< Joeli 3 >

1 Tazama, katika siku hizo na wakati huo, nitakaporudi mateka wa Yuda na Yerusalemu,
Oui, en ces jours-là et à cette époque, quand je ramènerai les captifs de Juda et de Jérusalem,
2 Nami nitakusanya mataifa yote, na kuwaleta mpaka bonde la Yehoshafati. Nitawahukumu huko, kwa sababu ya watu wangu na warithi wangu Israeli, ambao waliwatawanya kati ya mataifa, na kwa sababu waligawanya nchi yangu.
je rassemblerai toutes les nations et les ferai descendre dans la vallée de Josaphat, et là je les mettrai en jugement à cause de mon peuple et d’Israël, mon héritage, qu’ils ont dispersé parmi les peuples, en se partageant mon pays.
3 Wamepiga kura kwa ajili ya watu wangu, walinunua kijana kwa ajili ya kahaba, kuuza msichana kwa divai ili waweze kunywa.
Mon peuple, ils en ont disposé par la voie du sort; ils ont troqué le jeune homme contre la courtisane, et la jeune fille, ils l’ont cédée contre du vin, pour pouvoir boire.
4 Sasa, kwa nini unanikasirikia, Tiro, Sidoni na mikoa yote ya Wafilisti? Je! mutanirudishia malipo? Hata kama mutanilipa, mara moja nitawarudishia malipo yenu juu ya vichwa vyenu wenyewe.
Et de fait, que réclamez-vous de moi, Tyr et Sidon, et vous tous, districts des Philistins? Pré-tendez-vous me rendre la pareille? Essayez donc de m’infliger quelque mauvais traitement: rapidement, sur-le-champ, je ferai retomber votre manière d’agir sur vos têtes.
5 Kwa maana mumechukua fedha zangu na dhahabu zangu, nanyi mukachukua hazina zangu za thamani na kuzileta katika hekalu zenu.
Vous avez bien enlevé mon argent et mon or, et enrichi vos sanctuaires de mes trésors les plus précieux!
6 Mumewauza watu wa Yuda na Yerusalemu kwa Wayunani, ili kuwaondoa mbali na maeneo yao.
Les fils de Juda et les enfants de Jérusalem, vous les avez vendus aux fils de lawân, pour les emmener loin de leur territoire.
7 Tazama, nitawaamsha, watoke mahali ambako muliwauza, na nitawarudishia malipo juu ya vichwa vyenu wenyewe.
Mais voici que, réveillant leur courage, je les ramène de la contrée où vous les avez vendus et je fais retomber sur vos têtes un juste châtiment.
8 Nitawauza wana wako na binti zako, kwa mkono wa watu wa Yuda. Wao watawauza Sheba, kwa taifa mbali. Kwa maana Bwana amesema.
A votre tour, je vendrai vos fils et vos filles par l’entremise des fils de Juda; ceux-ci les vendront aux Sabéens, à une nation lointaine, car c’est l’Eternel qui le déclare.
9 Tangaza hii kati ya mataifa, 'Jitayarisheni wenyewe kwa ajili ya vita, waamsheni mashujaa, waacheni wakaribie, mashujaa wote wa vita wapande juu.
Faites cette annonce parmi les nations: proclamez une guerre sainte! Eveillez l’ardeur des guerriers! Qu’ils s’avancent et entrent en campagne, tous les combattants!
10 Yafueni majembe yenu kuwa panga na visu vyenu vya kuchongea kuwa mikuki. Basi wadhaifu waseme, 'Nina nguvu.'
Forgez vos socs de charrue en épées et vos serpettes en lances! Que le plus timoré dise: "Je suis un brave."
11 Haraka na mje, mataifa yote ya karibu, jikusanyeni pamoja huko. Ee Bwana, washushe mashujaa wako.
Hâtez-vous, venez, vous tous, peuples d’alentour, et concentrez-vous! Là, ô Eternel, fais descendre tes guerriers à toi!
12 Naam, mataifa yajihimize yenyewe kuja hadi bonde la Yehoshafati. Kwa maana nitakaa huko kuhukumu mataifa yote ya jirani.
Que les nations s’excitent donc et montent dans la vallée de Josaphat, car là je siégerai pour juger tous les peuples d’alentour.
13 Wekeni katiki mundu, kwa maana mavuno yameiva. Njoo, muponde zabibu, kwa ajiri pipa la divai limejaa. Vipuri vilivyofurika, kwa sababu uovu wao ni mkubwa sana.
Brandissez la faucille, car la moisson est mûre! Venez pour fouler, le pressoir étant rempli et les cuves débordantes, car grande est leur perversité.
14 Kuna mshtuko, mshtuko katika bonde la Hukumu. Kwa maana siku ya Bwana i karibu katika bonde la hukumu.
Foules sur foules dans la vallée du Jugement! Car il est proche, le jour de l’Eternel, dans la vallée du Jugement.
15 Jua na mwezi vinakuwa giza, nyota zimeacha kuangaza.
Soleil et lune s’obscurcissent, les étoiles voilent leur éclat.
16 Bwana ataunguruma kutoka Sayuni, na kuinua sauti yake kutoka Yerusalemu. Mbingu na nchi zitatikisika, lakini Bwana atakuwa makao kwa ajili ya watu wake, na ngome kwa wana wa Israeli.
De Sion l’Eternel rugit, de Jérusalem il fait retentir sa voix: ciel et terre en tremblent. Mais l’Eternel est un abri pour son peuple, un refuge fortifié pour les enfants d’Israël.
17 Kwa hiyo mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, anayeishi Sayuni, mlima wangu mtakatifu. Kisha Yerusalemu itakuwa takatifu, na hakuna jeshi litaklozunguka tena.
Vous reconnaîtrez alors que c’est moi l’Eternel, votre Dieu; je réside à Sion, ma sainte montagne; Jérusalem sera sacrée, et des étrangers n’y passeront plus.
18 Katika siku hiyo, milima itatayarisha divai nzuri, milima itatiririsha maziwa, miito yote ya Yuda itapita katikati ya maji, na chemchemi zitakuja kutoka nyumba ya Bwana na maji ya bonde la Shitimu.
En ce jour, les montagnes ruisselleront du jus de la vigne, les collines feront couler du lait, tous les ruisseaux de Juda seront pleins d’eau. Une source jaillira de la maison de l’Eternel et arrosera la vallée de Chittîm.
19 Misri itakuwa ukiwa, na Edomu itakuwa jangwa tupu, kwa sababu ya vurugu iliyofanyika kwa watu wa Yuda, kwa sababu walimwaga damu isiyo na hatia katika nchi yao.
L’Egypte sera une solitude, Edom un désert délaissé, en raison de la violence exercée sur les fils de Juda, dont ils ont versé le sang innocent dans leur pays.
20 Lakini Yuda utakua mwenyeji milele, na Yerusalemu itakuwa kizazi hata kizazi.
Juda, au contraire, sera habité à jamais, et Jérusalem de génération en génération.
21 Nitawalipizia damu yao, ambayo sijajilipizia kisasi, kwa maana Bwana anaishi Sayuni.
Je vengerai leur sang que je n’avais pas encore vengé, et moi, l’Eternel, je résiderai à Sion.

< Joeli 3 >