< Isaya 4 >
1 Siku hiyo wanawake saba watamchukua mwanaume mmoja na kusema, ''Tutakula chakula chetu wenyewe, tutavaa nguo zetu wenyewe. lakini tunahitaji kuchukua jina lako ili tuondoe haibu zetu.''
And seven women will take hold of one man, in that day, saying, “We will eat our own bread and wear our own clothing, only let us be called by your name, so as to take away our reproach.”
2 Na siku hiyo tawi zuri la Yahwe na utukufu, na matunda yatakuwa na ladha nzuri na kupendeza kwa wale wanaoishi Israeli.
In that day, the seedling of the Lord will have magnificence and glory, and the fruit of the earth will be greatly-esteemed and a source of joy to those who will have been saved out of Israel.
3 Itatokea kwa yule aliyeachwa Sayuni na wale waliobakia Yerusalemu wataitwa watakatifu, yeyeto aliyeandikwa chini anaishi Yerusalemu.
And this shall be: all who are left behind in Zion, and who remain in Jerusalem, shall be called holy, all who have been written in life in Jerusalem.
4 Hii itatokea pale ambapo Bwana atasafisha uchafu wa mabinti wa Sayuni, na atasafisha madoa ya damu kutoka kati ya Yerusalemu, kwa namna ya roho ya hukumu na roho ya kuungua na moto.
Then the Lord will have washed away the filth of the daughters of Zion, and will have washed away the blood of Jerusalem from its midst, by means of a spirit of judgment and a spirit of intense devotion.
5 Tena juu ya mlima wote wa Sayuni na mahali pakuksanyikia, Yahwe atafanya wingu na moshi kwa wakati wa mchana na moto unaong'a wakati wa usiku; na itakuwa dari juu ya utukufu wote.
And the Lord will create, over every place of Mount Zion and wherever he is called upon, a cloud by day and a smoke with the splendor of burning fire by night. For protection will be over every glory.
6 kutakuwa na kivuli kwenye makazi wakati mchana kuzuia jua, na kimbilio na mfuniko kutoka kwenye mawimbi na mvua.
And there will be a tabernacle for shade from the heat in daytime, and for security, and for protection from the whirlwind and from rain.