< Isaya 25 >

1 Yahwe wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe, nitalisifu jina lako; maana umetenda matendo ya ajabu, mambo uliyoyapanga toka zamaini, kwa uaminifu na ukamilifu.
ای یهوه تو خدای من هستی پس تو راتسبیح می‌خوانم و نام تو را حمدمی گویم، زیرا کارهای عجیب کرده‌ای وتقدیرهای قدیم تو امانت و راستی است.۱
2 Maana umeufanya mji kuwa chungu, ngome ya mji, uharibifu na ngome ya wageni kuwa si mji.
چونکه شهری را توده و قریه حصین را خرابه گردانیده‌ای و قصر غریبان را که شهر نباشد و هرگز بنا نگردد.۲
3 Hivyo basi watu wenye nguvu watakutukuza wewe; na mji waishio watu wasio na ukatili watakuogopa wewe.
بنابراین قوم عظیم، تو را تمجید می‌نمایند وقریه امت های ستم پیشه از تو خواهند ترسید.۳
4 Maana umekuwa katika eneo salama kwa aliye masikni, makazi kwa mhitaji ambaye yuko kwenye dhiki- makazi kwa aliyeko kwenye dhoruba na kivuli kwa aliyeko kwenye jua. Pale punzi ya watu wakatili imekuwa kama dhoruba dhidi ya ukuta,
چونکه برای فقیران قلعه و به جهت مسکینان درحین تنگی ایشان قلعه بودی و ملجا از طوفان وسایه از گرمی، هنگامی که نفخه ستمکاران مثل طوفان بر دیوار می‌بود.۴
5 na jua kwenye aridhi kavu, na watazuia kelele za wageni, kama vile jua linavyozuiliwa na kivuli cha mawingu, hivyo basi nyimbo wasio na makosa zimejibiwa.
و غوغای غریبان را مثل گرمی در جای خشک فرود خواهی آورد و سرودستمکاران مثل گرمی از سایه ابر پست خواهدشد.۵
6 Katika mlima huu Yahwe wa majeshi atafanya kwa watu sikukuu ya ya vitu vilivyonona, na mvinyo uliochaguliwa, zabuni ya nyama na sikuku juu ya sira.
و یهوه صبایوت در این کوه برای همه قوم هاضیافتی از لذایذ برپا خواهد نمود. یعنی ضیافتی از شرابهای کهنه از لذایذ پر مغز و از شرابهای کهنه مصفا.۶
7 Na katika mlima huu atauharibu mfuniko uliowekwa juu watu wote, na mtandao wa kusuka juu ya mataifa.
و در این کوه روپوشی را که برتمامی قوم‌ها گسترده است و ستری را که جمیع امت‌ها را می‌پوشاند تلف خواهد کرد.۷
8 Atameza kifo daima, na Bwana Yahwe atayafuta machozi katika nyuso zetu; na aibu ya watu wake itatupwa mbali kutoka duniani kote, maana Yahwe amesema hivyo.
و موت را تا ابدالاباد نابود خواهد ساخت و خداوند یهوه اشکها را از هر‌چهره پاک خواهد نمود و عار قوم خویش را از روی تمامی زمین رفع خواهد کردزیرا خداوند گفته است.۸
9 Yatazungumzwa katika siku hiyo, ''Huyu ni Mungu wetu; na tunayemngoja, na atatuokoa. Huyu ni Yahwe; tuliyemngoja, tutafurahia na kushangilia wokovu wake.''
و در آن روز خواهند گفت: «اینک این خدای ما است که منتظر او بوده‌ایم و ما را نجات خواهدداد. این خداوند است که منتظر او بوده‌ایم پس از نجات او مسرور و شادمان خواهیم شد.»۹
10 Maana katika mlima huu mkono wa Bwana utashuka; na Moabu itakanyagwakangwa chini kwenye eneo lake, na hata majani yatakanyagwakanyagwa chini katika shimo lililojaa mbolea.
زیراکه دست خداوند بر این کوه قرار خواهد گرفت وموآب در مکان خود پایمال خواهد شد چنانکه کاه در آب مزبله پایمال می‌شود.۱۰
11 Wataitawnya mikono yao katikati yao, kama vile mpiga mbizi atawanyavyo mikono yake wakati akipiga mbizi. Lakini Bwana atashusha kiburi chao chini japo kuwa na ujuzi katika mikono yao.
و او دستهای خود را در میان آن خواهد گشاد مثل شناوری که به جهت شنا کردن دستهای خود را می‌گشاید وغرور او را با حیله های دستهایش پست خواهدگردانید.۱۱
12 Na ataiangusha chini kwenye aridhi kuta za ngome, kwenye mavumbi.
و قلعه بلند حصارهایت را خم کرده، بزیر خواهد افکند و بر زمین با غبار یکسان خواهد ساخت.۱۲

< Isaya 25 >