: God to be with/after it/s/he
67 Baba yake Zekaria alijazwa na Roho Mtakatifu na akatoa unabii, akisema,
and Zechariah the/this/who father it/s/he to fill spirit/breath: spirit holy and to prophesy to say
68 “Asifiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa sababu amesaidia na alishughulikia wokovu kwa watu wake.
praiseworthy lord: God the/this/who God the/this/who Israel that/since: since to visit/care for and to do/make: do redemption the/this/who a people it/s/he
69 Ametuinulia pembe ya wokovu katika nyumba ya mtumishi wake Daudi, kutoka miongoi mwa mwa ukoo wa mtumishi wake Daudi,
and to arise horn salvation me in/on/among (the/this/who *k*) house: household David (the/this/who *k*) child it/s/he
70 kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn )
as/just as to speak through/because of mouth the/this/who holy (the/this/who *k*) away from an age: age prophet it/s/he (aiōn )
71 Atatuoka kutoka kwa adui zetu na kutoka mikononi mwa wote wanaotuchukia.
salvation out from enemy me and out from hand all the/this/who to hate me
72 Atafanya hivi kuonesha rehema kwa baba zetu, na kukumbuka agano lake takatifu,
to do/make: do mercy with/after the/this/who father me and to remember covenant holy it/s/he
73 kiapo alichokisema kwa Abrahamu baba yetu.
oath which to swear to/with Abraham the/this/who father me
74 Aliapa kuthibitha kwamba ingewezekana kumtumikia Yeye bila hofu, baada ya kuokolewa kutoka katika mikononi ya adui zetu.
the/this/who to give me fearlessly out from hand (the/this/who *k*) enemy (me *k*) to rescue to minister it/s/he
75 katika utakatifu na haki mbele zake siku zetu zote.
in/on/among holiness and righteousness before it/s/he (all the/this/who day *N(k)O*) (the/this/who life *k*) me
76 Ndiyo, na wewe mtoto, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana, kwa kuwa utaenenda mbele za uso wa Bwana ili kumwandalia njia, kuwaandaa watu kwa ajili ya ujio wake,
and you (then *no*) child prophet Highest to call: call to go before for (before *N(k)O*) (face *ko*) lord: God to make ready road it/s/he
77 kuwafahamisha watu wake kwamba, wataokolewa kwa njia ya kusamehewa dhambi zao.
the/this/who to give knowledge salvation the/this/who a people it/s/he in/on/among forgiveness sin it/s/he
78 Hili litatokea kwa sababu ya huruma ya Mungu wetu, sababu ambayo jua tokea juu litatujia,
through/because of affection/entrails mercy God me in/on/among which (to visit/care for *N(k)O*) me east out from height
79 kuangaza kwao wakaao gizani na katika uvuli wa mauti. Atafanya hivi kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani.”
to appear the/this/who in/on/among darkness and shadow death to sit the/this/who to guide the/this/who foot me toward road peace
80 Sasa, yule mtoto akakua na kuwa mwenye nguvu rohoni na alikaa nyikani mpaka siku ya kujitokeza kwake kwa Israeli.
the/this/who then child to grow and to strengthen spirit/breath: spirit and to be in/on/among the/this/who deserted until day public appearance it/s/he to/with the/this/who Israel