< Isaya 61 >
1 Roho ya Bwana Yahwe i juu yangu, maana Yahwe amenipaka mafuta mimi kuhiubiri habari njema kwa wenye taabu. Amenituma mimi kuwaponywa waliopondeka mioyo, kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kufungua gereza ili waliofungwa waweze kutoka.
Hina Gode Ouligisudafa da Ea A: silibu Ida: iwane Gala, amo na ouligima: ne, nama i dagoi. E da na ilegei amola na asunasi dagoi. Na da hame gagui dunu ilima sia: ida: iwane olelema: ne, amola da: i dioi bagade dunu ilia dogo denesima: ne, amola si dofoi dunu amo ilia siga bu ba: ma: ne, amola se iasu diasuga sali dunu ilia logo doasima: ne, E da na asunasi dagoi.
2 Amenituma mimi kuutangaza mwaka wa Yahwe uliokubalika, siku ya kisasi cha Mungu wetu, na kuwafariji wale wote wanaomboleza.
E da na osobo bagade dunu ilima olelema: ne asunasi dagoi. Amo eso amoga Hina Gode da Ea fi dunu gaga: mu, amola ilia ha lai amo hasanasili, dabe imunu, amo olelema: ne, E da na asunasi. Amola nowa da da: i dioiba: le dinana, amo ilia dogo denesima: ne, E da na asunasi.
3 Amenituma mimi - kuwapa wale waoombolezao katika Sayuni -kuwapa wao kilemba cha majivu, mafuta ya furaha badala ya kuomboleza, vazi la kusifu katika eneo la roho ya ubutu, kuwaita mialoni ya haki, iliyooteshwa na Yahwe, ili aweze kutukuzwa.
Hina Gode da Ea fi dunu, ilia da wali Saione amo ganodini dinana amo ilia da: i dioi fadegale, hahawane hou imunu. E da ilia dinanebe afadenene, ilima nodosu gesami hea: su imunu. Ilia da ifa noga: i, Hina Gode Ea bugi liligi defele ba: mu. Ilia moloidafa hou fawane hamomu, amola dunu huluane da Gode Ea hamoiba: le, Ema nodomu.
4 Wataijenga tena mahali pa kale palipohaibiwa; wataparejesha mahali palipokuwa na ukiwa. Watairejesha miji iliyoharibiwa, Mahali penye ukiwa kutoka vizazi vingi vilivyopita.
Moilai bai bagade amo da eso bagohame mugululi wadela: lesi dagoi ba: i, amo ilia da bu gagumu.
5 Wageni watasimama na kulisha makumdi yako, na watoto wa wageni watafanya kazi kwenye mashamba yako na mizabu.
Na fi dunu! Ga fi dunu da dilia hawa: hamosu hamomu. Ilia da dilia ohe wa: i ouligimu, amola dilia ifabi amola waini efe sagai ouligimu.
6 Mtaitwa makuhani wa Yahwe; watawaita watumishi wa Mungu wetu. Mtakula utajiri wa mataifa, na utajivuinia katika utajiri wake.
Amola dilia da Hina Gode Ea gobele salasu dunu amola Gode Ea hawa: hamosu dunu esala, amo dunu huluane da dawa: mu. Dilia da fifi asi gala ilia gagui liligi huluane, amo dilia da hahawane gagumu.
7 Badala yake aibu yenu itaongezeka; na badala ya fedhea walifurahia juu ya sehemu yao. Hivyo basi sehemu yao itaongezeka mara mbili katika nchi na furaha ya milele itakuwa yao.
Dilia gogosiasu da dagoi. Dilia da dilia sogedafa amo ganodini esalumu. Dilia wali gagui da baligili, aduna agoane gagui dagoi ba: mu. Amola dilia hahawane hou da mae fisili, eso huluane dialalalumu.
8 Maana Mimi, Yahwe, ninapenda haki, na ninachukia wizi na vurugu zisizo za haki. Nitawalipa wao kataka haki na Nitafanya agano la milele na wao.
Hina Gode da amane sia: sa, “Na da moloidafa hou bagade hanai amola dunu se iasu amola wadela: i hou bagade higasa. Na da dafawane Na fi dunu ilima noga: i bidi imunu, amola gousa: su gaheabolo eso huluane dialulaloma: ne ilima hamomu.
9 Uzao wao utajulikana miongoni mwa mataifa, na watoto wao miongoni mwa watu. Wote watakaowaona watawakubali wao, kwamba ni watu wangu ambao Yahwe amewabariki.
Ilia da fifi asi gala amo ganodini sogebi gadodafa lamu. Dunu huluane da Na da Na fi ilima hahawane bagade hamosu, amo ilia da dawa: mu.”
10 Nitafurahia sana katika Yahwe; Katika Mungu nitafurahia. Maana amenivika mimi kwa vazi la wokovu; amenivika mimi kwa vazi la haki, kama bwana harusi aliyejipamba mwenywe kwa kilemba, na kama bibi harusi aliyejipamba kwa vito.
Hina Gode Ea hamoiba: le, Yelusaleme da hahawane bagade hamosa. E da uda e gaguli labe amoga hahawane ahoabe agoane ba: sa. Fedege agoane, Gode da gaga: su hou amola hasalasu hou amo abula agoane Yelusaleme amoma idiniginisi.
11 Maana kama nchi inavyozalisha miti inayochipukia na kama bustani inavyofanya miti yake ikuie, hivyo Bwana atasasbabisha haki na sifa kuchipukia mbele ya mataifa yote.
Ha: i manu hawa: da fudagala: le, sono heda: le, amola heda: sa. Amo defele, Hina Gode Ouligisudafa da Ea fi gaga: mu. Amola fifi asi gala dunu huluane da Ema nodomu.