< Isaya 60 >

1 Nyanyuka, uangaze; maana mwanga wako umekuja, na utukufu wa Yahwe umekuja kwako.
Fedege agoane, Yelusaleme, di wa: legadole, eso agoane diga: ma. Hina Gode Ea hadigi da dima hadigisa.
2 Japokuwa giza litatanda katika nchi, na giza nene katika mataifa; Lakini Yahwe atakuja juu yenu, na utukufu wake utaonekana kwenu.
Fifi asi gala eno da gasi dunasi amoga dedeboi dagoi ba: mu. Be Hina Gode Ea hadigi da dima hadigimu. Ea hadigi esalebe da dima dafulili lelumu.
3 Mataifa yatakuja kwenye mwanga wako, na wafalme katika mwanga wako mkali uliokuja
Fifi asi gala fi da dia hadigi ba: sea, dima gilisimusa: dawa: mu. Amola dia hou da hehebolo mabe galu defele, amo ba: sea, hina bagade ilia da dima gilisimusa: dawa: mu.
4 Tazama na angalia pande zote. Wamekusanyika wao wenyewe kwa pamoja na wanakuja kwako. Watoto wako watatoka mbali, na binti zao watabebwa katika mikono yenu.
Hou wali hamonana, amo ba: ma: ne ba: le gagama. Dia fi dunu da buhagimusa: gilisisa. Dia gofelali da soge sedaga ganini buhagimu. Didiwi da mano fonobahadi defele, enoga ouga: ne, oule misunu ba: mu.
5 Halafu wataangalia na kuwa furaha, na moyo wako utafurahia na kufurika, maana wingi wa maji utamwagwa juu yenu, utajiri wa mataifa utakuja kwenu.
Di da amo ba: sea, hahawane bagade ba: mu. Di da hahawane fofogadigiba: le, yagugumu. Bagade gagui fifi asi gala ilia liligi da dilima gaguli manebe ba: mu. Soge amo da hano wayabo bagade na: iyadodili diala, amoga ilia liligi noga: i dima gaguli manebe ba: mu.
6 Msafara wa ngamia utawafunika ninyi, na ngamia wa Midiani na Efa; wote watakuja kutoka Sheba; wataleta dhahabu na ubani, wataimba sifa kwa Yahwe.
Ga: mele dada: lesu bagade da Midia: ne amola Ifa amola Siba amoga gouli amola gabusiga: manoma liligi gaguli manebe ba: mu. Dunu da sia: ida: iwane gala amo Hina Gode Ea hamobe, amo fifi asi gala ilima hahawane adomu.
7 Makundi yote ya Kedari yatakusanika kwa pamoja kwako, kondoo wa Nebaioti watabeba mahitaji yako; watakubalika kutolewa sadaka katika madhebau yangu; na nitaitukuza nyumba yangu takatifu.
Gida amola Nebaiode dunu da ilia sibi huluane amo Hina Gode hahawane ba: ma: ne, ‘oloda’ da: iya gobele salimusa: dilima gaguli misunu. Hina Gode da Ea Debolo bu hahamomu. Amola ea gaheabolo hadigi da musa: hadigi baligi dagoi ba: mu.
8 Ni nani hawa wanopaa wenyewe kama mawingu, na kama njiwa kwenye makazi yao?
Na da adi liligi manebe ba: sala: ? Ilia da dusagai, amo da mu mobi hehenabe, amola “dafe” sio amo ea diasuga buhagisia hehenabe, agoai ba: sa.
9 Pwani itanitafuta mimi, na meli ya Tarshishi huwaongoza, huwaleta watoto wenu kutoka mbali, pamoja na fedha zao na dhahabu zao, maana jina la Yahwe Mungu wenu, na Mtakatifu wa Israeli, maana amekuheshimu wewe.
Ilia da dusagai amo da Gode Ea fi dunu soge sedaga esalu, amo ilia sogedafa amoga buhagimusa: , gaguli manebe ba: sa. Ilia da Hina Gode amo Ea Dio amoma nodomusa: , silifa amola gouli gaguli maha. Ilia da Isala: ili ilia Hadigi Gode (Ea hamobeba: le, osobo bagade fifi asi gala huluane da Ea fi ilima nodomu) Ema nodomusa: maha.
10 Watoto wa wageni watajenga tena kuta zenu, n awafalme wao watawatumikia ninyi; japo katika laana yangu nimewaadhibu ninyi, lakini kwa neema yangu nitawahurumia ninyi.
Hina Gode da fedege agoane, Yelusaleme amoma amane sia: sa, “Ga fi dunu da dia gagoi bu gagumu, amola ilia hina bagade, ilia da dima hawa: hamosu dunu agoane ba: mu. Na da ougiba: le, dima se iasu. Be wali Na da Na asigi hou amola gogolema: ne olofosu dima olelemu.
11 Milango yenu itaendelea kuwa wazi; haitafungwa mchana au usiku, hivyo utajiri wa mataifa ili uweze kuletwa, pamoja na viongozi wanowaongoza.
Fifi asi gala hina bagade ilia da dima ilia noga: i liligi gaguli misa: ne, dia logo ga: su da gasia amola esoga hamedafa ga: si ba: mu.
12 Kweli, mataifa na falme ambayo hayatakutumikia wewe yatatoweka; mataifa hayo yataangamizwa kabisa.
Be fifi asi gala amo ilia da dima hawa: hame hamosea, ilia da wadela: lesi dagoi ba: mu.
