< Isaya 15 >

1 Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
A message about Moab. The town of Ar in Moab is devastated, destroyed in a single night! The town of Kir in Moab is devastated, destroyed in a single night!
2 Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
The people of Dibon go up to their temple to weep at its high places. The Moabites weep over the towns of Nebo and Medeba. Every head has been shaved, every beard has been cut off in mourning.
3 Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
They wear sackcloth in their streets. On the rooftops and in the open squares they all weep, falling down crying.
4 Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
The people of Heshbon and Elealeh cry out in sadness, their voices heard as far as Jahaz. That's why even the bravest soldiers of Moab shout—because they're so terrified.
5 Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
I weep over Moab. Moabite refugees run all the way to Zoar and to Eglath-shelishiyah. Weeping they go up Luhith hill; crying for their destruction they walk along the road to Horonaim.
6 Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
The waters of Nimrim have all dried up. The grass is withered, all the vegetation has disappeared—nothing green is left.
7 Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
Everything they had gained, all their possessions, they have to carry across Willow River.
8 Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
Their cry of grief echoes through the whole country of Moab; their wailing and mourning extends all the way from Eglaim to Beer-elim.
9 Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.
River Dimon is full of blood, but I will bring more upon the town of Dimon—a lion to attack the Moabite refugees and those who are left in the country.

< Isaya 15 >