< Ayubu 41 >

1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
Kann du fiska krokodillen, binda tunga hans med taum,
2 Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
Draga snor i gjenom nosi, hogga krok i kjaken hans?
3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
Vil han tigga um nåde, tala mjuke ord til deg?
4 Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
Tru han vil gjera samband med deg og din træl for alltid verta?
5 Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
Kann du han som leikfugl halda for smågjentorne i band?
6 Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
Handlar fiskarlag med honom, skiftar ut til kræmarar?
7 Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
Kann hans hud med spjot du fylla, og hans hovud med harpunar?
8 Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
Berre prøv - du skal det minnast; enn ein gong du gjer det ikkje!
9 Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
Kvar og ein vil missa voni, verta feld ved syni av han.
10 Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
Ingen torer eggja honom; kven kann då mot meg reisa?
11 Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
Kven gav meg, so eg gjev att? Under himmeln alt eg eig.
12 Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
Ei eg tegjer um hans lemer, um hans sterke, væne bygnad.
13 Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
Kven hev drege brynja av han, Gjenge inn i duble tanngard?
14 Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
Kven hev opna kjakeporten? Rædsla kring hans tenner ligg.
15 Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
Sterke er hans skjolde-rader, feste med ei fast forsigling.
16 Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
Tett dei ligg innåt kvarandre, ingi luft slepp millom deim.
17 Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
Eine skjolden i den andre heng i hop, skilst ikkje åt.
18 Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
Ljos ifrå hans njosing strålar, augo skin som morgonroden.
19 Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
Or hans gap skyt brandar fram, gneistar sprutar derifrå.
20 Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
Or hans nasar stig det røyk, liksom eim or kjel som kokar.
21 Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
Anden hans set eld på kol, logen ut or gapet stend.
22 Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
I hans nakke styrken bur, rædsla spring framfor hans åsyn.
23 Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
Tette sit kjøtvalkarne, støypte fast urikkelg.
24 Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
Hjarta hans er hardt som stein, fast som understein i kverni.
25 Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
Kjempor ræddast når han ris, misser både mod og hugs;
26 Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
Sverd vil ikkje bita på, ikkje skot med spjot og pil.
27 Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
Jarn agtar han liksom strå, kopar nett som fauskeved.
28 Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Ei han vik for bogesonen; stein frå slyngja vert som halm,
29 Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
og stridsklubba vert som strå, og han lær åt spjot som susar.
30 Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
Under han er kvasse broddar, spor dei set som treskjeslede.
31 Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
Djupet kokar som ei gryta, sjøen som ein salvekjel.
32 Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
Vegen lyser etter honom, djupet skin som sylverhår.
33 Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
Liken hans på jord ei finst, denne skapning utan ræddhug.
34 Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”
Han ser ned på alt som høgt er, konge yver alle kaute.»

< Ayubu 41 >