< Ayubu 17 >

1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
My breath is exhausted; My days are at an end; The grave is ready for me.
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Are not revilers before me? And doth not my eye dwell upon their provocations?
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Give a pledge, I pray thee; be thou a surety for me with thee; Who is he that will strike hands with me?
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Behold, thou hast blinded their understanding; Therefore thou wilt not suffer them to prevail.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
He who delivereth up his friends as a prey, —The eyes of his children shall fail.
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
He made me the by-word of the people; Yea, I have become their abhorrence.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
My eye therefore is dim with sorrow, And all my limbs are as a shadow.
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
Upright men will be astonished at this, And the innocent will rouse themselves against the wicked.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
The righteous will also hold on his way, And he that hath clean hands will gather strength.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
But as for you all, return, I pray! I find not yet among you one wise man.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
My days are at an end; My plans are broken off; Even the treasures of my heart.
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
Night hath become day to me; The light bordereth on darkness.
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
Yea, I look to the grave as my home; I have made my bed in darkness. (Sheol h7585)
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
I say to the pit, Thou art my father! And to the worm, My mother! and, My sister!
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
Where then is my hope? Yea, my hope, who shall see it?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)
It must go down to the bars of the under-world, As soon as there is rest for me in the dust. (Sheol h7585)

< Ayubu 17 >