< Isaya 14 >

1 Yahwe atakuwa na huruma juu ya Yakobo; atamchagua tena Israeli na kumrudisha tena kwenye nchi yake. Wageni wataungana nao na wataambatana wenyewe na nyumba ya Yakobo.
But the Lord will be merciful to the descendants of Jacob. Once again he will choose Israel and he will bring them back to live once more in their own land. Foreigners will come and join them there, and they will unite with the descendants of Jacob.
2 Mataifa yataletwa katika maeneo yao wenyewe. Ndipo nyumba ya Israeli itawachukwa katika nchi ya Yahwe kwa watumishi wa kiume na wakike. Watachukuwa wafungwa wale waliokamatwa, na watawaongoza wale waliokuwa wanawanyanyasa.
Nations will go with them and escort them to their own land. The foreigners who stay in the Lord's land will serve the Israelites. In this way the captors become their captives, and they rule over their former oppressors.
3 Siku hiyo Yahwe atatoa pumziko kutoka kwenye mateso na maumivu, na kutoka kwenye kazi ngumu ambayo waliitajika kuzifanya,
At that time the Lord will give you relief from your pain and trouble, and from the hard labor you were forced to do.
4 mtaimba hii kauli wimbo juu ya mfalme wa Babeli, ''Ni kwa jinsi gani wayanyasaji wamefika mwisho, kiburi cha hasira kimekwisha!
You will mock the king of Babylon, saying, “How your oppressive rule has been ended, and your insolence stopped!
5 Yahwe amevunja wafanyakazi waovu, fimbo ya hao viongozi,
The Lord has broken the rod of the wicked, the rulers' scepter.
6 inayowapeleka watu kwenye laana na mapigo yasiyopimika, wanoongoza taifa kwa hasira,
You kept on furiously hitting foreign peoples without stopping, and aggressively ruled nations with unrestrained persecution.
7 yote iko katika punziko na utulivu; wmeanza kusherekea kwa kiimba.
Now the whole earth rests peacefully, and everyone starts celebrating!
8 Hata mti wa mseprasi inafuhaia pamoja mierezi ya Lebanoni; inasema, Tangu ulipoweka chini, hakuna mkata kuni aliyekuja kutungusha sisi,
The cypress and cedar trees are glad you're gone. They sing, ‘Since you were cut down no woodcutters are coming to cut us down!’
9 Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
Those in the grave beneath are keen to meet you when you arrive. It wakes the spirits of the dead to welcome you, those of all the rulers of the earth. All the kings of the nations stand up from their thrones. (Sheol h7585)
10 Watazungumza na kukuambia wewe, 'umekuwa dhaifu kama sisi.
They will all speak up and tell you, ‘So you too are as weak as we are—you've become just like us!
11 Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
Your pride is now buried with you in the grave, along with the harp music you loved. Maggots are the bed you lie on, and worms are your blanket.’ (Sheol h7585)
12 Kwa jinsi gani ulivyoanguka kutoka mbinguni, nyota ya siku, jua la asubuhi! ni kwa jinsi gani mlivyoshushwa chini, umeyashinda mataifa!
Morning star, son of the dawn, how you have fallen from heaven! Destroyer of nations, you have been cut down to the ground!
13 Unasema katika moyo wako, ' Nitapaa kutoka juu mbinguni, nitanyanyua enzi yangu juu ya nyota za Mungu, na nitakaa kwenye mlima wa kukusanyikia, kwa mbali kufika kaskazini.
You said to yourself: ‘I will ascend to heaven. I will raise my throne above the stars of God. I will sit enthroned on the mountain of meeting, the summit of the northern mountain.
14 Nitapaa juu umbali wa mawingu; Nitalifanya mimi mwenyewe kama Mungu aliye juu zaidi.'
I will ascend to the high places above the clouds; I will make myself like the Most High.’
15 Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
But you are dragged down to the grave, into the depths of the pit. (Sheol h7585)
16 Wale wanaokuona watakuangalia wewe, watakuangalia sana. Watasema, Je ni huyu mtu aliyefanya dunia itetemeke, nani aliyetingisha falme,
Those who see you will stare at you, examining you closely, asking, ‘Is this the man who shook the earth, who made kingdoms tremble?
17 ni nani aliyefanya dunia kama jangwa, ni nani aliyeharibu miji yake, na hataki kuwachia wafungwa waende nyumbani?'