13 Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako, mti wa msonobari, mtidhari, pamoja na msonobari ili kupamba madhebau yangu; na Nitalitukuza eneo la miguu yangu.
Ilia da ifa baligili noga: idafa amo “saibalase” amola ‘yuniba’ amola ‘baine’ amo Lebanone sogega, di Yelusaleme bu gagumusa: , amola Na Debolo Diasu bu noga: musa: , amola Na moilai hadigi lamusa: , gaguli misunu.
14 Watakuja kwako kukusujudia wewe, watoto wa wale wanaokunyenyekea wewe; wataisujudia miguu yako; watakuita wewe mji wa Yahwe, sayani ya Mtakatifu wa Israeli.
Dunu amo da musa: dima se iasu, amo ilia egefe da misini, ilia dilima nodosu olelema: ne, gududafa begudumu. Dunu da musa: dima higasu, ilia da dia emo gadenene midadili gudu gala: la sa: ili, dilima nodomu. Ilia da dima amane sia: mu, ‘Hina Gode Ea Moilai Bai Bagade’ amola ‘Saione da Isala: ili Fi ilia Hadigi Hina Gode, Ea Moilai Bai Bagade.’
15 Badala yake uwepo wenu umetelekezwa na kuchukiwa, kwa kuwa hakuna hata mmoja anayepita ndani yenu, nitawafanya kuwa kitu cha kiburi milele, furaha kutoka kizazi hata kizazi.
Di da moilai bai bagade yaloi dialu, amola dunu eno ilia da di higa: i. Di da wadela: lesi dagoi ba: i. Be amo hou fisili, Na da di afadenene, bu bagade amola noga: i ba: su amo di bu hahamomu. Amasea, di da eso huluane hahawane hou fawane ba: mu.
16 Pia utakunywa maziwa ya mataifa, utatunzwa katika kifua cha wafalme; utajua kwamba Mimi Yahwe, Mimi ni mwokozi na mkombozi wenu, aliye Mkuu wa Israeli.
Fifi asi gala amola hina bagade, ilia da ame da ea manoma dodo maga: me iaha, amo defele di asigiliwane ouligimu. Amola Na, Hina Gode, da dili gaga: i dagoi, amo dilia dawa: mu. Amola Isala: ili Gode Bagadedafa da di halegale masa: ne, dia se iasu diasu logo doasi dagoi, amo di da dawa: mu.
17 Badala ya shaba Nitaleta dhahabu, badaia ya chuma nitaleta fedha; badala ya mbao, shabana badala ya jiwe, chuma. Nitachagua amani kwa kiongozi wenu, na haki kiongozi wenu.
Na da dia ‘balase’ lale, bu gouli noga: i amo dima gaguli misunu. Amola Na da dia ouli amola ifa lale bu silifa amola ‘balase’ noga: i dima gaguli misunu. Amola Na da dia igi lale bu ouli noga: i dima gaguli misunu. Dia ouligisu dunu da dima se bu hame imunu. Na hamobeba: le, ilia da moloidafa amola olofoiwane fofada: nanu, noga: le ouligimu.
18 Vurugu hazitasikika katika aridhi yenu, uharibifu wala uvunjaji katika mipaka yenu; lakini mtaita kuta zenu wokovu, na malngo yenu mtayaita sifa.
Dia da gegesu halasu bu hame nabimu. Dia soge da bu wadela: lesi hame ba: mu. Na da di ouligimu, amola gasa bagade gagoi ea gaga: i defele, di gaga: mu. Amola Na da di gaga: iba: le, dia da Nama nodomu.
19 Jua halitakuwa mwanga wenu wakati wa mchana, wala mwanga wa mwenzi wakati wa usiku hautawawakia ninyi; Lakini Yahwe atakuwa mwanga wenu wa milele, na Mungu wenu na utukufu wenu.
Eso da esomogoa hadigisa. Be amo esoga, eso da dima bu hame hadigimu amola gasia, oubi da dima bu hame hadigimu. Bai Na, Hina Gode da dima eso huluane hadigilalumu. Na gadodafa hadigi hou da dima hadigiwane dialumu.
20 Jua lenu halitakuewepo wala mweni utaondoshwa na kutoweka; maana Yahwe atakuwa mwanga wenu daima, na siku za maombolezo zitakwisha.
Dia da: i diosu eso da dagomu. Na, Hina Gode da dima eso huluane hadigilalumu. Eso amola oubi amola da dagomu. Be Na hadigi da hamedafa dagomu.
21 Watu wako wote watakuwa wenye haki; watachukuwa urithi wa nchi kwa mda wote, tawi la mazao yangu, kazi ya mikono yangu, ili niweze kuitukuza.
Dia fi dunu da hou moloidafa fawane hamomu amola ilia da eso huluane Isala: ili soge gagulalumu. Na da Na gasa bagade hou amoga Na fi hahamoi amola Isala: ili sogega ili bugi dagoi, dunu huluane da ba: mu.
22 Mtoto atakuwa maelfu, na mdogo atakuwa taifa la wenye nguvu; Mimi Yahwe Nitayatimiza hayo mda utakapowadia.
Amola dia baligili fonobahadidafa sosogo fi da alele, gasa bagade fifi asi gala defele ba: mu. Na ilegei eso da doaga: sea, Na da amo hedolowane hamomu. Na da Hina Gode!

< Isaya 60 >