< Ayubu 3 >
1 Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
after so to open Job [obj] lip his and to lighten [obj] day his
and to answer Job and to say
3 “Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
to perish day to beget in/on/with him and [the] night to say to conceive great man
4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
[the] day [the] he/she/it to be darkness not to seek him god from above and not to shine upon him light
5 Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
to redeem: redeem him darkness and shadow to dwell upon him cloud to terrify him darkness day
6 Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
[the] night [the] he/she/it to take: take him darkness not to rejoice in/on/with day year in/on/with number month not to come (in): come
7 Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
behold [the] night [the] he/she/it to be solitary not to come (in): come triumphing in/on/with him
8 Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
to curse him to curse day [the] ready to rouse Leviathan
9 Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
to darken star twilight his to await to/for light and nothing and not to see: see in/on/with eyelid dawn
10 kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
for not to shut door belly: womb my and to hide trouble from eye my
11 Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
to/for what? not from womb to die from belly: womb to come out: produce and to die
12 kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
why? to meet me knee and what? breast for to suckle
13 Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
for now to lie down: lay down and to quiet to sleep then to rest to/for me
14 pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
with king and to advise land: country/planet [the] to build desolation to/for them
15 Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
or with ruler gold to/for them [the] to fill house: home their silver: money
16 Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
or like/as miscarriage to hide not to be like/as infant not to see: see light
17 Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
there wicked to cease turmoil and there to rest weary strength
18 Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
unitedness prisoner to rest not to hear: hear voice to oppress
19 Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
small and great: large there he/she/it and servant/slave free from lord his
20 Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
to/for what? to give: give to/for labour(er) light and life to/for bitter soul
21 ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
[the] to wait to/for death and nothing he and to search him from treasure
22 Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
[the] glad to(wards) rejoicing to rejoice for to find grave
23 Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
to/for great man which way: journey his to hide and to fence god about/through/for him
24 Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
for to/for face: before food: bread my sighing my to come (in): come and to pour like/as water roaring my
25 Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
for dread to dread and to come me and which to fear to come (in): come to/for me
26 Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”
not to prosper and not to quiet and not to rest and to come (in): come turmoil