< Isaya 3 >

1 Ona, Bwana, Yahwe wa majeshi, anakaribia kuwachukua kutoka Yerusalema na Yudawasaidizi na wafanyakazi: wasambazaji wote wa mikate, wasambazaji wote wa maji;
For behold, the sovereign Lord of hosts will take away, from Jerusalem and from Judah, the powerful and the strong: all the strength from bread, and all the strength from water;
2 mtu mwenye nguvu, shuja, hakimu, nabii, dalili za msomaji, na mzee;
the strong man, and the man of war, the judge and the prophet, and the seer and the elder;
3 naodha wa hamsini, raia husika, mshauri, fundi mtarajiwa, na mchawi stadi.
the leader over fifty and the honorable in appearance; and the counselor, and the wise among builders, and the skillful in mystical speech.
4 Nitamuweka kijana tu kama kiongozi wenu, kijana atawaongoza wao.
And I will provide children as their leaders, and the effeminate will rule over them.
5 Watu watanyanyasika, kila mmoja mmoja na kila mmoja na jirani yake; watoto watawatusi wazee, na mivutano itawapa changamoto waheshimiwa.
And the people will rush, man against man, and each one against his neighbor. The child shall rebel against the elder, and the ignoble against the noble.
6 Mwanaume atamshikilia ndugu yake katika nyumba ya baba yake na kusema, 'Unayo kanzu; uwe kiongozi wetu, na uharibifu huu uwe mikononi mwako.
For a man will apprehend his brother, from the household of his own father, saying: “The vestment is yours. Be our leader, but let this ruin be under your hand.”
7 'Siku hiyo atapaza sauti na kusema, 'hautakuwa mganga; sina mkate wala mavazi. Hatanifanya kuwa kiongozi wa watu.
In that day, he will respond by saying: “I am not a healer, and there is no bread or vestment in my house. Do not choose to appoint me as a leader of the people.”
8 Kwa maana Yerusalemu kuna mashaka, na Yuda imeanguka, kwa sababu mazungumzo yao na matendo yao yako kinyume na Yahwe, wanayapinga macho ya utukufu wake.
For Jerusalem is ruined, and Judah has fallen, because their words and their plans are against the Lord, in order to provoke the eyes of his majesty.
9 Angalia nyuso zao zinashudia kinyume nao; na watasema dhambi zao kama Sodoma; hawatazificha, Ole wao! Maana wanakamilisha janga lao wenyewe.
The acknowledgement of their countenance is their response. For they have proclaimed their own sin, like Sodom; and they have not concealed it. Woe to their souls! For evils are being repaid to them.
10 Mwambie mtu mwenye haki kwamba itakuwa vizuri, maana watakula matunda ya matendo yao.
Tell the just man that it is well, for he shall eat from the fruit from his own plans.
11 Ole kwa wakosaji! itakuwa vibaya kwa yeye, maana malipo ya mikono yake yatafanyika kwake pia.
Woe to the impious man immersed in evil! For retribution will be given to him from his own hands.
12 Watu wangu-watoto wangu wanawakandamiza, na wanawake wanawaongoza wao. Watu wangu, wale wanaowaongoza wanawaongoza vibaya na kuchanganya muelekeo wa nja yenu.
As for my people, their oppressors have despoiled them, and women have ruled over them. My people, who call you blessed, the same are deceiving you and disrupting the path of your steps.
13 Yahwe simama juu ya mashitaka; yeye amesimama kuwashaki watu.
The Lord stands for judgment, and he stands to judge the people.
14 Yahwe atakuja na hukumu juu ya wazee na watu wao na viongozi wao: ''Umeharibu shamba; nyara kutoka kwa masikni ziko kwenye nyumba zako.
The Lord will enter into judgment with the elders of his people, and with their leaders. For you have been devouring the vineyard, and the plunder from the poor is in your house.
15 Kwa nini unaponda watu wangu na kusaga nyuso za masikini?'' Hili ni tamko Bwana, Yahwe wa majeshi.
Why do you wear down my people, and grind up the faces of the poor, says the Lord, the God of hosts?
16 Yahwe anasema hivyo kwa sababu mabinti wa Sayuni wanajigamba, wanatembea pekee yao vichwa vyao vikiwa juu, na kutaniana kwa macho yao, na kutakata kokote waendako na kuamua upatu kwa miguu yao,
And the Lord said: Because the daughters of Zion have been lifted up, and have walked with extended necks and winking eyes, because they have continued on, walking noisily and advancing with a pretentious stride,
17 Kwa hiyo Bwana atafanya magonjwa ya mapele kwenye kishwa cha mabinti wa Sayuni, na Yahwe atawafanya upaa.
the Lord will make the heads of the daughters of Zion bald, and the Lord will strip them of the locks of their hair.
18 Siku hiyo Bwana ataondoa mapambo mazuri yaliyoko kwenye kifundo cha miguu, bendi za kichwa chao, kaya zao; bangili za masikio,
In that day, the Lord will take away their decorative shoes,
19 bangili za miguu na taji zao;
and the little moons and chains, and the necklaces and bracelets, and the hats,
20 kitambaa cha kichwa, chaini za miguu, mafurungu na maboksi ya marashi na na haiba ya bahati.
and the ornaments for their hair, and the anklets, and the touches of myrrh and little bottles of perfumes, and the earrings,
21 Atatoa bangili na kipini kwenye pua;
and the rings, and the jewels hanging on their foreheads,
22 sherehe za mavazi, mapazia na mabegi ya mkononi;
and the continual changes in appearance, and the short skirts, and the fine linens and embroidered cloths,
23 vioo vya mkononi, sanda nzuri, vilemba vya kichwa na taji.
and the mirrors, and scarves, and ribbons, and their sparse clothing.
24 Badala ya manukato mazuri kutakuwa na arufu mbaya; na badala ya ukunda, kamba, kufunika kwa vazi la gunia; kitia alama mwilini kwa moto badala ya uzuri. wanaume wao wataanguka kwa upanga,
And in place of a sweet fragrance, there will be stench. And in place of a belt, there will be a rope. And in place of stylish hair, there will be baldness. And in place of a blouse, there will be haircloth.
25 na wanaume wenye nguvu wataanguka kwenye vita.
Likewise, your most handsome men will fall by the sword, and your strong men will fall in battle.
26 Lango la Yerusalemu litaomboleza na kuomboleza; na atakuwa peke yake amekaa chini ya ardhi.
And her gates will grieve and mourn. And she will sit on the ground, desolate.

< Isaya 3 >