< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
respondens autem Baldad Suites dixit
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
usque ad quem finem verba iactabitis intellegite prius et sic loquamur
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
quare reputati sumus ut iumenta et sorduimus coram vobis
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
qui perdis animam tuam in furore tuo numquid propter te derelinquetur terra et transferentur rupes de loco suo
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
nonne lux impii extinguetur nec splendebit flamma ignis eius
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
lux obtenebrescet in tabernaculo illius et lucerna quae super eum est extinguetur
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
artabuntur gressus virtutis eius et praecipitabit eum consilium suum
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
inmisit enim in rete pedes suos et in maculis eius ambulat
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
tenebitur planta illius laqueo et exardescet contra eum sitis
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
abscondita est in terra pedica eius et decipula illius super semitam
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
undique terrebunt eum formidines et involvent pedes eius
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
adtenuetur fame robur eius et inedia invadat costas illius
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
devoret pulchritudinem cutis eius consumat brachia illius primogenita mors
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
avellatur de tabernaculo suo fiducia eius et calcet super eum quasi rex interitus
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
habitent in tabernaculo illius socii eius qui non est aspergatur in tabernaculo eius sulphur
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
deorsum radices eius siccentur sursum autem adteratur messis eius
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
memoria illius pereat de terra et non celebretur nomen eius in plateis
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
expellet eum de luce in tenebras et de orbe transferet eum
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
non erit semen eius neque progenies in populo suo nec ullae reliquiae in regionibus eius
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
in die eius stupebunt novissimi et primos invadet horror
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
haec sunt ergo tabernacula iniqui et iste locus eius qui ignorat Deum

< Ayubu 18 >