Is this the one who turned the world into a desert, destroyed cities, and never let his prisoners return home?’
18 Wafalme wote wamataifa, wote kwa pamoja wamelala chini kwa heshima, kila mtu kwa kaburi lake.
All the other kings of the nations lie in splendor in their great mausoleums.
19 Lakini umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lilivyotupwa mbali. Maiti imekufunika kama vazi, na wale wanaochomwa kwa upanga, nani wale washukao mpaka misingi ya shimo.
But you are thrown out of your grave like a branch nobody wants, buried underneath the bodies of those killed by the sword. You are like a corpse trodden underfoot. You are tossed into a pit full of rocks—
20 Hautaunganishwa pamoja katika mazishi, kwa sababu umeiharibu nchi yako na kuuwa watu wako. Watoto wa watenda maovu hawatatajwa tena.''
you will not be buried like those other kings because you destroyed your own land and killed your own people. The descendants of those who do evil will never survive.
21 Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.''
Get ready to execute his sons because of their fathers' sins. Don't let them take over the earth; don't let them fill the whole world with their cities.
22 Nitapanda juu yao''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi. Nitang'oa jina katika Babeli, uzao, na ukoo''- hili ndilo tamko la Yahwe.
I will come and attack them, declares the Lord Almighty. I will destroy everything: their reputation, those who remain, their children, and their descendants, says the Lord.
23 Tena nitaifanya nchi hiyo kuwa makao ya bundi, dimbwi la maji, nanitawafagia kwa mfagio wa uharibifu''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
I will make Babylon into a place for water birds and into marshland. I will sweep her away with the broom of destruction, declares the Lord Almighty.”
24 Yahwe wa majeshi ameapa, ''Hakika, kama nilivyodhamiria, itakuwa kama ilivyo; na kama nilivyo kusudia itakuwa:
The Lord Almighty has sworn an oath: It will be as I have planned. It will happen as I have decided.
25 Nitawavunja Waasiria kwa mikono yangu, na kukanyaga milima kwa miguu yangu mwenyewe. Hivyo nira yake itanyanyuliwa juu yao na mzigo juu ya mabega yao.''
I will smash the Assyrians when they are in my country Israel; I will trample them underfoot on my mountains. I will remove their yoke from my people, and take away the burdens they place on my people's shoulders.
26 Huu ni mpango uliokusudiwa katika nchi yote, na huu ndio mkono ulionyanyuliwa juu ya mataifa.
This is the plan I have made regarding the whole earth; my hand stretches out to control all the nations.
27 Kwa maana Yahwe wa majeshi amepanga hivi; ni nani atakayemzia yeye? Mkono wake umenyanyuliwa juu, ni nani atakajemrudisha nyuma?
The Lord Almighty has made his plan, and who will block it? His hand stretches out, and who will push back against it?
28 Katika miaka ambayo mfalme Ahazi alipokufa, hili ndio tamko lilokuja:
The following message came in the year King Ahaz died.
29 Msishangilie, enyi wafilisti wote, kwamba fimbo ya kukupigia wewe imevunjika. Maana katika njia ya nyoka atatoka fira, na watoto wake watakuwa moto nyoka wanaopaa.
All you Philistines, don't celebrate the fact that the rod that was hitting you is broken, because from the root of that snake will grow up a viper, its fruit will be a flying serpent.
30 Na mtoto wa kwanza wa maskini watachunga kondoo wao kwenye malisho yangu, na wahitaji watalala chini salama. Nitaiuwa mizizi yenu kwa njaa ambayo atawauwa wakazi wenu wote.
The poor will have food, and the needy will live in safety, but you Philistines will die in a famine, and I will kill those who survive.
31 Omboleza, ewe lang, lia, ewe mji; ninyi nyote mtayeyukia mbali, Ufilisti. Maana kutoka kaskazini limetoka wingu la moshi, na hakuna hata mmoja atakaye odoka kwenye nafasi yake.
Howl, gates! Weep, town! Melt away in feat, all you Philistines! For a cloud of smoke is approaching from the north—an army with no soldier hanging back.
32 Ni kivipi mtu mmoja atamjibu mjumbe wa taifa? Kwamba Yahwe ameipata Sayuni, na ndani yake walionewa watatafuta kimbilio.
What will be the answer given to the messengers from that nation? “The Lord was the one who laid the foundations of Zion, and that's where his suffering people will be kept safe.”

< Isaya 14 >