< Yeremia 41 >

1 Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmael mwana wa Nethania mwana wa Elishama, toka familia ya kifalme, na maafisa baadhi wa mfalme, walikuja - wanaume kumi walikuwa pamoja naye - kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpa. Walikula chakula pamoja hukp Mizpa.
А седмог месеца дође Исмаило, син Нетаније сина Елисаминог, царског рода, и кнезови цареви, десет људи с њим, ка Годолији сину Ахикамовом у Миспу, и једоше онде у Миспи с њим.
2 Lakini Ishmael mwana wa Nethania, na wanaume kumi ambao walikuwa pamoja naye waliinuka na kumvamia Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, kwa upanga. Ishmael alimuua Gedalia, ambaye mfalme wa Babeli alimweka kuwa msimamizi wa nchi.
Потом уста Исмаило, син Нетанијин и десет људи што беху с њим, и убише мачем Годолију, сина Ахикама сина Сафановог; тако погубише оног кога беше поставио цар вавилонски над земљом.
3 Kisha Ishmael aliwauwa Wayahudi wote ambao walikuwa pamoja na Gedalia huko Mizpa na Wakaldayo wanaume wa kupigana kukutwa huko.
И све Јудејце који беху с њим, с Годолијом, у Миспи, и Халдејце који се затекоше онде, војнике, поби Исмаило.
4 Kisha ilikuwa siku ya pili baada ya kumuua Gedila, lakini hakuna moja aliyejua.
А сутрадан, пошто уби Годолију, док још нико не дозна,
5 Wanaume baadhi walikuja toka Shechem, toka Shiloh, na toka Samaria-wanaume semanini ambayo walikuwa wamenyoa ndevu zao, walirarua nguo zao, na kujikata wenyewe- pamoja na chakula cha sadaka na ubani katika mikono yao kwenda kwa nyumba ya Yahwe.
Дођоше људи из Сихема, из Силома и из Самарије, осамдесет људи, обријане браде и раздртих хаљина и испарани по телу, и имаху у рукама дар и кад, да принесу у дом Господњи.
6 Basi Ishmael mwana wa Nethania alienda toka Mizpa kukutana nao kama walivyoenda, wakitembea na kulia. Kisha ilitokea kwamba kama alivyokutana nao, alisema nao, “Njoo kwa Gedalia mwana wa Ahikam!”
Тада Исмаило, син Нетанијин, изиђе им из Миспе на сусрет и иђаше плачући, и сретавши се с њима рече им: Ходите ка Годолији, сину Ахикамовом.
7 Ilikuja kuwa kwamba wakati walipokuja katika mji, Ishmaeil mwana wa Nethania aliwauwa na kuwatupa kwenye shimo, yeye na wanaume ambao walikuwa pamoja naye.
А кад дођоше усред града, покла их Исмаило, син Нетанијин, с људима који беху с њим и баци их у јаму.
8 Lakini palikuwa na wanaume kumi miongoni mwao ambao walisema kwa Ishmael, “Usituue, kwa kuwa kuna riziki zetu kwenye shamba: ngano na shayiri, mafuta na asili” Kwa hiyo hakuwauwa pamoja na rafiki zao wengine.
А међу њима се нађе десет људи који рекоше Исмаилу: Немој нас погубити, јер имамо сакривено благо у пољу, пшенице и јечма и уља и меда. И остави их, и не поби их с браћом њиховом.
9 Kisima ambacho Ishmael alitupa miili yote ya waliokufa ambaye yeye na Gedalia waliwapiga, kilikuwa ni kilekile ambacho mfalme Asa alichimba wakati alipokuwa akivamiwa na mfalme Baasha wa Israel. Ishmael mwana wa Nethania alilijaza wale ambao walikuwa wameuawa.
А јама у коју побаца Исмаило сва телеса људи које поби уз Годолију беше она коју начини цар Аса бојећи се Васе цара Израиљевог; и Исмаило син Нетанијин напуни је побијених људи.
10 Badae Ishmael aliwashika watu wengine wote ambao walikuwa huko Mizpa, mabinti wa mfalme na watu wote ambao walikuwa wameachwa huko Mizpa ambayo Nebuzaradani mlinzi mkuu alikuwa amewakabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikam. Basi Ishmael mwana wa Nethania aliwashika na kuvuka kwa watu wa Ammon.
И зароби Исмаило сав остатак народа што беше у Миспи, кћери цареве и сав народ што беше остао у Миспи, над којим беше поставио Невузардан заповедник стражарски Годолију, сина Ахикамовог; и заробивши их Исмаило, син Нетанијин, пође да пређе к синовима Амоновим.
11 Lakini Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi pamoja naye walisikia madhara yote ambayo Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amefanya.
Али Јоанан, син Каријин, и све војводе што беху с њим чуше све зло што учини Исмаило син Нетанијин.
12 Basi waliwachukua wanaume wao na kwenda kupigana dhidi ya Ishmanel mwana wa Nethania. Walipigana naye huko kwenye kisima kuu cha Gibeoni.
Тада узеше све своје људе и пођоше да ударе на Исмаила, сина Нетанијиног, ког нађоше код велике воде у Гаваону.
13 Kisha ilitokea kwamba wakati watu wote ambao walikuwa na Ishmael kuona Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi ambao walikuwa pamoja naye, walikuwa na furaha.
И сав народ што беше с Исмаилом кад виде Јоанана сина Каријиног и све војводе што беху с њим, обрадова се,
14 Basi watu wote ambao Ishmael alikuwa amewashika huko Mizpa waligeuka na kwenda kwa Yonathani mwana wa Karea.
И сав народ што Исмаило зароби из Миспе обрну се и отиде к Јоанану, сину Каријином.
15 Lakini Ishmael mwana wa Nethania alitoroka na wanaume wanane toka kwa Yonathani. Alienda kwa watu wa Ammon.
А Исмаило син Нетанијин побеже с осам људи од Јоанана, и отиде к синовима Амоновим.
16 Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi pamoja naye walichukua toka Mizpa watu wote ambao walikuwa wameokolewa kutoka kwa Ishmael mwana wa Nethania. Hii ilikuwa baada ya Ishmael kuwa amemuuwa Gedalia mwana wa Ahikam. Yonathan na rafiki zake walichukua wanaume shujaa, wanaume wapiganaji, wanawake na watoto, na mtoashi ambaye alikuwa ameokolewa huko Gibeoni.
И тако Јоанан, син Каријин и све војводе што беху с њим узеше сав остатак народа што повратише од Исмаила, сина Нетанијиног, који убивши Годолију, сина Ахикамовог, беше их одвео из Миспе, војнике и жене и децу и дворане, и одведоше их из Гаваона;
17 Kisha walienda na kubaki kwa muda huko Geruthi Chimham, ambayo iko karibu Bethelemu. Walikuwa wakienda Misri
И отишавши стадоше у гостионици Химамовој код Витлејема; да би отишли и прешли у Мисир,
18 kwa sababu ya Wakaldayo. Walikuwa wakiwaogopa kwani Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amemua Gedalia mwana wa Ahikam, ambaye mfamle wa Babeli amewekwa kwenye usimamizi wa nchi.
Ради Халдејаца, јер их се бојаху, што Исмаило, син Нетанијин, уби Годолију, сина Ахикамовог, ког беше поставио цар вавилонски над земљом.

< Yeremia 41 >