< Isaya 16 >

1 Mpeleke mwana kondoo kuongoza nchi kutoka Sela huko jangwani, kwenye mlima wa binti Sayuni.
بره‌ها را که خراج حاکم زمین است ازسالع بسوی بیابان به کوه دختر صهیون بفرستید.۱
2 Kama ndege wazururao, viota vimetapakaa, hivyo basi wanawake wa Moabu watavuka kwenye mto Arnoni.
و دختران موآب مثل مرغان آواره ومانند آشیانه ترک شده نزد معبرهای ارنون خواهند شد.۲
3 Toa maelekezo, tekeleza haki; toa kivuli kama usiku wakati wa mchana; wahifadhi watuhumiwa; msiwahini watuhumiwa.
مشورت بدهید و انصاف را بجاآورید، و سایه خود را در وقت ظهر مثل شب بگردان. رانده شدگان را پنهان کن و فراریان راتسلیم منما.۳
4 Waache waishi miongoni mwenu, wakimbizi kutoka Moabu; muwe mahali pakujifichia wao wasiangamizwe.'' maana mateso yatakwisha, na uharibifu utapungua utakuwa na kikomo, wale wanotetemeka watapotea katika nchi.
‌ای موآب بگذار که رانده شدگان من نزد تو ماوا گزینند. و برای ایشان از روی تاراج کننده پناه گاه باش. زیرا ظالم نابود می‌شود وتاراج کننده تمام می‌گردد و ستمکار از زمین تلف خواهد شد.۴
5 Kiti cha enzi kitaanzishwa katika agano la uaminifu; na mmoja katika hema la Daudi atakaa pale kwa uaminifu. Atahukumu kwa kufuata haki na atatenda haki.
و کرسی به رحمت استوار خواهدگشت و کسی به راستی بر آن در خیمه داودخواهد نشست که داوری کند و انصاف را بطلبد وبه جهت عدالت تعجیل نماید.۵
6 Tumesikia kiburi cha Moabu, kiburi chake, majivuno yake, na hasira yake. Lakini majivuno yake ni maneno tu.
غرور موآب و بسیاری تکبر و خیلاء و کبر وخشم او را شنیدیم و فخر او باطل است.۶
7 Hivyo basi Moabu atalia juu ya Moabu-wote watalia! wataomboleza, nyie mlioharibiwa kabisa, mikate ya Kira Haresethi.
بدین سبب موآب به جهت موآب ولوله می‌کند وتمامی ایشان ولوله می‌نمایند. به جهت بنیادهای قیر حارست ناله می‌کنید زیرا که بالکل مضروب می‌شود.۷
8 Shamba la Heshboni limekauka kabisa pamoja na mizabibu ya Sibma. Kiongozi wa mataifa amekanyaga mizabibu iliyochaguliwa na kuelekea Jazeri na kuelekea jangwani. Mizizi yake nje ya nchi; imenda juu ya bahari.
زیرا که مزرعه های حشبون و موهای سبمه پژمرده شد و سروران امت‌ها تاکهایش راشکستند. آنها تا به یعزیر رسیده بود و در بیابان پراکنده می‌شد و شاخه هایش منتشر شده، از دریامی گذشت.۸
9 Kweli nitalia pamoja Jazeri kwasababu ya shamba la mizabibu la Sibma. Nitakuloanisha kwa machozi yangu, Heshboni, na Eleale. Maana katika mashamba yenu kipindi cha majira ya joto matunda na mazao nitaishia kwa kupiga kelele za furaha.
بنابراین برای مو سبمه به گریه یعزیرخواهم گریست. ای حشبون و العاله شما را بااشکهای خود سیراب خواهم ساخت زیرا که برمیوه‌ها و انگورهایت گلبانگ افتاده است.۹
10 Furaha na shangwe zimezimwa na matunda ya miti ya shambani; na hakuna nyimbo wala kelele katika mashamba ya mizabibu, maana nimeweka mwisho wa kupiga kelele kwa yeyote anayetembea.
شادی و ابتهاج از بستانها برداشته شد و در تاکستانها ترنم و آواز شادمانی نخواهد بود وکسی شراب را در چرخشتها پایمال نمی کند. صدای شادمانی را خاموش گردانیدم.۱۰
11 Hivyo, moyo wangu unalia kama kinubi, na ndani yangu maana kwa ajili ya Kiri Hareseth.
لهذااحشای من مثل بربط به جهت موآب صدا می‌زندو بطن من برای قیر حارس.۱۱
12 Pindi ambapo Moabu wamejivika mahali pa juu, na kuingia katika hekalu kuomba, maombi yake hayatatimiza chochote.
و هنگامی که موآب در مکان بلند خود حاضر شده، خویشتن را خسته کند و به مکان مقدس خود برای دعابیاید کامیاب نخواهد شد.۱۲
13 Haya ndio maneno aliyoyazungumza Yahwe kuhusu Moabu iliyopita.
این است کلامی که خداوند درباره موآب از زمان قدیم گفته است.۱۳
14 Tena Yahwe amesema, ''Ndani ya miaka mitatu utukufuwa Moabu utatoweka; japo watu wake wengi, watakao bakia ni wachache, na wasionafaida.
اما الان خداوند تکلم نموده، می‌گوید که بعد از سه سال مثل سالهای مزدور جلال موآب با تمامی جماعت کثیر اومحقر خواهد شد و بقیه آن بسیار کم و بی‌قوت خواهند گردید.۱۴

< Isaya 16 >