< Yeremia 39 >
1 Katika mwaka wa tisa na mwezi wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuja pamoja na jeshi lake lote dhidi ya Yerusalem na kuizingira.
Девете године Седекије, цара Јудиног, месеца десетог дође Навуходоносор, цар вавилонски, са свом војском својом на Јерусалим и стаде га бити.
2 Katika mwaka wa kumi na moja na mwezi wa nne wa Sekeia, siku ya tisa ya mwezi, mji uliharibiwa.
Једанаесте године Седекијине, месеца четвртог, деветог дана тог месеца провалише у град.
3 Kisha maafisa wote wa mfalme wa Babeli walikuja na kukaa kwenye lango la katikati: Nergali Sharezeri, Samgari Nebo, na Sarsechimu, afisa muhimu. Nerga Sharezeri alikuwa afisa mkuu na wote waliobaki maafisa wa mfalme wa Babeli.
И уђоше сви кнезови цара вавилонског, и стадоше код средњих врата Нергал-саресер, Самгар-невон, Сарсехим, старешина над дворанима, Нергал-саресер, старешина над врачима, и сви други кнезови цара вавилонског.
4 Ilitokea kwamba wakati Sedekia, mfalme wa Yuda, na wanaume wapiganaji wake wote walipowaona, walikimbia. Walitoka nje usiku toka kwenye mji kwa njia ya bustani ya mfalme, kupitia lango la kati la kuta mbili. Mfalme alitoka nje katika mwelekeo wa Arabah.
А кад их виде Седекија цар Јудин и сви војници, побегоше и изиђоше ноћу из града покрај врта царског, на врата међу два зида; и иђаху преко поља.
5 Lakini jeshi la Wakaldayo walimfatilia na kumpata Sedekia kwenye tambarare za mto Yordani karibu na Yeriko. Kisha walimshika na kumleta kwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli, Riblah kwenye nchi ya Hamath, ambapo Nebukadreza alipitisha sentensi juu yake.
А војска халдејска гоњаше их, и стиже Седекију у пољу јерихонском, и ухвативши га доведоше га к Навуходоносору цару вавилонском у Ривлу, у земљи ематској, те му суди.
6 Mfalme wa Babeli alimchinja binti wa Sedekia mbele ya macho yake huko Ribla. Pia aliwachinja wanaume wote wa heshima wa Yuda.
И закла цар вавилонски синове Седекијине у Ривли на његове очи, и све знатне људе од Јуде покла цар вавилонски.
7 Kisha alingoa macho ya Sedekia na kumfunga mnyororo wa shaba ili kusudi kumpeleka Babeli.
Иза тога Седекији ископа очи, и свеза га у двоје вериге бронзане, да га одведе у Вавилон.
8 Kisha Wakaldayo walichoma nyumba ya mfalme na nyumba za watu. Pia walivunja kuta za Yerusalem.
А дом царев и домове народне попалише Халдејци огњем, и зидове јерусалимске раскопаше.
9 Nebukadreza, nahodha wa walinzi wa mfalme, waliwachukua katika mateka watu wengine waliobaki katika mji. Hii ilijumuisha watu waliotoka jangwa kwenda Wakaldayo na watu wengine walioachwa katika mji.
А остатак народа што оста у граду и пребеге који пребегоше к њему, остатак народа што беше остао, одведе Невузардан заповедник стражарски у Вавилон.
10 Lakini Nebukadreza nahodha wa walinzi wa mfalme aliwaruhusu watu maskini ambayo hawakuwa na chochote wao kubaki katika chi ya Yuda. Aliwapa mashamba ya mizabibu na maeneo katika siku ile.
Само најсиромашније из народа, који ништа немаху, остави Невузардан заповедник стражарски у земљи Јудиној, и даде им тада винограде и њиве.
11 Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa ametoa amri kuhusu Yeremia kwa Nebuzaradani nahodha wa walinzi wa mfalme. Alikuwa amesema,
А Навуходоносор, цар вавилонски, заповеди за Јеремију Невузардану заповеднику стражарском говорећи:
12 “Mchukue na umjali. Usimdhuru. Fanya kwa ajili yake chochote anachokuambia.”
Узми га и гледај га добро, и не чини му зло, него му чини шта ти год каже.
13 Basi Nebuzaradani nahodha wa walinzi wa mfalme, Nebushazbani mkuu wa matoashi, Nergali Sharezeri afisa mkuu, na wote maafisa wa muhimu wa mfalme wa Babeli walituma watu nje.
И послаше Невузардан заповедник стражарски и Невусазван, старешина над дворанима, и Нергал-саресер, старешина над врачима, и сви кнезови цара вавилонског,
14 Watu wao walimchukua Yeremia kutoka uwanja wa mlinzi na kumkabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikami mwana wa Shafani, kumchua nyumbani, basi Yeremia alibaki miongoni mwa watu.
Послаше, те узеше Јеремију из трема од тамнице, и предаше га Годолији сину Ахикама сина Сафановог да га одведе кући; тако оста међу народом.
15 Sasa neno la Yahwe lilikuwa limekuja kwa Yeremia wakati alipokuwa chini ya kifungo kwenye uwanja wa mlinzi, na alisema,
А Јеремији дође реч Господња кад беше затворен у трему од тамнице говорећи:
16 “Zungumza kwa Ebedi Meleki Mkushi na sema, 'Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi: Ona, Nimekaribia kubeba maneno yangu dhidi ya mji huu kwa ajili ya janga na si kwa uzuri. Kwa kuwa yatakuwa kweli mbele yako katika siku hiyo.
Иди и реци Авдемелеху Етиопљанину говорећи: Овако вели Господ над војскама Бог Израиљев: Ево ја ћу учинити да се збуду речи моје томе граду на зло, а не на добро, и навршиће се пред тобом у онај дан.
17 Lakini nitakuokoa katika siku hiyo - hili ni tamko la Yahwe - na hautatiwa katika mkono wa wanaume ambayo unawaogopa.
Али ћу тебе избавити у онај дан, говори Господ, и нећеш бити предан у руке људима којих се бојиш.
18 Kwa kuwa nitakuokoa hakika. Hautaanguka kwa upanga. Utatoroka pamoja na maisha yako, kwani unanitumaini - hili lilikuwa tamko la Yahwe.”
Јер ћу те доиста сачувати, те нећеш пасти од мача, и биће ти душа твоја место плена зато што си се поуздао у ме, говори Господ.